Mnhamba jr
Senior Member
- Mar 10, 2023
- 164
- 448
Mkuu upo hapo kijiji muda huu?,,,nipo hapa ng'wenda villageKiufupi nilizaliwa kijiji cha mpwayungu Kata ya mpwayungu tarafa ya mpwayungu iliyoko wilaya ya chamwino mkoani dodoma mwaka 1997. Tupo watatu ktk Familia yetu wawili wasichana na mimi ni mtoto WA kiume pekee ktk familia yetu.
Kijiji cha mpwayungu kimepakana na vijiji kadhaa Kwa upande wa mashariki kimepakana na kalenga, upande wa magharibi kimepakana na huzi, upande wa kaskazini kimepakana na kijiji cha Nagulo na upande wa kusini kimepakana na Nghambaku
Asante [emoji120]
AiseeAkili za huyo ndugu, ukijumlisha na hiyo NGO anayofanyia kazi, inaleta ukakasi! Juzi alianzisha uzi kua anatamani kua mwanamke, kua wanaume tunapitia shuruba kali kuliko wanawake[emoji1787][emoji1787]
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Mziki kama huo, alafu unaambiwa ela kesho, au boss hapatikani kwenye simu[emoji1787][emoji1787] yeye anaona mateso, ni bora awe anajiremba na kutafuta mabwana wa kuwachuna tu
Sasa kuna mtu hapoView attachment 2573802View attachment 2573804
Mkuu,ngoja ninyamaze,nilisema kwa nyuzi zile huyu jamaa atakuwa na msongo huyuUlituambia nini mkuu!?
Nlikuwa form 3 mshenzi anatukana walimu1997 niko STD 3 wewe mshenzi unazaliwa,then kutwa kutukana Waalimu
Heshima yako mkuu 👊 kijana amekosa busaraNlikuwa form 3 mshenzi anatukana walimu
🤣🤣🤣🤣🤣Mpwayangu kwasababu unaelewa mambo mengi ya walimu, inaonekana wewe ni mwalimu na haujapata ajira, maana hadi mishahara yao unaifahamu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Yaani akili ya mwanamke huwa ipo katikati ya mapaja yake. Muda wote anawaza uchi wangu uchi wangu[emoji16][emoji16]
Mzee kama Peter kibatalaSwali; kwakuwa kumezaliwa wa jinsi ya kiume pekeako, tunakubaliana kabisa kwamba tabia za kikekike umeadapt toka kwa dada zako. Kitendo ambacho kilipelekea wewe kutamani ungezaliwa na jinsi ya kike. Je, utakubaliana na mimi kwamba ww una element za kishoga?
Hawana akili kwasababu shoga sio mwanamke, hata hivyo huwa nawapuuza tu kwasababu mm nilizungumza fursa za mwanamke kiuchumi nasio ngono nasikusema nataka kuwa chokoMkuu unahimili vip hisia zako unapo waponda walimu , pale wanaporudisha mapigo kama kukuita shoga ? 2. Wakati unaandika ule uzi wako wakutaman kupata fursa wazopata wanawake , je hukufahamu walimu watautafsiri kivingne na kutumia kama silaha ya kukumaliza? 3 na unakabiliana vipi na hilo?
Bado natamani ila haiwezekani maana nimeshazaliwa mwanaumeBado unatamani kuwa mwanamke au umeshaghairi?
Mtu mwenye miaka 26 ni mtoto?
Yaani kumbe katoto ka 97 ndio kanawaponda waalimu namna hii humu jamviniKiufupi nilizaliwa kijiji cha mpwayungu Kata ya mpwayungu tarafa ya mpwayungu iliyoko wilaya ya chamwino mkoani dodoma mwaka 1997. Tupo watatu ktk Familia yetu wawili wasichana na mimi ni mtoto WA kiume pekee ktk familia yetu.
Kijiji cha mpwayungu kimepakana na vijiji kadhaa Kwa upande wa mashariki kimepakana na kalenga, upande wa magharibi kimepakana na huzi, upande wa kaskazini kimepakana na kijiji cha Nagulo na upande wa kusini kimepakana na Nghambaku
Asante [emoji120]
1997
Yaani wewe pichu siwez kukuvulia just in case
Labda umuogeshe au umpime magonjwa mtambukaUvuwe ili nifanyeje
Kumbe [emoji23][emoji23][emoji23]au nimfulieLabda umuogeshe au umpime magonjwa mtambuka