SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Mkuu hapo kwenye tarehe siyo kuwa amesahau hapo ndiyo alipotengenezea kosa ili Maalim aenguliwe.Jamani tuache ujinga.
Signature hazifanani , zote za Sharif na Muapaji
Dates forgerer kasahau, huku ni 07/09/2020, wakati forgerer kaweka 07/07/2020.
Mhuri ni ule ule lakini mlalo wake haulingani-huku kwenye date 2020 haijafunikwa , forgere kaigusa 2020.
Stupid games!!!
Duh! Kuwa CCM ni kuwa karibu na shetani!
Kama ulisikiliza maelezo ya Mkurugenzi wa uchaguzi Zanzibar huwezi kumpinga mleta mada. Alisema vyama vilivyompinga ambavyo ni ADC na NLD vimehoji tofauti ya tarehe kwenye fomu ya kiapo, tarehe 7-7-2020 na 7-9-2020.Haiwezakani ikawa hiyo ndio hoja toeni hiyo nakala ya pingamizi kutakuwa kuna pingamizi halisi
WameghushiWaliomuwekea pingamizi maalim Seif kuwa amekosea kujaza tarehe ya fomu kwa kujaza tarehe 7/7/2020 ni pingamizi la hoja ya uwongo.
Maalim Seif jinsi anavyoandika Saba anaikata katikati, kwa hiyo hoja ya kuwa amekosea kujaza tarehe ni hoja ya kihuni na ya kizushi!
ZEC iache michezo yake ya kutaka kuwanyima wazanzibar haki ya kuchagua wamtakaye
Hoja yenyewe ya sababu za pingamizi hii hapa kwenye video:
View attachment 1565881
Na fomu yenyewe ya Maalim Seif hii hapa chini:
View attachment 1565884
Sasa swali la msingi ni
Hiyo Tarehe wanayosema kajaza Tarehe 7/7/2020 iko wapi kwenye hiyo fomu?
Hahahaaaa...... TAL hakuyataka yite haya alikomaa na fomu zake hadi siku ya mwisho!Wameghushi View attachment 1565927
Kwani tume ya uchaguzi Zanzibar, ni ya ccm??
Hii yote ni sababu wanamuogopa sana Seif, wanajua hawawezi kumshinda Zanzibar hata kama wamepeleka wanajeshi huko toka Bara.Wameghushi View attachment 1565927
Waache ujinga, wataiingiza hii nchi kwenye machafuko. Tume wanataka kutumia fomu iliyohaririwa Lumumba badala ya ile aliyowasilisha Maalim Seif Hamad. Wazanzibar usikubali ujinga huu! Polepole hii nchi utaiingiza kwenye vurugu! Mwaka huu mmekamatika hampumui!Ukiangalia fomu ipo sawa haijakosewa. Mkurugenzi wa tume alisema alijaza Tarehe 7/7 2020, hapa kwenye fomu inaonyesha wazi amejaza tarehe 7/09.
Tusubiri jibu la tume kuhusu hilo pingamizi. Natumaini haki itatendeka.
View attachment 1565612
Nenda udsm mkuu ukaulizie historia ya Maalim seif utaambiwa.Ninashaka na elimu ya maalimu seif mbona kama chekechea au anayo degree ya Quran ataweza kusaini mikataba huyu,hapana akapumzike 77 ni babu kabisa.
Rais anatakiwa kuwa makini.Kukosea tarehe ndio itunyime kumpata Rais bora.. mbona watanzania tunakua wehu kiasi hiki.
Kama terehe imekosewa inarejebishwa na mambo yanaendelea.
Kuna mamno serious ambayo kweli mtu hastahili kuwa Rais.
Kama makosa ya jinai etc
Hata deni la serena ni izushi mkubwa.
Zanzibar Kuna Mambo gani makubwa zaidi ya kusaini fedha za mahoteli na kuratibu tamasha la utamaduni??Kweli mtu anakosea hata kuandika tarehe tu
Je Mambo makubwa ya NCH ataweza
CCM waache mambo ya Kitoto, kizazi cha leo kina kumbukumbu zote hakidanganyiki tunajua kua fomu wamefojiUkiangalia fomu ipo sawa haijakosewa. Mkurugenzi wa tume alisema alijaza Tarehe 7/7 2020, hapa kwenye fomu inaonyesha wazi amejaza tarehe 7/09.
Tusubiri jibu la tume kuhusu hilo pingamizi. Natumaini haki itatendeka.