Niulizeni swali lolote lile kuhusu mimi, leo nipo tayari hata kufichua identification

1)Mtoto pekee wa kiume ✔️
2)Miaka 26✔️
3)Madada wawili✔️
4)Sawa✔️
✍️✍️✍️✍️
 
Naomba ushemeji
Ukikubali nabadikisha hii signature yangu
 
Tueleze kuhusu elimu Yako, sekondari na A level ulisoma comb Gani kama ulisoma hiyo level, bila kusahau kutuambia elimu Yako ya chuo ni ngazi gani..!? Degree, diploma ama certificate ya taaluma gani na ulisoma chuo gani!
 
Swali; kwakuwa kumezaliwa wa jinsi ya kiume pekeako, tunakubaliana kabisa kwamba tabia za kikekike umeadapt toka kwa dada zako. Kitendo ambacho kilipelekea wewe kutamani ungezaliwa na jinsi ya kike. Je, utakubaliana na mimi kwamba ww una element za kishoga?
 
Tueleze kuhusu elimu Yako, sekondari na A level ulisoma comb Gani kama ulisoma hiyo level, bila kusahau kutuambia elimu Yako ya chuo ni ngazi gani..!? Degree, diploma ama certificate ya taaluma gani na ulisoma chuo gani!
Lakini pia Kwa kuwa umesema upo tayari kufichua identification, basi usifiche chochote..weka na picha yako utueleze pia Kwa sasa unafanya shughuli Gani na wapi!
 
Shikamoo mkuu

Umegonga mule mule,

Labda pia atuambie ye ni wangapi kuzaliwa kati ya hao watoto watatu!?
 
Tueleze kuhusu elimu Yako, sekondari na A level ulisoma comb Gani kama ulisoma hiyo level, bila kusahau kutuambia elimu Yako ya chuo ni ngazi gani..!? Degree, diploma ama certificate ya taaluma gani na ulisoma chuo gani!
Olevo nimesoma Dr salmin, advance nimesoma ifunda(PCM) chuo nimesoma Udom na udsm bachelor of science in physics na law respectively
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…