Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Mkuu weka vizuri hiyo reply yako,tunataka mpwayungu village ayajibu vizuriMkuu unahimili vip hisia zako unapo waponda walimu , pale wanaporudisha mapigo kama kukuita shoga ? 2. Wakati unaandika ule uzi wako wakutaman kupata fursa wazopata wanawake , je hukufahamu walimu watautafsiri kivingne na kutumia kama silaha ya kukumaliza? 3 na unakabiliana vipi na hilo?
Mpwayungu inaonekana umepitia turbulent past. But, anyway I like your gust and some of your posts. Lakini siyo ile ulosema ugependa ungezaliwa mwanamke.Story ni ndefu, nikija kuitoa wote mtanipa pole, anyway ipo siku nitaweka wazi [emoji120]
Mleta mada yupo vizuriMpwayungu inaonekana umepitia turbulent past. But, anyway I like your gust and some of your posts. Lakini siyo ile ulosema ugependa ungezaliwa mwanamke.
Anajitoa akili! Si ajabu hata hilo li NGO analofanyia kazi ni itakua linasambaza vilainishi! Hata yeye si mzimaHalafu mleta mada ansema yeye ni mwanasheria na amesoma degree,ahahaa
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115] hiyo sheria ya nchi gani[emoji848][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji848]View attachment 2573785
AahahahaAnajitoa akili! Si ajabu hata hilo li NGO analofanyia kazi ni itakua linasambaza vilainishi! Hata yeye si mzima
Humu tupo na wajukuu zetu kabisa.Kumbe wewe ni sawa na mtoto wangu. Naye kazaliwa 1997
Huyu jamaa ni kichaa kasema yeye sio mwalimu ila anajibu hana ugomvi na walimu wenzie.Story ni ndefu, nikija kuitoa wote mtanipa pole, anyway ipo siku nitaweka wazi [emoji120]
Kumbe kijana mdogo hivi...Kiufupi nilizaliwa kijiji cha mpwayungu Kata ya mpwayungu tarafa ya mpwayungu iliyoko wilaya ya chamwino mkoani dodoma mwaka 1997. Tupo watatu ktk Familia yetu wawili wasichana na mimi ni mtoto WA kiume pekee ktk familia yetu.
Kijiji cha mpwayungu kimepakana na vijiji kadhaa Kwa upande wa mashariki kimepakana na kalenga, upande wa magharibi kimepakana na huzi, upande wa kaskazini kimepakana na kijiji cha Nagulo na upande wa kusini kimepakana na Nghambaku
Asante [emoji120]
- Kwa umri wako huwezi ukawa umesoma degree 2, yaani bscphysics na Law (LLB),Huyu lofa mpaka Leo anakaza tu, mkuu sipo chuo la ajabu hilo. Mimi sheria nimesoma udsm
Mkuu kwani kuna ubaya gani mtu akiwa mdogo ?Kumbe kijana mdogo hivi...
Anajiuma uma tuHuyu jamaa ni kichaa kasema yeye sio mwalimu ila anajibu hana ugomvi na walimu wenzie.
Ulimaliza shule ya msingi mwaka gani?Kiufupi nilizaliwa kijiji cha mpwayungu Kata ya mpwayungu tarafa ya mpwayungu iliyoko wilaya ya chamwino mkoani dodoma mwaka 1997. Tupo watatu ktk Familia yetu wawili wasichana na mimi ni mtoto WA kiume pekee ktk familia yetu.
Kijiji cha mpwayungu kimepakana na vijiji kadhaa Kwa upande wa mashariki kimepakana na kalenga, upande wa magharibi kimepakana na huzi, upande wa kaskazini kimepakana na kijiji cha Nagulo na upande wa kusini kimepakana na Nghambaku
Asante [emoji120]
Inawezekana mpwayungu ni genius. Ndiyo maana anaanza kujiuliza maswali ambiguous. Na hiyo ni moja ya element ya watu wa akili kubwaKu
PCM!!?
Shikamoo mkuu
AahahahaInawezekana mpwayungu ni genius. Ndiyo maana anaanza kujiuliza maswali ambiguous. Na hiyo ni moja ya element ya watu wa akili kubwa
Akili za huyo ndugu, ukijumlisha na hiyo NGO anayofanyia kazi, inaleta ukakasi! Juzi alianzisha uzi kua anatamani kua mwanamke, kua wanaume tunapitia shuruba kali kuliko wanawake[emoji1787][emoji1787]Aahahaha
Atutajie hiyo NGO Ili tuende wizara ya mambo ya ndani tukaulizie details zake
Na sisi 1966 unatuvulia au1997
Yaani wewe pichu siwez kukuvulia just in case
MkuuNdio ni sawa na mtoto wako