Niwe mmoja wa WanaJF mwenye nyumba kali

Niwe mmoja wa WanaJF mwenye nyumba kali

50 ndogo sana mkuu
Ila swimming pool haina haja hapo

iwe na garden ya kutosha tu na sehemu za kupumzika
Nyumba bila swimming pool inaonesha kuna dalili fulani za kimasikini

Affluence ni lazima kuwe na swimming pool.........garden kila mtu anayo by default

Ohh sijui familia za Kiafrika kuoga na watoto kwenye pool sio vizuri,sijui aibu and other blah blah ni excuse tu..watu wanaoga usiku with dim lights vizuri tu

Hakuna nyumba yenye swimming pool watu wanakufa kwa pressure na visukari

Kwanini watu wanaenda kilometa 100 kutafuta beach baharini?
 
50 ndogo sana mkuu
Ila swimming pool haina haja hapo

iwe na garden ya kutosha tu na sehemu za kupumzika
Kwangu swimming naona ni kitu chenye umuhimu. Kuogelea ni zoezi bora zaidi, Kisha kucheza muziki, Kisha kukimbia.

Hapa kwenye kibanda changu cha makuti nitachimba dimbwi niwe naogelea na NDUBWI.
 
Kwangu swimming naona ni kitu chenye umuhimu. Kuogelea ni zoezi bora zaidi, Kisha kucheza muziki, Kisha kukimbia.

Hapa kwenye kibanda changu cha makuti nitachimba dimbwi niwe naogelea na NDUBWI.
Hata wanyama wanapenda kuoga usije ukakuta python au Mamba wakiogelea just kidding [emoji23]
Ila mimi swimming pool naona kwanza ni hatari kwa watoto (rejea matukio mengi duniani)

La pili inahitaji usafi wa mara kwa mara na kuyabadili maji na madawa pia
Yaani gharama ni nyingi kuliko faida
Ila kila mmoja na mapenzi yake
Mimi bora niweke tennis [emoji462] ground na eneo kubwa la mazoezi (sio vyuma vizito)
 
Nyumba bila swimming pool inaonesha kuna dalili fulani za kimasikini

Affluence ni lazima kuwe na swimming pool.........garden kila mtu anayo by default

Ohh sijui familia za Kiafrika kuoga na watoto kwenye pool sio vizuri,sijui aibu and other blah blah ni excuse tu..watu wanaoga usiku with dim lights vizuri tu

Hakuna nyumba yenye swimming pool watu wanakufa kwa pressure na visukari

Kwanini watu wanaenda kilometa 100 kutafuta beach baharini?
Mkuu hiyo ya kusema nyumba bila swimming ni umasikini sio sahihi
Bora ungesifia tu kivingine
Hivi kwenye mtaa wako hata kama upo [emoji631] kuna nyumba ngapi zina swimming pool
Niko London na sioni nyumba ina swimming pool jirani zangu wote na mitaa kibao
Je ina maana niko na majirani masikini na mimi nikiwemo?

Kuna mzee mmoja alikuwa Dr kutoka Benin alikuwa swahiba wangu alikuwa anaishi Cambridge nyumba ilikuwa kubwa sana alikuwa na indoor swimming pool na akimaliza anaifunika kwa usalama na pia unaweza kuweka meza zako juu hapo ukatumia kama sehemu ya kupumzika

Sio wote wanaweka swimming mkuu ni upendo tu
 
Hata wanyama wanapenda kuoga usije ukakuta python au Mamba wakiogelea just kidding [emoji23]
Ila mimi swimming pool naona kwanza ni hatari kwa watoto (rejea matukio mengi duniani)

La pili inahitaji usafi wa mara kwa mara na kuyabadili maji na madawa pia
Yaani gharama ni nyingi kuliko faida
Ila kila mmoja na mapenzi yake
Mimi bora niweke tennis [emoji462] ground na eneo kubwa la mazoezi (sio vyuma vizito)
Mkuu

Swimming pool unazungushia uzio wa glass kama 1m high hakuna mdudu anaingia au watoto kudumbukia

Tennis and basketball courts ni my other favorites...

Kwa middle class family in TZ should have all these facilities

Ndio maana eneo kama Muthaiga Nairobi Kenya hakuna kiwanja less than 5 acres...TZ tufikie hizi standards sio huu upumbavu wa 1,500m2..viwanja vya njaa kali namna hii.

Ni maajabu TZ mtu anaweka na nyumba za wapangaji hapo hapo,anaweka na mafremu humo humo,yaani full ghasia...stupidity tupu!
 
Mkuu

Swimming pool unazungushia uzio wa glass kama 1m high hakuna mdudu anaingia au watoto kudumbukia

Tennis and basketball courts ni my other favorites...

Kwa middle class family in TZ should have all these facilities

Ndio maana eneo kama Muthaiga Nairobi Kenya hakuna kiwanja less than 5 acres...TZ tufikie hizi standards sio huu upumbavu wa 1,500m2..viwanja vya njaa kali namna hii.

Ni maajabu TZ mtu anaweka na nyumba za wapangaji hapo hapo,anaweka na mafremu humo humo,yaani full ghasia...stupidity tupu!
[emoji23][emoji23]
Mkuu Tz ardhi kubwa namna hiyo ila unakuta serikali inakata viwanja vidogo na kufanya watu waishi kama nchi zenye ardhi ndogo sana

Ni ujinga kweli kugawa visehemu kama nyumba za kuchezea watoto
Kweli mtu unajenga nyumba jambo la kwanza kufikiria ni kuwa na fremu za maduka

Hilo nakuunga mkono
Ningependa kuona serikali inagawa ardhi kubwa kama nyumba za USA mpaka raha
 
[emoji23][emoji23]
Mkuu Tz ardhi kubwa namna hiyo ila unakuta serikali inakata viwanja vidogo na kufanya watu waishi kama nchi zenye ardhi ndogo sana

Ni ujinga kweli kugawa visehemu kama nyumba za kuchezea watoto
Kweli mtu unajenga nyumba jambo la kwanza kufikiria ni kuwa na fremu za maduka

Hilo nakuunga mkono
Ningependa kuona serikali inagawa ardhi kubwa kama nyumba za USA mpaka raha
Kuna miji nilikuwa nafanyia kazi masuala ya upimaji wa viwanja. Nikakuta mpaka 300sqm. Kuwahoji inakuwaje wakanijibu simple tu, mwongozo wa wizara unaruhusu. Nikawa mpole. Hakika niliona sisi wabongo ni vituko, hatujifunzi kabisa
 
Back
Top Bottom