Niwape maua yenu Wasabato, mnajua kuimba nyimbo za dini

Niwape maua yenu Wasabato, mnajua kuimba nyimbo za dini

Nawazungumzia hao waliosifiwa kwenye platform siyo hao wa Manzese
Pia hata hao uliowazungumzia ni waimbaji wa nyimbo za Mungu wa kujitegemea wala si kwaya za Kanisa flani kama kwaya (waimbaji tofauti tofauti wenye muunganiko wa sauti zote 4).

Mfano:

Album ya Christina Shusho "Unikumbuke" wala haina mahali ambapo kuna sauti ya 3 na ya 4 zilizoimbwa na Wanakwaya.


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
1. Ayubu - Imba kwa akili.

2. Ni vyema - Light Bearers.

3. Heka heka za maisha - Iringo SDA Church.

4. Maisha ya dunia - Rock Of Ages Ministry.

5. Niacheni niseme - Kingongo SDA Church.

6. Umoja - Tanika Family.

7. Utukuzwe - Nyegezi SDA Church.

8. Mwingi wa rehema - Light Bearers.

9. Msalaba - Ambassadors Of Christ.

10. Usisononeke - Glorious Singers.

11. Msitu wa ajabu - Mbiu SDA Church.

12. Kisa chake - Burka SDA Church.

13. Ebenezer - Ukonga SDA Church.

14. Naliona mkutano Mkubwa - Chalinze SDA Choir.

15. Nakuomba Roho Mtukufu - Moshi Central Adventist Youth Choir.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Ningewapa maua iwapo wangeshika guitar, keyboard, drums, trumpet nk wakapiga wenyewe live badala ya kupigiwa na computer

Mimi nawapa maua yao kwa
  1. Usafi wa mavazi, mwili na mazingira
  2. Ulaji wa vhakula asili
  3. Kwa akina mama kukata nywele badala ya curl kit
  4. Nidhamu katika ibada
Ila sifurahishwi na kitendo chao cha kuwashambulia wakatoliki kwamba Papa ni mnyama
Tuachane na hayo masuala mengine tuzungumzie nyimbo zao bora zenye kuburudisha vyema
 
1. Ayubu - Imba kwa akili.

2. Ni vyema - Light Bearers.

3. Heka heka za maisha - Iringo SDA Church.

4. Maisha ya dunia - Rock Of Ages Ministry.

5. Niacheni niseme - Kingongo SDA Church.

6. Umoja - Tanika Family.

7. Utukuzwe - Nyegezi SDA Church.

8. Mwingi wa rehema - Light Bearers.

9. Msalaba - Ambassadors Of Christ.

10. Usisononeke - Glorious Singers.

11. Msitu wa ajabu - Mbiu SDA Church.

12. Kisa chake - Burka SDA Church.

13. Ebenezer - Ukonga SDA Church.

14. Naliona mkutano Mkubwa - Chalinze SDA Choir.

15. Nakuomba Roho Mtukufu - Moshi Central Adventist Youth Choir.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Wacha niburudike na hizi
 
Wewe ni msabato tu. Kuna mwenzio alianzisha thread yake ya kushawishi watu wawe wasabato alipewa nondo hadi alikimbia. [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom