Njaa ilinidhalilisha sana kwenye harakati zangu za kutafuta ajira

Njaa ilinidhalilisha sana kwenye harakati zangu za kutafuta ajira

Daa hii situation ndio ninayopitia sasa, tuma application nyingi za maombi ya kazi kimya...message zinazoingia kwenye simu ni promo za mitandao. Ukiwa kwenye msoto mkali hivi hupati simu ya jamaa wala ndugu au rafiki..,hapo mtu una familia....eenh Mungu nijalie nitoke katika hii situation.
 
Daa hii situation ndio ninayopitia sasa, tuma application nyingi za maombi ya kazi kimya...message zinazoingia kwenye simu ni promo za mitandao. Ukiwa kwenye msoto mkali hivi hupati simu ya jamaa wala ndugu au rafiki..,hapo mtu una familia....eenh Mungu nijalie nitoke katika hii situation.
Nakuelewa,,ni Hali ngumu sana hiyo kuivuka.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
ndugu zangu ukiona giza nene jua kumekaribia kucha. katika safari yangu ya utafutaji wa kazi na ajira nipate ridhiki yangu aiseeeh siwezi sahau.

njaa kali,kufubaa, kudharaulika na kukosaa nauli za daladala na basi wakati nasambaza bahasha na usahili ilikua jambo lakawaida.

uso wangu ulipoteza nuru, namshukuru MUNGU sana. sasa hadi kazini muonekano wangu wa ujana umerudi napata simu nyingi,jumbe nyingi wakati haikuwa hivo before.

Nawasihi wanangu mnaopitia msoto, huo msoto una mwisho mtajipata tu wanetu. mimi imenichukua zaidi ya miaka 3 kupata unafuu wa kiuchumi.
This is called 'Post uni Truma'.

Demu wako na baadhi ya washikaji wanakukacha..

Ukiona demu akikuvumilia katika hiki kipindi make sure umuoe bro..huyo ni wife material.

Katika hii 'era' unakua unaishi kwa matumaini zaidi..

Utasambaza cv mpaka basi..

Mungu asaidie wapambanaji wote ambao wametoka katika familia za chini.
 
Daa hii situation ndio ninayopitia sasa, tuma application nyingi za maombi ya kazi kimya...message zinazoingia kwenye simu ni promo za mitandao. Ukiwa kwenye msoto mkali hivi hupati simu ya jamaa wala ndugu au rafiki..,hapo mtu una familia....eenh Mungu nijalie nitoke katika hii situation.
pole sana afsa, hata ukipata ujumbe wa email unakuta ni ule wenye kuvunja moyo.

Dear applicant, sorry we regret to inform you that ---- dah

MUNGU akufanyie wepesi mwamba
 
This is called 'Post uni Truma'.

Demu wako na baadhi ya washikaji wanakukacha..

Ukiona demu akikuvumilia katika hiki kipindi make sure umuoe bro..huyo ni wife material.

Katika hii 'era' unakua unaishi kwa matumaini zaidi..

Utasambaza cv mpaka basi..

Mungu asaidie wapambanaji wote ambao wametoka katika familia za chini.
Thank you Man,
 
Ukiwa km kijana ni kutoa aibu ktk kutafuta tusichague sana kaz iasee miez miwil nyuma ajira yang ya muhindi iliisha gafla tu aisee nilikuwa sijui naanzia wap naishia wap,nikauza simu laki na 50 nikatafuta eneo lenye muingiliano wa watu weng, nikafungua kijiwe cha kukaangaa mihogo nikapambana km mwez 1 aisee saiv na mwez wa pili kila siku lazm nilaze 20 km faida kwa siku, labda kuwe na changamoto ya mvua biashara kidogo sio nzur na nilianza na mihogo ya mafungu now naagiza kiroba kbsa na kinaisha,majuzi napigiwa simu kwa muhindi nirud tena nimewakatalia, napambana kuzungusha sehem nyingne ya bishara ndogo ndogo ila hii siichi,
Vijana wenzang tuacheni aibu tupambane aisee.biashara ndogo ndogo zinalipa sana hasa ukiongezaea thaman yan usasa hukosi ela.
 
Ukiwa km kijana ni kutoa aibu ktk kutafuta tusichague sana kaz iasee miez miwil nyuma ajira yang ya muhindi iliisha gafla tu aisee nilikuwa sijui naanzia wap naishia wap,nikauza simu laki na 50 nikatafuta eneo lenye muingiliano wa watu weng, nikafungua kijiwe cha kukaangaa mihogo nikapambana km mwez 1 aisee saiv na mwez wa pili kila siku lazm nilaze 20 km faida kwa siku, labda kuwe na changamoto ya mvua biashara kidogo sio nzur na nilianza na mihogo ya mafungu now naagiza kiroba kbsa na kinaisha,majuzi napigiwa simu kwa muhindi nirud tena nimewakatalia, napambana kuzungusha sehem nyingne ya bishara ndogo ndogo ila hii siichi,
Vijana wenzang tuacheni aibu tupambane aisee.biashara ndogo ndogo zinalipa sana hasa ukiongezaea thaman yan usasa hukosi ela.
Kanyaga twende tumechelewa mnoo kiongozi.piga KAZI



KAZI ni kipimo cha utu
 
ndugu zangu ukiona giza nene jua kumekaribia kucha. katika safari yangu ya utafutaji wa kazi na ajira nipate ridhiki yangu aiseeeh siwezi sahau.

njaa kali,kufubaa, kudharaulika na kukosaa nauli za daladala na basi wakati nasambaza bahasha na usahili ilikua jambo lakawaida.

uso wangu ulipoteza nuru, namshukuru MUNGU sana. sasa hadi kazini muonekano wangu wa ujana umerudi napata simu nyingi,jumbe nyingi wakati haikuwa hivo before.

Nawasihi wanangu mnaopitia msoto, huo msoto una mwisho mtajipata tu wanetu. mimi imenichukua zaidi ya miaka 3 kupata unafuu wa kiuchumi.
Shukrani mkuu, mapambano yaendelee
 
Back
Top Bottom