Hapana,ila namjua huyo dada ngoja niwasikilize kwanza niwape maksiHawa sio wasabato ila jana usiku nimewasikiliza hadi moyo ukapata ganzi.
View: https://youtu.be/Bvx_xmzJ-ik?si=jvCvS7iNXv15vsi9Joannah ushawahi uona?
Siku nzima leo wimbo unazunguka kichwani, nimeupenda sana.Hapana,ila namjua huyo dada ngoja niwasikilize kwanza niwape maksi
Wapo vzr nakubaliana na ww kwenye suala la uimbajiKwanza kabisa mwanzo wa yote wacha niweke msimamo wangu kuwa mimi sio mtu wa dini yoyote(sina dini ).
Turudi kwenye dhumuni la uzi huu ambalo ni kuwapa pongezi zao Seventh Day Adventist(SDA) kwa namna ambavyo ni mafundi haswa wa kuimba nyimbo za dini mpaka mtu ana burudika haswa.
Mimi ni mpenzi sana wa muziki, napenda miziki ya aina mbalimbali ikiwemo bolingo, hip hop, bongo fleva, Afro beats, Mziki wa south, Gospel n.k
Katika gospel napenda sana ngoma za RC na SDA kwa sababu moja tu ni kwamba hawa ni wanaimba kwaya tofauti na wengine na kwaya ina mtiririko wa sauti kuanzia 1 mpaka 4.
Sasa hawa wasabato wanajua namna ya kutiririka katika sauti hizo nne kuanzia ya kwanza mpaka ya nne zote unazipata clear kabisa na kwa kuvutia.
Hawa jamaa huwa wana nifurahisha sana na kwaya zao wanajua haswa.
Wasabato wote mliomo humu chukueni mauaπ yenu kwa niaba ya wenzenu toka kwangu aisee kwaya zenu zinajua haswa maana halisi ya nyimbo za gospel zinapaswa vipi kuwa.
View attachment 2743399
Tahadhari: Huu uzi sio wa mapambano ya kidini.
Ndiyo ni Wasabato.Zabron Singers ni Wasabato?
Njoo usabatoni ule Raha. Alafu uje utibeli upate furaha
Dar Huwa unasalia wapi mkuu...
Na Mimi nilikuwa KKKT
NIMEANZA KUJIFUNZA USABATO MWAKA SASA.
Mara kwa mara nipo Manzese au Mwenge
Mimi nipo Mwenge Mkuu.
Nipo na pastor Manday
nazpatajr hizo mkuu
sio huo mkuuSDA Kurasini hao unaitwa "Haja ya Moyo" kama sijakosea
nazpatajr hizo mkuu
Wimbo mzuri sana,mambo ya praise hayo......Hawa sio wasabato ila jana usiku nimewasikiliza hadi moyo ukapata ganzi.
View: https://youtu.be/Bvx_xmzJ-ik?si=jvCvS7iNXv15vsi9Joannah ushawahi uona?
Hauna utukufu zaidi ya biashara tuWimbo mzuri sana,mambo ya praise hayo......
Chini ya mwalimu wao wa kwaya marehemu Kibaso hakika kurasini SDA ilikua motoHizo ni moja kati nyimbo zangu pendwa za sda.
- Aseneno (nimeona)
- Chungi amalo (simama)
- Mungu si binaadam
- Nyundo
- Upendo
- Hoziana
PS. Kama huu uzi hautafutwa nitaamini mods wana double standard....jana nimeweka wimbo wa Catholic wameufuta haraka sana
Ukisikiliza unaona kabisa dhambi huna na Yesu anarudi kukuchukua.Wimbo mzuri sana,mambo ya praise hayo......
Hapa ndio wasabato mnapojifanyaga nyie ndio mnajua utukufu kuliko wakristo wenzenu acha ukiritimba...sisi wa madhehebu mengine mbona hatukosoi nyimbo zenu?non senseHauna utukufu zaidi ya biashara tu
Mnapiga makelele na sio mnaimbaHapa ndio wasabato mnapojifanyaga nyie ndio mnajua utukufu kuliko wakristo wenzenu acha ukiritimba...sisi wa madhehebu mengine mbona hatukosoi nyimbo zenu?non sensenapi