Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Hapo kwenye kukulana hapo!hiyo kitu ni hatariKweli bible. Nyimbo zao zimetulia sana. Na aina ya uimbaji wao unafikisha ujumbe.
Tatizo wanakulana sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kwenye kukulana hapo!hiyo kitu ni hatariKweli bible. Nyimbo zao zimetulia sana. Na aina ya uimbaji wao unafikisha ujumbe.
Tatizo wanakulana sana!
Sure,na wao ni binadamu pia...binadamu si wakamilifu.
Wamebaki katika misingi halisi ambalo ni jambo zuri kabisaWanajitahidi,wanaishi misingi ya muziki halisi wa nota.
SDA Kurasini hao unaitwa "Haja ya Moyo" kama sijakoseaKuna wimbo mmoja sikumbuki waimbaji ni kina nani ila chorus yake ni hii"
kandokando,ya bahari marafiki tutakutana,mambo yatakuwa mapya tukiishi pamoja naye"
Mwenye idea nao jamani anitonye umeimbwa na nani.
Asante.SDA Kurasini hao unaitwa "Haja ya Moyo" kama sijakosea
Umemaliza Kila kitu, malizia na yule mwimbaji wa arusha- nilikua msafiri bora1. Ayubu - Imba kwa akili.
2. Ni vyema - Light Bearers.
3. Heka heka za maisha - Iringo SDA Church.
4. Maisha ya dunia - Rock Of Ages Ministry.
5. Niacheni niseme - Kingongo SDA Church.
6. Umoja - Tanika Family.
7. Utukuzwe - Nyegezi SDA Church.
8. Mwingi wa rehema - Light Bearers.
9. Msalaba - Ambassadors Of Christ.
10. Usisononeke - Glorious Singers.
11. Msitu wa ajabu - Mbiu SDA Church.
12. Kisa chake - Burka SDA Church.
13. Ebenezer - Ukonga SDA Church.
14. Naliona mkutano Mkubwa - Chalinze SDA Choir.
15. Nakuomba Roho Mtukufu - Moshi Central Adventist Youth Choir.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Hizo nyimbo Hapo chini sikuwahi kuzisikia Ila ni za moto sana, chalinze sda choir Pamoja na Moshi central youth.1. Ayubu - Imba kwa akili.
2. Ni vyema - Light Bearers.
3. Heka heka za maisha - Iringo SDA Church.
4. Maisha ya dunia - Rock Of Ages Ministry.
5. Niacheni niseme - Kingongo SDA Church.
6. Umoja - Tanika Family.
7. Utukuzwe - Nyegezi SDA Church.
8. Mwingi wa rehema - Light Bearers.
9. Msalaba - Ambassadors Of Christ.
10. Usisononeke - Glorious Singers.
11. Msitu wa ajabu - Mbiu SDA Church.
12. Kisa chake - Burka SDA Church.
13. Ebenezer - Ukonga SDA Church.
14. Naliona mkutano Mkubwa - Chalinze SDA Choir.
15. Nakuomba Roho Mtukufu - Moshi Central Adventist Youth Choir.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
AICZabron Singers ni Wasabato?
Namsifu makacha_nilikua msafiri boraUmemaliza Kila kitu, malizia na yule mwimbaji wa arusha- nilikua msafiri bora
Wazilete hizo nondo tuzioneWewe ni msabato tu. Kuna mwenzio alianzisha thread yake ya kushawishi watu wawe wasabato alipewa nondo hadi alikimbia. [emoji23][emoji23]
Hahahahahaha.....!Ni kweli wanaimba sana tena vizuri
Japo ni wadhinifu sana sijui kwanini
Wengi wao ni wabishi wajuaji hasa siku ya sa7to
Usingejibu hivi, ningeamini ulichoandika mwanzo lakini kwa jibu hili la kiutetezi naanza kuamini yawezekana wewe ni SDA! Kama ndivyo, nakukumbusha tu amri inayokataza kumshuhudia jirani yako uongo!Hizo ni hulka binafsi za watu
Kwani Shusho ni kwaya?Pia hata hao uliowazungumzia ni waimbaji wa nyimbo za Mungu wa kujitegemea wala si kwaya za Kanisa flani kama kwaya (waimbaji tofauti tofauti wenye muunganiko wa sauti zote 4).
Mfano:
Album ya Christina Shusho "Unikumbuke" wala haina mahali ambapo kuna sauti ya 3 na ya 4 zilizoimbwa na Wanakwaya.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Wanasahau kama uongo wa namna yoyote ile ni DHAMBI na ni chukizo kubwa mbele za MUNGU! Kwani akikiri na kujivunia usabato wake atauwawa?Wewe ni msabato tu. Kuna mwenzio alianzisha thread yake ya kushawishi watu wawe wasabato alipewa nondo hadi alikimbia. [emoji23][emoji23]