Njama za kuifukuza Sahara Magharibi zinasukwa. Tanzania inahusika?

Njama za kuifukuza Sahara Magharibi zinasukwa. Tanzania inahusika?

Mbaya zaidi huu siyo ulimwengu wa ukombozi wa uhuru wa bendera, ni dunia ingine kabisa. Zitto aachane na haya mambo ya 1960s.

Kwanini mnamwambia Zito kuachana na haya mambo munamuacha waziri na serikali yake iendelee wala hamuwatupii lawama, akili gani hizi?

Maneno hayo ungeyapeleka kwa waziri sio Zito, zito ni msemaji sio mtekelezaji. Anawaamsha Watanganyika mambo yanayotaka kufanywa na Serikali yenu . Ajabu hi au ndio uelewa mdogo wa Watanganyika.
 
Mbaya zaidi huu siyo ulimwengu wa ukombozi wa uhuru wa bendera, ni dunia ingine kabisa. Zitto aachane na haya mambo ya 1960s.

Kwanini mnamwambia Zito kuachana na haya mambo munamuacha waziri na serikali yake iendelee wala hamuwatupii lawama, akili gani hizi?

Maneno hayo ungeyapeleka kwa waziri sio Zito, zito ni msemaji sio mtekelezaji. Anawaamsha Watanganyika mambo yanayotaka kufanywa na Serikali yenu . Ajabu hi au ndio uelewa mdogo wa Watanganyika.
 
Wa Sauzi tuliwapigania,tuliwapa base na kuwapa makazi miaka mingi baadae mzulu anamuona kaburu ni bora kuliko mbongo ,hataki hata kijana wa kitanzania ajitafutie riziki Jo'burg .sasa hivi Tanzania kwanza vingine baadae
 
Hao Sahrawi wanaisadia nini Tanzania?
Inapaswa pia tujiulize kuwa ANC, SWAPO, na wengine kama hao wameisaidia nini Tanzania. Tulitumia miaka mingi kujitia umasikini ili kuwakomboa wengine, sasa hivi wao wanapeta kiuchumi sisi tumebaki tunashangaa.
 
Wa Sauzi tuliwapigania,tuliwapa base na kuwapa makazi miaka mingi baadae mzulu anamuona kaburu ni bora kuliko mbongo ,hataki hata kijana wa kitanzania ajitafutie riziki Jo'burg .sasa hivi Tanzania kwanza vingine baadae
Kweli kabisa mkuu, hao wa Sahrawi na wapalestina wacha wajipiganie wenyewe, Sisi sasa hivi interest yetu ni kuboresha uchumi na maisha ya watu. Tunabadili mfumo wa mahesabu yetu sasa, Sasa hivi ni kutengeneza urafiki wenye tija tu, urafiki usio na tija kama ule tuliokuwa nao na vyama vya ukombozi kusini mwa Afrika tupa kule. Kilichobaki sasa ni siku ya kuhamishia ubalozi wetu Yerusalem.
 
Vitabu andika wewe.
Ambaye hana focus ni wewe kusoma ambayo huyapendi au kucomment ujinga.
Jadili hoja zilizotolewa, usifanye personal attack.
Na ujumbe ni kutoka ACT - wazalendo sio MTU mmoja, kama kuna kosa katika walichokiandika tuma malalamiko yako kwa msajili wa vyama vya siasa.

Vijana wa kitanzania tunakuwa wapumbavu wapumbavu. Kama hoja huna uelewa nayo, inakuzidi uwezo pita kimya, sio kuhara hapa. Shame on you.
Aliyekwambia ACT ina exist ni nani? Usijifanye hujui km kauli ya zzk ndio kauli ya unachokiita ACT. By the way sijafanya personal attack km unavodai. Nimekuwa nikimfatilia huyu mzalendo ana hoja nzuri chokozi lkn sio msimamizi na muumini wa anachokisema. Amekuwa MTU wa kulalamika tuu na ndio mana watu wameanza kumchukulia kawaida sana.
 
Tanzania first, kama hatupati faida yoyote watimuliwe mbali, huu ni wakati wa kuiweka Tanzania kwenye uchumi, tunataka Tanzania yenye uchumi
Duh Kwahiyo ukoloni wa mwenzako ni sawa tu kisa haupati faida??? Ngoja siku mvamiwe na Idd amin mwingine alafu tusikie mnalialia AU kama wakati ule wa Nyerere ndio mtaelewa uchungu wanaoupata watu wa SAHRAWI kuona mnawakumbatia watesi wao
 
sisi tunadumisha muungano na Morocco wacha wadumishe muungano. Mambo ya ukombozi yamepitwa na wakati kila mtu abebe mzigo wake. uchumi first kwenye maslahi tu.
 
Nitaendelea kusema comments zaidi ili nijifunze neno
Nalog off
 
Mbaya zaidi huu siyo ulimwengu wa ukombozi wa uhuru wa bendera, ni dunia ingine kabisa. Zitto aachane na haya mambo ya 1960s.
Acheni double standards kama ni hivyo kwanini bado mnaweka msimamo dhidi ya Jerusalem kuwa mji mkuu wa Israel?? Kama huko mashariki ya kati mnatetea ukombozi basi endelezeni moyo huo huo na SAHRAWI sio ikiongelea swala la morocco mnajifanya mnataka ukombozi wa kiuchumi ila ikiongelewa swala la israel mnageuka wakombozi wa kisiasa

Unafki hautotusadia kama taifa
 
Mkuu malcom hii issue mlijadili uzi gani tuje kuchota maarifa zaidi.....
Sikumbuki hata ni sehemu gani.....Ngoja niutafute.
Nakumbuka niliwahi kukwambia kwamba haya yatatokea kwenye uzi fulani hivi,
Ilikuwa ndiyo siku ya kwanza mimi na wewe kuonana na tukabishana sanaa sanaaa.
 
kuna uwezekano mkubwa sana kwamba zitto ana maslahi flani huko SAHRAWI ama anatumika kisiasa na waarabu wa haka ka nchi uchwara sio kwa kung'ang'ania uhuru wa kimtaa kama kile.
 
Back
Top Bottom