Niwe mmoja wa WanaJF mwenye nyumba kali

Niwe mmoja wa WanaJF mwenye nyumba kali

Mimi nauliza Tofali za kuchoma na block zipi zinadumu sana
Tofali za kuchoma kwasababu ni udongo na moto. Udongo hauna expired date. Block za mchanga na cement life span yake ni miaka 100.
 
Alikudanganya, nyumba kama ya huyu mwamba kwa viwango ilivyonavyo 70m haitoshi. Hajaweka vipimo lakini kwa design yake, idadi ya vyumba na mwonekano wa finishing hiyo nyumba kwa 70m haijaisha bado.

Unajua sisi tunashindwa kutofautisha ujenzi, quality ya mabati nk, kuna mtu anapaua kwa 20m, wakati mwingine anapaua kwa 10m. QUALITY mkuu!!
Nyumba gharama kubwa ipo kwenye bati, tiles, aluminium vingine vyote kawaida.kwa iyo bati kufika ela iyo sio jambo kubwa.
 
Umenena mkuu. Bahati nzuri nina experience ya ujenzi mpaka sasa nina mijengo miwili imenisaidia kujua ukifanya zaidi ya hapo bajeti inaweza kuwaje. Pia kazi yangu inanifanya nijue ABC za masuala ya ujenzi. Kwa hiyo hao jamaa huwa hawanitishi kabisa.

Fikiria mtu na akili zake nyumba isiyo ya ghorofa anakwambia 250m. Unampuuza tu
[emoji23][emoji23][emoji23] wanachukulia poa milioni 200.wanavyoitaja kama vile wanaitaja milioni 1.
 
Duu aisee
Ila wenye nyumba za uhakika ni Moshi mkuu
Yaani unakuta nyumba ina ardhi kubwa haswa hadi unasema hawa wanajua maisha na hawataki tabu

Unatembea hata mile nzima unakuta nyumba Tatu tu au 4
Sehemu zote za vijijini ndivyo ilivyo
 
Nimekumbuka jamaa mmoja aliwai kutuambia......
Siku Moja vaa vizuri pendeza alaf ingia Town kwenye yad za magari makali kuulizia bei Ili ku ushitua UMASKINI 🤓🤓🤓🤓😊😊😊😊😊😊

Kila lakheli mkuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu floor plan ni utashi wako.
Vitu ambavyo vitakufanya usiichoke
Muundo wa ndani ni ukubwa unaokidhi mahitaji yako ya ndani.

Mfano mpangilio wa;
-vyumba
-sebule na sehemu ya chakula na jiko nk

Gharama inategemea na ukubwa wa vyumba mkuu.

Ukiwa na ramani yenye vipimo ninaweza kukupa gharama sahihi.

Mimi ni mjenzi sipendi kukadiria hewani mkuu..makadirio yangu huongozwa na ramani husika

Kwani kuna rooms za size tofauti;
3.5x3.5m
3.2x3.5m
4x4m
4.5x4.2 na kadhalika

Mkuu Cyanee , kuna elevation fulani ningependa unishauri. Naomba nije pm.
 
Milioni 50 inavuka? Nalijenga taratibu miaka mitatu, wa nne ni finishing
Kuna watu wana asili ya ubishi hata kama hawajafanya tafiti.

Kuna nyumba najenga hapo Mjini, ni ya ground tu lakini nimeshatumia 135M hadi sasa.

Isingekuwa kujenga kwa awamu nisingeweza kutoboa
135mil nyumba ya ground tu! Umeweka milango ya umeme na outo colour tiles
 
Mkuu

Upo sahihi kabisa

Kenya tu hapo nenda Muthaiga,Karen,etc viwanja ni 5 acres mzee na wana ardhi ndogo kama nchi

Bongo pia tabia zetu kama individuals ni za kipumbavu sana yaani,unakuta mtu humo humo eti anafuga ng'ombe,amejenga upumbavu wa wapangaji chungu nzima na hapo nje kaweka mafremu chungu nzima..na yeye familia yake inakaa hapo hapo...

Yaani kiwanja kilichopimwa still humo humo ndani ya kiwanja owner anageuza squater humo humo ndani kwa kufanya upumbavu wote huu

Zote hizi ni NJAA na mindset za kimasikini kabisa

Hua nashangaa hivi mtu kwenye nyumba yako ya kuishi na familia na mahali pa kulea watoto wako unajenga maduka na baa hapo hapo sijui hizo akili mbovu hivyo zinatoka wapi?I really do not understand this stupidity

Kama ni baa,nunua eneo maalumu,kama ni maduka nunua eneo maalumu,kama ni wapangaji nunua eneo maalumu ufanye yote hayo..

