Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
- Thread starter
- #21
Ulisoma hiki nilicho andika ?Hujatoa maoni kuhusu gospel za madrasa na qasda.
Tahadhari: Huu uzi sio wa mapambano ya kidini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulisoma hiki nilicho andika ?Hujatoa maoni kuhusu gospel za madrasa na qasda.
Tahadhari: Huu uzi sio wa mapambano ya kidini.
Mathare North Youth SDA Choir"Nitakaa nyumbani mwa Baba".Yes they are good. Lakini umesahau kuweka kawimbo
Kishindo cha wakoma kiliwakimbiza washami😁Kishindo Cha wakoma-Njiro SDA choir
Ngoma ni balaa sana.Kishindo cha wakoma kiliwakimbiza washami😁
Angalia hapa..Hilo tatizo la kufutwa nyuzi hata mimi jana lilinikumba niliweka zikafutwa bila hata kuchangiwa sijui shida nini ?
Hizo nyimbo za SDA kwaya gani zimeimba ? Unaweza weka majina ya kwaya kama utaweza tafadhali
So do I napenda sana kijaluo japo sio kibantu. Kuna mtu anaitwa Tony nyadundo anaimba sana nyimbo za kijaluo nina nyimbo zake kama 20 hivi unawezajua nami mjalauoAseneno naupenda sana.
Asante sanaAngalia hapa..
Upendo na yundo imeimbwa na Pillars of faith
Hoziana _ ambassador
Mungu si binaadam na chungi amalo rongo central youth choir
View attachment 2743390
Wimbo naukubali sana huu. Lazima niusikilize kabla sijalalaKishindo Cha wakoma-Njiro SDA choir
Aah kama unazo hadi za Tony basi kweli unazipenda.So do I napenda sana kijaluo japo sio kibantu. Kuna mtu anaitwa Tony nyadundo anaimba sana nyimbo za kijaluo nina nyimbo zake kama 20 hivi unawezajua nami mjalauo
Aah Kwa kweli mkiamuaga kukiamsha utasema ndio Ile saa Mwana wa Adam anashuka.Unikute nimevaa Shati langu la njano alafu napiga Sauti ya tatu. Na nilivyo na Sifa sasa. Hapo ni Vocal tuu
Mziki wake huyo jamaa ni nomaKuna mtu anaitwa Tony nyadundo anaimba sana nyimbo za kijaluo nina nyimbo zake kama 20 hivi unawezajua nami mjalauo
Eti kweli Robert Heriel Mtibeli ?Ni kweli wanaimba sana tena vizuri
Japo ni wadhinifu sana sijui kwanini
Wengi wao ni wabishi wajuaji hasa siku ya sa7to
Kwanza kabisa mwanzo wa yote wacha niweke msimamo wangu kuwa mimi sio mtu wa dini yoyote(sina dini ).
Turudi kwenye dhumuni la uzi huu ambalo ni kuwapa pongezi zao Seventh Day Adventist(SDA) kwa namna ambavyo ni mafundi haswa wa kuimba nyimbo za dini mpaka mtu ana burudika haswa.
Mimi ni mpenzi sana wa muziki, napenda miziki ya aina mbalimbali ikiwemo bolingo, hip hop, bongo fleva, Afro beats, Mziki wa south, Gospel n.k
Katika gospel napenda sana ngoma za RC na SDA kwa sababu moja tu ni kwamba hawa ni wanaimba kwaya tofauti na wengine na kwaya ina mtiririko wa sauti kuanzia 1 mpaka 4.
Sasa hawa wasabato wanajua namna ya kutiririka katika sauti hizo nne kuanzia ya kwanza mpaka ya nne zote unazipata clear kabisa na kwa kuvutia.
Hawa jamaa huwa wana nifurahisha sana na kwaya zao wanajua haswa.
Wasabato wote mliomo humu chukueni maua[emoji253] yenu kwa niaba ya wenzenu toka kwangu aisee kwaya zenu zinajua haswa maana halisi ya nyimbo za gospel zinapaswa vipi kuwa.
View attachment 2743399
Tahadhari: Huu uzi sio wa mapambano ya kidini.