Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,771
- Thread starter
- #41
sahihi bossShukrani mkuu, mapambano yaendelee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sahihi bossShukrani mkuu, mapambano yaendelee
Hakika kabisa mkuu kila email inakuja na majibu hayo hayo "we regret to inform" unajiuliza hawa wanachukua watu wa aina gani, basi unaishia kuumia tuu....pole sana afsa, hata ukipata ujumbe wa email unakuta ni ule wenye kuvunja moyo.
Dear applicant, sorry we regret to inform you that ---- dah
MUNGU akufanyie wepesi mwamba
Usijali utatoka tu..uaminifu ni suala la msingi sana.Ndo kipindi nachopitia saivi japo saiv kuna afadhar sabu nasmamia biashar ya mshikaji wangu hela ya kula sikosi,naumiza sana akili kutafuta chaka la maana nikipata t ntakimbia hapa make nachokipata chote ni kwa ajili ake japo uhuru ni mkubwa kwenye biashar ila nafsi ya kuiba au kutumia vibaya cha mtu waga najskia vbaya..napenda mtu apate alichowekeza nami npate kwa kiasi.
all in all kitaa kugumu,tpeane ramani chief,ishu yoyte halali napiga..
Kama ni kwel, wala hata usijali, it will reach a time na wewe ujipatewewe miaka mitatu tu wakati mimi nahangaika mwaka wa kumi huu bado sijajipata
ahsanteKama ni kwel, wala hata usijali, it will reach a time na wewe ujipate
sio poah mkuuHakika kabisa mkuu kila email inakuja na majibu hayo hayo "we regret to inform" unajiuliza hawa wanachukua watu wa aina gani, basi unaishia kuumia tuu....
Utatoka Mkuu usife moyo.Daa hii situation ndio ninayopitia sasa, tuma application nyingi za maombi ya kazi kimya...message zinazoingia kwenye simu ni promo za mitandao. Ukiwa kwenye msoto mkali hivi hupati simu ya jamaa wala ndugu au rafiki..,hapo mtu una familia....eenh Mungu nijalie nitoke katika hii situation.