Niwatie moyo "single mothers"

[emoji120][emoji120]
 
Kumbe hata uelewa wa ndoa huna na hujawahi funga hata ndoa kaa pembeni inapozungumziwa ndoa aliyekudanganya ndoa inajengwa na mwanaume kakosea Ndoa inajengwa na wawili na maanisha mke na Mume.
 
We jobless una mambo gani personal andika hapa
Jobless limekuwa tusi! Unaona namna ambavyo akili yako imekaa hovyo.

Huu ni mwaka wa 25 mimi ni jobless na sina mbele wala nyuma na maisha yangu ni kitendawili kikubwa sana.

Una kazi yoyote unipe hata kuzalisha masingle mama?
 
Kumbe hata uelewa wa ndoa huna na hujawahi funga hata ndoa kaa pembeni inapozungumziwa ndoa aliyekudanganya ndoa inajengwa na mwanaume kakosea Ndoa inajengwa na wawili na maanisha mke na Mume.
Nyie siku zote bado mtaendelea kuwa watumwa wa wanaume linapokuja suala la kuolewa, hauna ubavu wa kuoa ila utakaa na usubiri kuolewa na huyo mwanamume ambaye atakuona unafaa katika mia.
 
Jobless limekuwa tusi! Unaona namna ambavyo akili yako imekaa hovyo.

Huu ni mwaka wa 25 mimi ni jobless na sina mbele wala nyuma na maisha yangu ni kitendawili kikubwa sana.

Una kazi yoyote unipe hata kuzalisha masingle mama?
Pole mkuu
 
Nyie siku zote bado mtaendelea kuwa watumwa wa wanaume linapokuja suala la kuolewa, hauna ubavu wa kuoa ila utakaa na usubiri kuolewa na huyo mwanamume ambaye atakuona unafaa katika mia.
Nyie kwenye hiyo jumla mimi nitoe
 
Jobless limekuwa tusi! Unaona namna ambavyo akili yako imekaa hovyo.

Huu ni mwaka wa 25 mimi ni jobless na sina mbele wala nyuma na maisha yangu ni kitendawili kikubwa sana.

Una kazi yoyote unipe hata kuzalisha masingle mama?
Kumbe hata kazi huna ndo maana unateseka sana na hasira zako sio za kawaida
I can feel your pain huna kazi afu tunakulaani kwa kuzalisha mwanamke.
Yaani ulaaniwe uingiapo ulaaniwe utokapo ulaaniwe mpaka pumzi unayovuta. na mzigo wa mbao za mawe uwe juu yako
 
Jamanii madam image mtu jobless kisha anatembea na laana ya Single mamaz aliowatelekeza mtaani unadhani atakuwa na lugha nzuri .
 
😁😁😁Hii comment yako imenichekesha mno eti mzigo wa mbao uwe juu yako😬
 
Kazi sina, sina maisha yoyote wala sijui kula kwangu kwa siku ya leo itakuwaje ninaishi kwa nguvu za Mungu tu hapa duniani.

Sina uwezo hata wa kupata bao moja kuzalisha single mama na nikawakimbia baada ya kuwapa mimba.

Kifupi ni HOHEHAHE
 
Kazi sina, sina maisha yoyote wala sijui kula kwangu kwa siku ya leo itakuwaje ninaishi kwa nguvu za Mungu tu hapa duniani.

Sina uwezo hata wa kupata bao moja kuzalisha single mama na nikawakimbia baada ya kuwapa mimba.

Kifupi ni HOHEHAHE
Baada ya kutoka level hii uwe kichaa kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…