Ni mwl kumbe
Unajikuta TISS wa mchongo eeh. 😃😃Kwema mdogo wangu.
Habari za Kiga...ni
Ujue tu kaka yako naelewa location yako na sio dhambi kijana😂Unajikuta TISS wa mchongo eeh. 😃😃
Mbona Mimi sikai huko mkuu.
Hamueleweki ndio tatizooNjoo kwangu mi mkubwa mwenzio
Shoga kama wewe unapata waoi nguvu ya kubwata? Unanuka maviUtakesha sana kunifatilia nahutanijua mbwa wewe, ebu Fata maisha yako mkuu acha ukike
Hahahahah dahhh kajua kuumbukaAahhahaja
Nasikia jamaa anaongea na mods Ili nipigwe ban
Ana thread zako za ualimu huko juuAtakuwa mtoto wa mwalimu wa Kigogo ambaye aliishia kulewea mafao dogo akafura hadi leo
Baada ya kuhama kutoka Makurumla akahamia Mburahati Primary school. Makurumla haijaanzishwa mwaka huo anaosema. Moja ya shule kongwe hasa kimichezo kwa kuwa ilikuwa Ina uwanja mkubwa uliotumika kimichezo ktk wilaya ya Kinondoni.Anafikiri miye napenda uongo kama yeye
Nimeanza Makurumla mwka 1995,shule ikiitwa Makurumla
Mwaka 1999 baada ya Baba wa Taifa kufariki ndipo Kwa heshima yake shule ikabadilishwa ikaitwa Mwalimu Nyerere
Kama Bado anabisha nimuunganishe na Mwalimu wangu wa Darasa la Nne na Tano wa Kiswahili mwalimu Lugano na yule sayansi mwalimu Prosper waweke rekodi sawa
Mwalimu Lugano yupo Mburahati na kwake na kupeleka
Nimezisoma, kumbe hasira za kukosa ajiraAna thread zako za ualimu huko juu
SahihiBaada ya kuhama kutoka Makurumla akahamia Mburahati Primary school. Makurumla haijaanzishwa mwaka huo anaosema. Moja ya shule kongwe hasa kimichezo kwa kuwa ilikuwa Ina uwanja mkubwa uliotumika kimichezo ktk wilaya ya Kinondoni.
Bora upite kimya[emoji4]Sasa mtoto wa 1997 nimuulize kitu gani?
AahaajhBora upite kimya[emoji4]
Wewe ni mwalimu?Kiufupi nilizaliwa kijiji cha mpwayungu Kata ya mpwayungu tarafa ya mpwayungu iliyoko wilaya ya chamwino mkoani dodoma mwaka 1997. Tupo watatu ktk Familia yetu wawili wasichana na mimi ni mtoto WA kiume pekee ktk familia yetu.
Kijiji cha mpwayungu kimepakana na vijiji kadhaa Kwa upande wa mashariki kimepakana na kalenga, upande wa magharibi kimepakana na huzi, upande wa kaskazini kimepakana na kijiji cha Nagulo na upande wa kusini kimepakana na Nghambaku
Asante [emoji120]
Ni mwendo wa hivi tuWalimu kumkaba koo mpwayangu haikubaliki kabisa
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]pole yakeNimezisoma, kumbe hasira za kukosa ajira
Yeye pia mwl mbonaaWalimu kumkaba koo mpwayangu haikubaliki kabisa
Papai iliNa hii inamanisha bado anautaka uanamke
AahaaajaPapai ili