Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Ni mwl kumbe
Kwa ufaulu huu naweza kupata nafasi ya kusoma UDSM main kampasi?
Mimi nimhitimu wa chuo cha ualimu x ngazi ya kati yaani diploma nimepata GPA ya 3.6 SWALI: Je, kwa ufaulu huu naweza kupata nafasi yakusoma shahada i.e. Bachelor chuo kikuu UDSM main kampasi? Wenye uzoefu tafadhali ili kama main campus kuna compitition nisitupe 10000 yangu niaply Teofilo Kisanji.