Niulizeni mimi yaliyonikuta Afrika Kusini

Niulizeni mimi yaliyonikuta Afrika Kusini

Ujinga kuquote thread ndefu hivo unashindwa kuandika bila kuquote kitu kirefu ivo mnatupa shida bwanaaaa
Nshangaa bado kunawashamba waku quote nyuzi ndefu bila aibu mkuu
 
Kweli mkali we noma sana,duh we komando unaingia mstuni bila siraha,[emoji109] [emoji109] [emoji120] [emoji123] [emoji122] vyote vyako kiongozi ushujaa ulioonesha mpaka hatua hiyo sio wa kitoto kama wengine hapa hapa Tz mikoa jirani tunaonekana mazoba sembuse nchi za watu
Teeeena mkuu wewe nouma.
 
Aiseee, bab umeelezea vizuri sana story zako nmezifatilia sana japo hujatuwekea nauli ulizokuwa ukitumia kutoka nchi moja kwenda nyingine au ulipanda bus moja sjui! Rushwa za kutoa boda ni bei gani? Itatusaidia kidogo kutengeneza budget kwa watu kama sisi tusio na ndugu wala jamaa huko. maana miez hii nataka nitimbe huko kutafuta mishe, ila duh! Umeniogopesha kias fulani nmepata kauoga rohoni
 
Back
Top Bottom