Niulizeni swali lolote lile kuhusu mimi, leo nipo tayari hata kufichua identification

Niulizeni swali lolote lile kuhusu mimi, leo nipo tayari hata kufichua identification

We Sio kweli Makurumla haijaanzishwa 2007
Anafikiri miye napenda uongo kama yeye


Nimeanza Makurumla mwka 1995,shule ikiitwa Makurumla

Mwaka 1999 baada ya Baba wa Taifa kufariki ndipo Kwa heshima yake shule ikabadilishwa ikaitwa Mwalimu Nyerere

Kama Bado anabisha nimuunganishe na Mwalimu wangu wa Darasa la Nne na Tano wa Kiswahili mwalimu Lugano na yule sayansi mwalimu Prosper waweke rekodi sawa

Mwalimu Lugano yupo Mburahati na kwake na kupeleka
 
YaanI leo nikifika BIHAWANA naulizia kijana alifika sekondari ntampata tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Njia ya kwao Kwa bihawana utazunguka sana maana bihawana kama unaelekea No ndwa au ng'ome wao kwao ukifiki mpunguzi ingia kulia
Bihawana karibu sana na mjini Dodoma nauli nadhani 1500 au imepanda 2000 hivi
Hawa kwao pale MPUNGUZI UKIVUKA DARAJA UPANDE WA KULIA UNAKULA VUMBI KM LISAAA NA NUSU NDO UNAINGIA MPWAYUNGU HAPO
 
Anadai makurumla ilianzishwa 2007 [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]dahh
Makurumla ilikuwepo hata kabla ya 1999
Makurumla ilibadilishwa kuwa Mwalimu Nyerere mwaka 1999
Kipi hakieleweki hapo!?
 
Hawana kosa kwa nchi yetu, section ya 154 ya penal code inatoa adhabu Kwa wanaofanya mapenzi against nature, against nature inamuhusu mwanamke tuu kuingiliwa nyuma hilo ndo kosa. Kwa shoga our law is silent
MpwayunguLicious 🏳️‍🌈🏳️‍🌈🏳️‍🌈🏳️‍🌈
Naona unatetea wenzako kwa kudanganya eti hakuna sheria nchini kuhusu mashoga.... Wewe mtoto wa 1997 umeharibiak sana, wewe mgogo wa wapi maana huwa nawaona wagogo pamoja na ku luck exposure ila uanaume wao wanaujari sana...
 
Msomi wa kigogo labda.
Mtu muongo kama huyu kasomea kitu gani?
Kuna siku anaamua kuchukua picha mtandaoni na aseme yuko See cliff...
KUna siku aliposti V8 kumbe la mtandaoni
 
Anafikiri miye napenda uongo kama yeye


Nimeanza Makurumla mwka 1995,shule ikiitwa Makurumla

Mwaka 1999 baada ya Baba wa Taifa kufariki ndipo Kwa heshima yake shule ikabadilishwa ikaitwa Mwalimu Nyerere

Kama Bado anabisha nimuunganishe na Mwalimu wangu wa Darasa la Nne na Tano wa Kiswahili mwalimu Lugano na yule sayansi mwalimu Prosper waweke rekodi sawa

Mwalimu Lugano yupo Mburahati na kwake na kupeleka
Napajua maana nimesoma secondary na waliomaliza Makurumla hapo ndo maana nimembishia 2007 namaliza advance Mimi
 
Back
Top Bottom