Niulizeni swali lolote lile kuhusu mimi, leo nipo tayari hata kufichua identification

Baada ya kuhama kutoka Makurumla akahamia Mburahati Primary school. Makurumla haijaanzishwa mwaka huo anaosema. Moja ya shule kongwe hasa kimichezo kwa kuwa ilikuwa Ina uwanja mkubwa uliotumika kimichezo ktk wilaya ya Kinondoni.
 
Baada ya kuhama kutoka Makurumla akahamia Mburahati Primary school. Makurumla haijaanzishwa mwaka huo anaosema. Moja ya shule kongwe hasa kimichezo kwa kuwa ilikuwa Ina uwanja mkubwa uliotumika kimichezo ktk wilaya ya Kinondoni.
Sahihi

Mashindano ya Kinesi yamefanyika sana pale shuleni
 
Wewe ni mwalimu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…