Niwatie moyo "single mothers"

Niwatie moyo "single mothers"

Joined
Mar 6, 2015
Posts
70
Reaction score
221
Miaka kadhaa iliopita dada yangu alizalishwa, na yule mwanaume alijibu jeuri sana wazazi walipomtafuta kumuuliza kuhusu kumpa mimba Yao, Kwa jeuri nyingi alisema amebeba kwa umalaya wake.

Miaka Mingi imepita yule baba alienda alioa kwa harusi kubwa sana akabahatika watoto wawili na yule mkewe.
Basi baada ya miaka Saba ya ndoa watoto wa yule baba walikufa ghafla waliumwa kiajabu ajabu kwa kupishana wakafa wote
Yakatokea mafarakano na yule mwanamke wakaachana.

Akajaribu kumtafuta dada kwamba anamuomba mtoto wake tukamwambia dada akija apa tunamtia petrol na kiberiti
Saivi kaoa tena mke mwingine atajijua na safari ake.

So kwa single mom wote muachieni Mungu. Anafimbo yake special kwa wote waliowadhalilisha.

1629180151864.png

 
Kwa jinsi ulivyoandika ni kama mlifurahia matatizo yaliyomkuta huyo jamaa. Familia yenu ina roho mbaya na ndiyo maana jamaa alioa na kudumu ndoani miaka 7 na akakuta bado huyo ndugu yako single.
Dada angu aliolewa ye aliomba mtoto wake
Na kusema ukweli mim nilivoskia ivo bila unafki nilifurahi maana nakumbuka miaka Ile dada angu alitaka kufa
 
Dada angu aliolewa ye aliomba mtoto wake
Na kusema ukweli mim nilivoskia ivo bila unafki nilifurahi maana nakumbuka miaka Ile dada angu alitaka kufa
Hakuna ambaye hawezi kupata matatizo ya kufiwa hili la kufurahia tatizo la shemeji yako wa kambo ni ujinga. Vipi kama angemzalisha mtu mwingine akaachana naye na kuoa mdogo wako kisha hao watoto wa mdogo wako wafariki, bado ungekenua magego?
 
Hakuna ambaye hawezi kupata matatizo ya kufiwa hili la kufurahia tatizo la shemeji yako wa kambo ni ujinga. Vipi kama angemzalisha mtu mwingine akaachana naye na kuoa mdogo wako kisha hao watoto wa mdogo wako wafariki, bado ungekenua magego?
Umeshasema hakuna ambae hawezi kupata matatizo tungeyapokea maana yameshatukuta
 
Mwanamke akishakuwa jeuri na mwenye dharau wengi huwa wanaishia kuzalia nyumbani na akili ndo huwa inakuja
Akili ilimkaa sawa aliolewa.
Lakini ata alieoa kwa kumuacha kwamba anakiburi walishaachana na mkewe na anaendelea kubadilisha wanawake hii inaitwa win win
 
Nimejikuta nampongeza mwamba kwa kitendo cha kutokuoa huyo mdogo wako. Mna familia mbovu na huwenda upande wa mama yako ni wachawi.
Mbona umepaniki mkuu kitendo cha huyo mwamba unayemsifia kutelekeza damu yake isiyokuwa na hatia unaona ni sawa unafahamu changamoto alizopitia huyo Mwanamke mpaka akajifungua salama bila saport ya baba kuna wengine adui huwa wanamuombea njaa
 
Acha kuhusishanisha mambo wewe...
Watu wasipate matatizo... Huyo dada ako au nyinyi hamtapata matatizo?

Its just his share and wait for yours.
Matatizo wote yanatukuta mengine tunajiletea kama mnavosema single mothers mdomo unawaponza the same to huyu roho mbaya yake ilimponza na majibu yake ya kiburi
Mungu sio athumani mkata mbao anaangalia uku na huku
 
Matatizo wote yanatukuta mengine tunajiletea kama mnavosema single mothers mdomo unawaponza the same to huyu roho mbaya yake ilimponza na majibu yake ya kiburi
Mungu sio athumani mkata mbao anaangalia uku na huku
Chonzi la Mwanamke huwa haliendi bure hasa akitendewa ubaya
 
Mbona umepaniki mkuu kitendo cha huyo mwamba unayemsifia kutelekeza damu yake isiyokuwa na hatia unaona ni sawa unafahamu changamoto alizopitia huyo Mwanamke mpaka akajifungua salama bila saport ya baba kuna wengine adui huwa wanamuombea njaa
Nuzulat mambo
 
Back
Top Bottom