Sio mahali unalelea wanao ndio unafanya ukumamayo wote huo!
Wewe unapo endelea kushangaa wenzio wanajiongezea kipato wewe endelea tu kushangaa si umeshiba hadi umevembewa mahela ?
 
Hata hivyo mil 135 !?? Labda kama fundi wako nae anajenga kwake kupitia wewe
Tusibishane sana Mkuu, nimempa mwongozo mtoa mada aende kujenga akiwa na kitabu cha kunakili gharama zote atakazo tumia alafu aje hapa kuleta mrejesho.

Gharama za ujenzi zimepanda sana Mkuu, unajua bei ya bati kwa sasa zile IT5 gauge 28? Imagine zinatakiwa bati 148 hapo hujafunga Tiles, Milango ile ya kisasa kwa bei ya dsm si chini ya 650,000 mlango mmoja, Umeme n.k
 
Wewe unapo endelea kushangaa wenzio wanajiongezea kipato wewe endelea tu kushangaa si umeshiba hadi umevembewa mahela ?
Eti kipato

Kipato gani cha kimasikini hicho wewe

Unaweka vifremu,mara vijumba vya kupanga,mara kabaa,mara sijui ka night club and still unakaa humo humo una mke na watoto wa kike

Unafundisha nini watoto wewe kiazi?

Watasoma saa ngapi?

Watapewa mimba za kipumbavu maana kwako pashageuka sokoni maana ni sehemu imejaa watu na panatolewa huduma za pombe na umalaya

Plus,mkeo ni rahisi kutombwa penda usipende....unajenga mazingira rafiki ya kuharibu familia

Kwanini mtu anatoa bilioni moja ananunua kiwanja Masaki na anaacha cha milioni 20 Goba?

Reason ni kua na eneo friendly kulea watoto na familia

Hicho kipato cha kipumbavu hivyo unachosemea doesnt worth it loosing your kids morality and calmness

Unataka kipato?Kwanini usinunue serious plots ujenge mafremu na mabaa unavyotaka?

Umasikini umekujaa ndio maana unavamia hadi kakiwanja ka familia unaweka mabaa kuendeleza umalaya kuharibu familia

Hebu kafie huko na mentality zako za Uswahilini na njaa
 
Eti kipato

Kipato gani cha kimasikini hicho wewe

Unaweka vifremu,mara vijumba vya kupanga,mara kabaa,mara sijui ka night club and still unakaa humo humo una mke na watoto wa kike

Unafundisha nini watoto wewe kiazi?

Watasoma saa ngapi?

Watapewa mimba za kipumbavu maana kwako pashageuka sokoni maana ni sehemu imejaa watu na panatolewa huduma za pombe na umalaya

Plus,mkeo ni rahisi kutombwa penda usipende....unajenga mazingira rafiki ya kuharibu familia

Kwanini mtu anatoa bilioni moja ananunua kiwanja Masaki na anaacha cha milioni 20 Goba?

Reason ni kua na eneo friendly kulea watoto na familia

Hicho kipato cha kipumbavu hivyo unachosemea doesnt worth it loosing your kids morality and calmness

Unataka kipato?Kwanini usinunue serious plots ujenge mafremu na mabaa unavyotaka?

Umasikini umekujaa ndio maana unavamia hadi kakiwanja ka familia unaweka mabaa kuendeleza umalaya kuharibu familia

Hebu kafie huko na mentality zako za Uswahilini na njaa
Kwani hawapo watoto waliolelewa karibu na maduka na bars na wakafanikiwa?
 
Kwani hawapo watoto waliolelewa karibu na maduka na bars na wakafanikiwa?
Where is the statistics?

Tunajua morally maeneo hayo ni hatarishi

Kwavile sio wote then you are taking chances with your kids morality?

Hivi wazima nyie?

Eti kwavile watoto wa fulani walipita salama,tena kwa bahati then wewe kufanya ni sahihi?

Listen,maeneo hayo kitakwimu yana haya yafuatayo:
(1)likely kids to start smoking earlier
(2)likely kids to start drinking alcohol earlier
(3)likely kids to start engaging to unprotected sex activities earlier
(4)likely girls to get early pregnancies
(5)no proper elder role models in a place full of alcohol selling
(6)likely to perform poorly in school because of poor home environment caused by noise pollution within the household

Hiyo familia iliyopitia yote haya halafu ikafaulu ni za kuhesabu na yako definitely will NEVER be one of them,therefore brace yourself

Njaa zako kama baba wa familia kushindwa kutafuta kipato cha kutosha kuhakikisha familia yako ipo mbali na mazingira hatari kama haya will cause your family wife and kids to bare the consequences!
 
Where is the statistics?

Tunajua morally maeneo hayo ni hatarishi

Kwavile sio wote then you are taking chances with your kids morality?

Hivi wazima nyie?

