Niwape maua yenu Wasabato, mnajua kuimba nyimbo za dini

Niwape maua yenu Wasabato, mnajua kuimba nyimbo za dini

Kuna wimbo mmoja sikumbuki waimbaji ni kina nani ila chorus yake ni hii"

kandokando,ya bahari marafiki tutakutana,mambo yatakuwa mapya tukiishi pamoja naye"

Mwenye idea nao jamani anitonye umeimbwa na nani.
SDA Kurasini hao unaitwa "Haja ya Moyo" kama sijakosea
 
Kurasini SDA Choir "Bwana akiwa upande wangu"
 
1. Ayubu - Imba kwa akili.

2. Ni vyema - Light Bearers.

3. Heka heka za maisha - Iringo SDA Church.

4. Maisha ya dunia - Rock Of Ages Ministry.

5. Niacheni niseme - Kingongo SDA Church.

6. Umoja - Tanika Family.

7. Utukuzwe - Nyegezi SDA Church.

8. Mwingi wa rehema - Light Bearers.

9. Msalaba - Ambassadors Of Christ.

10. Usisononeke - Glorious Singers.

11. Msitu wa ajabu - Mbiu SDA Church.

12. Kisa chake - Burka SDA Church.

13. Ebenezer - Ukonga SDA Church.

14. Naliona mkutano Mkubwa - Chalinze SDA Choir.

15. Nakuomba Roho Mtukufu - Moshi Central Adventist Youth Choir.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Umemaliza Kila kitu, malizia na yule mwimbaji wa arusha- nilikua msafiri bora
 
1. Ayubu - Imba kwa akili.

2. Ni vyema - Light Bearers.

3. Heka heka za maisha - Iringo SDA Church.

4. Maisha ya dunia - Rock Of Ages Ministry.

5. Niacheni niseme - Kingongo SDA Church.

6. Umoja - Tanika Family.

7. Utukuzwe - Nyegezi SDA Church.

8. Mwingi wa rehema - Light Bearers.

9. Msalaba - Ambassadors Of Christ.

10. Usisononeke - Glorious Singers.

11. Msitu wa ajabu - Mbiu SDA Church.

12. Kisa chake - Burka SDA Church.

13. Ebenezer - Ukonga SDA Church.

14. Naliona mkutano Mkubwa - Chalinze SDA Choir.

15. Nakuomba Roho Mtukufu - Moshi Central Adventist Youth Choir.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Hizo nyimbo Hapo chini sikuwahi kuzisikia Ila ni za moto sana, chalinze sda choir Pamoja na Moshi central youth.

Sikiliza
Buzuruga sda choir talanta Pamoja na wastahili.
 
Hizo ni hulka binafsi za watu
Usingejibu hivi, ningeamini ulichoandika mwanzo lakini kwa jibu hili la kiutetezi naanza kuamini yawezekana wewe ni SDA! Kama ndivyo, nakukumbusha tu amri inayokataza kumshuhudia jirani yako uongo!
 
Pia hata hao uliowazungumzia ni waimbaji wa nyimbo za Mungu wa kujitegemea wala si kwaya za Kanisa flani kama kwaya (waimbaji tofauti tofauti wenye muunganiko wa sauti zote 4).

Mfano:

Album ya Christina Shusho "Unikumbuke" wala haina mahali ambapo kuna sauti ya 3 na ya 4 zilizoimbwa na Wanakwaya.


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kwani Shusho ni kwaya?
 
Wewe ni msabato tu. Kuna mwenzio alianzisha thread yake ya kushawishi watu wawe wasabato alipewa nondo hadi alikimbia. [emoji23][emoji23]
Wanasahau kama uongo wa namna yoyote ile ni DHAMBI na ni chukizo kubwa mbele za MUNGU! Kwani akikiri na kujivunia usabato wake atauwawa?
 
Back
Top Bottom