Niwape maua yenu Wasabato, mnajua kuimba nyimbo za dini

Niwape maua yenu Wasabato, mnajua kuimba nyimbo za dini

Nachojiuliza why waimbaji wa kisabato wanakimbizwa sana sokoni na kina Rose mhando, Bahati Bukuku, Martha mwaipaja, Edson Mwasabite, Flora Mbasha, Cristina shusho etc

Hata hawa kina zablon singers wanaosemwa ni wasabato ni kama wanabahatisha bahatisha..
Ukiwawekea mziki wa kina Rose mhando wanapigwa knock out
Nafikiri mitindo ya Zabron Singers, Rose Muhando, Good luck na wengineo ndio inawavutia wasikilizaji wengi wa Gospel bongo tofauti na namna SDA yenyewe inavyoimba.

Japo zipo kwaya maarufu za SDA zilizo tamba na zinazo tamba Mfano Mbiu SDA Choir ni maarufu na ina Album kubwa tu
 
So do I napenda sana kijaluo japo sio kibantu. Kuna mtu anaitwa Tony nyadundo anaimba sana nyimbo za kijaluo nina nyimbo zake kama 20 hivi unawezajua nami mjalauo
NAkutumia nyimbo Kali kuliko zote ulizozitaja Hapo juu. Kagoro sda wimbo unaitwa ka uwodha oserumo
 

Attachments

  • Kagoro_SDA_Choir-ka_wuodhwa_oserumo(240p).mp4
    10.1 MB
OMBI:

Anayeufahamu huu wimbo tafadhali anijuze niupakue YouTube, nimeshautafuta sana ila nimeshindwa kuupata, niliusikilizaga Morning Star Radio...[emoji116][emoji116]

BETI 1:

Twaitazamia asubuhi ya fahari yenye pumziko jema, waliochoka wakaribie msalaba wapate pumziko...×2.

CHORUS:

"Tuimbe kusifu, Haleluya, damu yake Yesu sisi yatusafi, asubuhi ya fahari tutamwona, akija nayo mawingu...×2".

BETI 2:

Wale wote waliosikia wito wake warejee kwa Bwana, wakaishi makao yale yenye amani wafurahi milele...×2.

CHORUS:

"Tuimbe kusifu, Haleluya, damu yake Yesu sisi yatusafi, asubuhi ya fahari tutamwona, akija nayo mawingu...×3".



Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kwanza kabisa mwanzo wa yote wacha niweke msimamo wangu kuwa mimi sio mtu wa dini yoyote(sina dini ).

Turudi kwenye dhumuni la uzi huu ambalo ni kuwapa pongezi zao Seventh Day Adventist(SDA) kwa namna ambavyo ni mafundi haswa wa kuimba nyimbo za dini mpaka mtu ana burudika haswa.

Mimi ni mpenzi sana wa muziki, napenda miziki ya aina mbalimbali ikiwemo bolingo, hip hop, bongo fleva, Afro beats, Mziki wa south, Gospel n.k

Katika gospel napenda sana ngoma za RC na SDA kwa sababu moja tu ni kwamba hawa ni wanaimba kwaya tofauti na wengine na kwaya ina mtiririko wa sauti kuanzia 1 mpaka 4.

Sasa hawa wasabato wanajua namna ya kutiririka katika sauti hizo nne kuanzia ya kwanza mpaka ya nne zote unazipata clear kabisa na kwa kuvutia.

Hawa jamaa huwa wana nifurahisha sana na kwaya zao wanajua haswa.

Wasabato wote mliomo humu chukueni maua[emoji253] yenu kwa niaba ya wenzenu toka kwangu aisee kwaya zenu zinajua haswa maana halisi ya nyimbo za gospel zinapaswa vipi kuwa.

View attachment 2743399

Tahadhari: Huu uzi sio wa mapambano ya kidini.
Mimi huwa narekodi audio za mahubiri na nyimbo zao kwenye smart phone nikiwa nimelala usiku.

Pia hata mahubiri yao yameshiba sana.

Kuna Mchungaji mmoja alifafanua vizuri unabii wa Daniel tokana na ndoto ya Mfalme Nebuchadnezzar "DANIEL 2" kuhusu tawala mbali mbali za kifalme za kidunia hadi Unabii utapotimia wa Yesu kuja kuutawala ulimwengu kwa ujio wa mara ya pili nilibarikiwa sana.

Uhakika wa kupata nyimbo za Wasabato zote ni vigumu sana ila ukisikiliza Morning Star Radio ya Wasabato na ukavizia siku za Alhamisi, Ijumaa kuamkia Jpili na J4 usiku utapata nyimbo zao nyingi sana tena zingine hadi za Msumbiji.



Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
So do I napenda sana kijaluo japo sio kibantu. Kuna mtu anaitwa Tony nyadundo anaimba sana nyimbo za kijaluo nina nyimbo zake kama 20 hivi unawezajua nami mjalauo
Wajaluo wana karama za uimbaji, huoni hata ile kwaya ya mbiu sda choir Mbagala Dar ilivyotikisa kwa asilimia kubwa Wajaluo ndiyo walikuwa wanakwaya, eg. "Tukutane paradiso".