Eti kwavile watoto wa fulani walipita salama,tena kwa bahati then wewe kufanya ni sahihi?

Listen,maeneo hayo kitakwimu yana haya yafuatayo:
(1)likely kids to start smoking earlier
(2)likely kids to start drinking alcohol earlier
(3)likely kids to start engaging to unprotected sex activities earlier
(4)likely girls to get early pregnancies
(5)no proper elder role models in a place full of alcohol selling
(6)likely to perform poorly in school because of poor home environment caused by noise pollution within the household

Hiyo familia iliyopitia yote haya halafu ikafaulu ni za kuhesabu na yako definitely will NEVER be one of them,therefore brace yourself

Njaa zako kama baba wa familia kushindwa kutafuta kipato cha kutosha kuhakikisha familia yako ipo mbali na mazingira hatari kama haya will cause your family wife and kids to bare the consequences!
Nimekuelewa though lugha uliyotumia ni kali. Ngoja nijitahidi kuzisaka ili nikipata familia isiishi kwenye hatari za namna hiyo.

Wyatt wewe ni mfano bora kwa hapa DSM? Unaishi maeneo tulivu? Unaweza kutaja mtaa unaoishi?
 
Eti kipato

Kipato gani cha kimasikini hicho wewe

Unaweka vifremu,mara vijumba vya kupanga,mara kabaa,mara sijui ka night club and still unakaa humo humo una mke na watoto wa kike

Unafundisha nini watoto wewe kiazi?

Watasoma saa ngapi?

Watapewa mimba za kipumbavu maana kwako pashageuka sokoni maana ni sehemu imejaa watu na panatolewa huduma za pombe na umalaya

Plus,mkeo ni rahisi kutombwa penda usipende....unajenga mazingira rafiki ya kuharibu familia

Kwanini mtu anatoa bilioni moja ananunua kiwanja Masaki na anaacha cha milioni 20 Goba?

Reason ni kua na eneo friendly kulea watoto na familia

Hicho kipato cha kipumbavu hivyo unachosemea doesnt worth it loosing your kids morality and calmness

Unataka kipato?Kwanini usinunue serious plots ujenge mafremu na mabaa unavyotaka?

Umasikini umekujaa ndio maana unavamia hadi kakiwanja ka familia unaweka mabaa kuendeleza umalaya kuharibu familia

Hebu kafie huko na mentality zako za Uswahilini na njaa
Wewe shoga usitake kila mtu aishi unavyo taka wewe, mmezoea nyumba za kuhongwa huko baada ya kuliwa kibonga halafu mnakuja kupangia watu waishi unavyo taka wewe acha kufutlatilia maisha ya watu

Hata akiweka baa au guest au frem za maduka wewe unanyegeka na nini? Ulimsaidia kujenga au kununua kiwanja? Wew kama huweki acha wenzio waweke usitake wote waishi kama unavyo taka wewe.

unajifanya una nyumba kubwa kumbe upo kwa dada yako hapo unalelewa na shemeji unasubiri dada yako azungushe jiuno huko ili upate bando la kujifanya na wewe mtu , eti unasikini utadhani wewe una kitu hapo ulipo.
 
Kuna watu wana asili ya ubishi hata kama hawajafanya tafiti.

Kuna nyumba najenga hapo Mjini, ni ya ground tu lakini nimeshatumia 135M hadi sasa.

Isingekuwa kujenga kwa awamu nisingeweza kutoboa
bila picha hainogi! hebu weka picha ya mjengo.......
 
Hata kama lakini sio 250m, hata 100m haiwezi kufika. Halafu huu ujenzi ni wa maeneo ya kawaida ambapo local materials ni nafuu halafu nabeba mwenyewe.
Mkuu anayekwambia 50M, 70M, 100M, 200M, 450M wote wapo sahihi. Nyumba ni finishing. Unaweza kuweka kigae cha 12,000 cha kariakoo mwenzio anaweka cha 80,000. Siku zote ujenzi ni taste ya muhusika na unene wa wallet yake. Ukiamua kuezekea mabati ya mchina pale vingunguti, bei yake ni tofauti na kuezekea imported shingles za New Zealand. Unaweza weka sink la mchina la 20,000 wakati mwenzio kaliagiza sinki lile lile kwa 200,000!

Kikubwa ujenzi wako utategemea wallet yako. Na pia mtu anajenga nyumba aliyowahi kuiona. Huwezi kuweka standards kwenye nyumba ambayo hujawahi kuiona. Ndo maana mara nyingi wenye exposure wanatupiga bao kwenye mambo yao. maana wametembea na kuona mengi huko duniani. bottomline, ni unene wa wallet.

Kila lenye heri kiongozi kwenye huu ujenzi!
 
Back
Top Bottom