Nizingatie nini napotaka kununua kiwanja kutoka kwenye kampuni ya kuuza viwanja?

Nizingatie nini napotaka kununua kiwanja kutoka kwenye kampuni ya kuuza viwanja?

Northern Lights

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2013
Posts
395
Reaction score
357
Kuna kampuni inaitwa noble real estate wanuza viwanja madale kwa sh 40,000 kwa square meter, nataka kiwanja cha 800sqm ambapo jumla ni 32M, ukizingatia ni pesa nyingi na ni saving yangu na mikopo.

Nataka kujua ni vitu gani vya kuzingatia ili nisiishie kulia maana hapa mjini hapaaminiki siku hizi hasa kwenye mambo ya ardhi, nakaribisha ushauri wowote, na je kwa hiyo bei iko sawa au hata kwa 30,000 kwa square meter naweza kupata kiwanja Goba na Madale.

Asante
 
Kuna kampuni inaitwa noble real estate wanuza viwanja madale kwa sh 40,000 kwa square meter, nataka kiwanja cha 800sqm ambapo jumla ni 32M, ukizingatia ni pesa nyingi na ni saving yangu na mikopo, nataka kujua ni vitu gani vya kuzingatia ili nisiishie kulia maana hapa mjini hapaaminiki siku hizi hasa kwenye mambo ya ardhi, nakaribisha ushauri wowote, na je kwa hiyo bei iko sawa au hata kwa 30,000 kwa square meter naweza kupata kiwanja goba na madale
Asante
Kwanini Madale?
 
Tafuta kujua kama kampuni husika imesajiliwa na wanapiga kodi za serikali.
2. Eneo ni halali sio eneo la shule,hospital,soko nk
3. Muuzaji na mmiliki wana mikataba ya mauziano.
4. Serikali ya kijiji inafahamu
 
Tafuta kujua kama kampuni husika imesajiliwa na wanapiga kodi za serikali.
2. Eneo ni halali sio eneo la shule,hospital,soko nk
3. Muuzaji na mmiliki wana mikataba ya mauziano.
4. Serikali ya kijiji inafahamu
Madale hahmna kijiji
 
Tafuta kujua kama kampuni husika imesajiliwa na wanapiga kodi za serikali.
2. Eneo ni halali sio eneo la shule,hospital,soko nk
3. Muuzaji na mmiliki wana mikataba ya mauziano.
4. Serikali ya kijiji inafahamu

Utajuaje kama eneo ni halali mkuu?
 
Dalili ya kampuni za kitapeli/ubabaishaji.
1.Wanasema wanatoa Hati, ukweli ni kwamba ukimaliza malipo yao. kuna fedha utatakiwa kutoa za Hati, Hiyo Hati waweza ipata miaka 4 na kuendelea.
2.wao wananunua maeneo kwa watu kwa mkopo. ukimaliza kulipa eneo lako hutaweza ruhusiwa kulijenga mpaka wao wamemalizana na mwenye eneo.
 
Unataka madale tu?? Sehem zipo nyingi kuna bunju mabwe nk


Kwasasa wamerahisisha sehem nyingi kuna urasimishaji wa viwanja unaenda officine kwao unaonana na survey anakuonesha Hilo eneo linamilikiwa na nani? Kama mtu binafsi Au kampuni, na uhalisia wa eneo

Wenye kampuni wengi ni matapeli viwanja vyao vya ujanja
 
Kuna kampuni inaitwa noble real estate wanuza viwanja madale kwa sh 40,000 kwa square meter, nataka kiwanja cha 800sqm ambapo jumla ni 32M, ukizingatia ni pesa nyingi na ni saving yangu na mikopo.

Nataka kujua ni vitu gani vya kuzingatia ili nisiishie kulia maana hapa mjini hapaaminiki siku hizi hasa kwenye mambo ya ardhi, nakaribisha ushauri wowote, na je kwa hiyo bei iko sawa au hata kwa 30,000 kwa square meter naweza kupata kiwanja Goba na Madale.

Asante
Chagua kiwanja, omba details za kiwanja, nenda ardhi kafanye official search
 
Kuna kampuni inaitwa noble real estate wanuza viwanja madale kwa sh 40,000 kwa square meter, nataka kiwanja cha 800sqm ambapo jumla ni 32M, ukizingatia ni pesa nyingi na ni saving yangu na mikopo.

Nataka kujua ni vitu gani vya kuzingatia ili nisiishie kulia maana hapa mjini hapaaminiki siku hizi hasa kwenye mambo ya ardhi, nakaribisha ushauri wowote, na je kwa hiyo bei iko sawa au hata kwa 30,000 kwa square meter naweza kupata kiwanja Goba na Madale.

Asante
Habari.

Ulifanikiwa kununua kiwanja na kupata hatimiliki?
 
Back
Top Bottom