Niwape maua yenu Wasabato, mnajua kuimba nyimbo za dini

Niwape maua yenu Wasabato, mnajua kuimba nyimbo za dini

Wazinifu wapo Mkuu.

Ila wapo pia waaminifu Sana Mkuu.
Waaminifu ni 1 kwa 10000! Wengi wanazagamuana hatari!! Haipendezi namna hii! Mungu ni Mtakatifu! Yawapasa wanaosogea kumhudumia pia wafue MAVAZI yao! Imewapasa kuwa safi nyakati zote! Vingenevyo, uimbaji wao mzuri hugeuka kuwa kelele mbele za MUNGU!
 
Upo sahihi kabisa wasabato wanaimba bila hata kuruka majoka lakini una burudika vyema
So special, unapaswa kutambua kuwa uimbaji ni mahubiri na ni ibada takatifu mbele za MUNGU. Kama unaburudika jiulize mara mbili mbili! Nadhani lengo namba moja la uimbaji wa nyimbo za injili siyo kukuburudisha wewe! Hizi siyo bongo flavor!
 
Waaminifu ni 1 kwa 10000! Wengi wanazagamuana hatari!! Haipendezi namna hii! Mungu ni Mtakatifu! Yawapasa wanaosogea kumhudumia pia wafue MAVAZI yao! Imewapasa kuwa safi nyakati zote! Vingenevyo, uimbaji wao mzuri hugeuka kuwa kelele mbele za MUNGU!

Mungu ni wa MTU mmoja mmoja sio WA kikundi cha watu
 
  • injili family international-songa mbele (From Congo)
  • ambassadors of Christ twapaona
  • pillers of faith -jua litue, upendo
  • Magena Main Youth Choir- mamlaka, burudika, ombi langu
  • natembea mm ni marahemu
 
Mungu ni wa MTU mmoja mmoja sio WA kikundi cha watu
Kama ni hivyo, kila mmoja mmoja na aabudu chumbani kwake hakuna haja ya kukutana makanisani na kuabudu kwa pamoja!

Lazima ujue, kanisa ni mwili wa Kristo! Na sisi hao mmoja mmoja unaosema tu viungo wake!!

Kama kiungo kimoja kinazingua basi mwili mzima hauwezi kuwa na afya!
 
Kama ni hivyo, kila mmoja mmoja na aabudu chumbani kwake hakuna haja ya kukutana makanisani na kuabudu kwa pamoja!

Lazima ujue, kanisa ni mwili wa Kristo! Na sisi hao mmoja mmoja unaosema tu viungo wake!!

Kama kiungo kimoja kinazingua basi mwili mzima hauwezi kuwa na afya!

Nani aliyekuambia Watu Kanisani wanaenda kuabudu?
 
Nani aliyekuambia Watu Kanisani wanaenda kuabudu?
Wanaenda kufanya nini? Ni ukweli usiopingika ibada ni maisha yako ya kila siku! Unajua kama kutoa sadaka ni ibada? Unajua kama kushukuru ni ibada? Unajua kama kusoma neno la Mungu ni ibada? Unajua kama kusali ni ibada? Kwahiyo nyie Kanisani mnaenda kufanya nini?
 
Meli ina yumba yumba - Msanii Muziki
Moyoni Mwangu Mbare University
 
Imesalia raha ya sabato kwa watu wa Mungu waebrania 4:9
Uwe na sabato njema

Nakushauri ingia YouTube kaisikilize nyimbo ya kirumba Adventist choir MBINGUNI HATUTAZEEKA, Usiku wako utakua murua sana na WA ajabu.
Awatafute pia Beroya Advent Mission Choir wimbo unaitwa jiwe.

Hao kirumba napenda wimbo wao wa Kristo wa neema yote.
 
Back
Top Bottom