Mkuu
Upo sahihi kabisa
Kenya tu hapo nenda Muthaiga,Karen,etc viwanja ni 5 acres mzee na wana ardhi ndogo kama nchi
Bongo pia tabia zetu kama individuals ni za kipumbavu sana yaani,unakuta mtu humo humo eti anafuga ng'ombe,amejenga upumbavu wa wapangaji chungu nzima na hapo nje kaweka mafremu chungu nzima..na yeye familia yake inakaa hapo hapo...
Yaani kiwanja kilichopimwa still humo humo ndani ya kiwanja owner anageuza squater humo humo ndani kwa kufanya upumbavu wote huu
Zote hizi ni NJAA na mindset za kimasikini kabisa
Hua nashangaa hivi mtu kwenye nyumba yako ya kuishi na familia na mahali pa kulea watoto wako unajenga maduka na baa hapo hapo sijui hizo akili mbovu hivyo zinatoka wapi?I really do not understand this stupidity
Kama ni baa,nunua eneo maalumu,kama ni maduka nunua eneo maalumu,kama ni wapangaji nunua eneo maalumu ufanye yote hayo..
Sio mahali unalelea wanao ndio unafanya ukumamayo wote huo!