Nimemkumbuka Marehemu Mwalimu wa kwaya Kurasini Mjaluo Kibaso.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli wanaimba sana tena vizuri
Japo ni wadhinifu sana sijui kwanini
Wengi wao ni wabishi wajuaji hasa siku ya sa7to
Miaka ya hivi karibuni 2010-2023 Ambassadors Of Christ kwaya toka Rwanda wametikisa sana wakifuatiwa na Light Bearers ya TZ japo zipo kwaya nyingine nyingi sana zinaimba vizuri sana.

Golden Gate ya Uganda nayo ilikuwa tishio East Africa enzi hizo.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Nachojiuliza why waimbaji wa kisabato wanakimbizwa sana sokoni na kina Rose mhando, Bahati Bukuku, Martha mwaipaja, Edson Mwasabite, Flora Mbasha, Cristina shusho etc

Hata hawa kina zablon singers wanaosemwa ni wasabato ni kama wanabahatisha bahatisha..
Ukiwawekea mziki wa kina Rose mhando wanapigwa knock out
Christina Shusho, Bahati Bukuku, Rose Muhando, Martha Mwaipaja wamekimbiza sana hasa hasa album zao za awali, ila hatimaye pumzi imekata kabakia Mwaipaja tu wengine wote siku hizi wanaimba nyimbo za kimataifa zisizo na utukufu wa Mungu kiuwasilishwaji kwa Hadhira husika.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
WhatsApp Image 2023-09-08 at 4.29.18 PM.jpeg
 
Mimi huwa narekodi audio za mahubiri na nyimbo zao kwenye smart phone nikiwa nimelala usiku.

Pia hata mahubiri yao yameshiba sana.

Kuna Mchungaji mmoja alifafanua vizuri unabii wa Daniel tokana na ndoto ya Mfalme Nebuchadnezzar "DANIEL 2" kuhusu tawala mbali mbali za kifalme za kidunia hadi Unabii utapotimia wa Yesu kuja kuutawala ulimwengu kwa ujio wa mara ya pili nilibarikiwa sana.

Uhakika wa kupata nyimbo za Wasabato zote ni vigumu sana ila ukisikiliza Morning Star Radio ya Wasabato na ukavizia siku za Alhamisi, Ijumaa kuamkia Jpili na J4 usiku utapata nyimbo zao nyingi sana tena zingine hadi za Msumbiji.



Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Upo sahihi
 
Kwanza kabisa mwanzo wa yote wacha niweke msimamo wangu kuwa mimi sio mtu wa dini yoyote(sina dini ).

Turudi kwenye dhumuni la uzi huu ambalo ni kuwapa pongezi zao Seventh Day Adventist(SDA) kwa namna ambavyo ni mafundi haswa wa kuimba nyimbo za dini mpaka mtu ana burudika haswa.

Mimi ni mpenzi sana wa muziki, napenda miziki ya aina mbalimbali ikiwemo bolingo, hip hop, bongo fleva, Afro beats, Mziki wa south, Gospel n.k

Katika gospel napenda sana ngoma za RC na SDA kwa sababu moja tu ni kwamba hawa ni wanaimba kwaya tofauti na wengine na kwaya ina mtiririko wa sauti kuanzia 1 mpaka 4.

Sasa hawa wasabato wanajua namna ya kutiririka katika sauti hizo nne kuanzia ya kwanza mpaka ya nne zote unazipata clear kabisa na kwa kuvutia.

Hawa jamaa huwa wana nifurahisha sana na kwaya zao wanajua haswa.

Wasabato wote mliomo humu chukueni maua💐 yenu kwa niaba ya wenzenu toka kwangu aisee kwaya zenu zinajua haswa maana halisi ya nyimbo za gospel zinapaswa vipi kuwa.

View attachment 2743399

Tahadhari: Huu uzi sio wa mapambano ya kidini.
Ningewapa maua iwapo wangeshika guitar, keyboard, drums, trumpet nk wakapiga wenyewe live badala ya kupigiwa na computer

Mimi nawapa maua yao kwa
  1. Usafi wa mavazi, mwili na mazingira
  2. Ulaji wa vhakula asili
  3. Kwa akina mama kukata nywele badala ya curl kit
  4. Nidhamu katika ibada
Ila sifurahishwi na kitendo chao cha kuwashambulia wakatoliki kwamba Papa ni mnyama
 
Christina Shusho, Bahati Bukuku, Rose Muhando, Martha Mwaipaja wamekimbiza sana hasa hasa album zao za awali, ila hatimaye pumzi imekata kabakia Mwaipaja tu wengine wote siku hizi wanaimba nyimbo za kimataifa zisizo na utukufu wa Mungu kiuwasilishwaji kwa Hadhira husika.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app

Rose mhando nae vipi ? Kuna mwimbaji wa kisabato anamzidi rose mhando kwa mauzo ya nyimbo zake ?
 
Ningewapa maua iwapo wangeshika guitar, keyboard, drums, trumpet nk wakapiga wenyewe live badala ya kupigiwa na computer

Mimi nawapa maua yao kwa
  1. Usafi wa mavazi, mwili na mazingira
  2. Ulaji wa vhakula asili
  3. Kwa akina mama kukata nywele badala ya curl kit
  4. Nidhamu katika ibada
Ila sifurahishwi na kitendo chao cha kuwashambulia wakatoliki kwamba Papa ni mnyama
Mbona kwaya zinazotumia hivyo vifaa kama magita zipo nyingi tu, mfano Manzese SDA church Dar.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom