Njama za kuifukuza Sahara Magharibi zinasukwa. Tanzania inahusika?

Njama za kuifukuza Sahara Magharibi zinasukwa. Tanzania inahusika?

Inapaswa pia tujiulize kuwa ANC, SWAPO, na wengine kama hao wameisaidia nini Tanzania. Tulitumia miaka mingi kujitia umasikini ili kuwakomboa wengine, sasa hivi wao wanapeta kiuchumi sisi tumebaki tunashangaa.
Ndiyo maana sasa mambo yamebadilika. Huko tumeshatoka
 
Haya mambo yapo nje ya upeo wangu...
Sisi wenye akili tulishaonya mapema sana , hasa baada ya Mfalme wa Morroco kutembelea Tanzania na kwenda kula bata Zanzibar , tulijua kilichoendelea
 
Nyinyi mnajiona mko safi na hamna upungufu .
Mnajitoa fahamu na mnajiona watanzania.
Kumbukeni nyinyi ni watanganyika mna ukabila na udini. Leo yupo magufuli nafasi muhimu zote kawapa jamaa zake ukiwachilia chatto Airport.

Usimcheke mwenzio
Hivi katika hili dini na utanganyika vinaingiaje?
 
Hao Sahrawi wanaisadia nini Tanzania?

Kwani Msumbiji wanawasaidia nini nyie Tanzania? Si wana ubalozi wao hapa?

Au Tanzania kuwa na Ubalozi USA ama Uingereza, ina maana sisi tunawasaidia nini hao Marekani na Uingereza?

Nakuuliza maswali haya kwa sababu majibu utakayoyapata yatakuwa ndiyo jibu la swali lako!!!
 
Tatizo ni kwamba wanasiasa ni "bidhaa" inayonunulika wakati wowote. Pia sio watu wa kuaminika.
Kipindi cha nyuma mahusiano ya Israel na Tanzania hayakuwa mazuri kutokana na kutetea wa Palestina na uvamizi katika nchi za mashariki ya kati lakini hilo halikuzuia masuala ya kibiashara kati ya Tanzania na Israel.
 
Huyu jamaa awe mwandishi wa vitabu tuu kwa sasa, maana hana focus ya jambo lolote akaliaimamia mpka mwisho.
Good morning! Mwenye matatizo no wewe ambaye inaonekana hujui kuchambua na kutafakari mada. Wewe unaoneshwa nyota lakini unaamgalia mwezi, hamuwezi kuwa na uelewa mmoja. Elimu, elimu, elimu!!!
 
Mbona mlikataa kuutambua Jerusalem kama mji mkuu wa Israel kama mnaangalia maslahi ya kiuchumi?? Why kwa morocco ndio mnatoa hii hoja??
hiyo ndo inatwa vita ya Economic freedom unaungana na mwenye nguvu ya uchumi ili kucomplete mission kaka diplomasia za kimataifa zinachezwa na mdundo huo.
 
MENACHIN BEGIN Waziri Mkuu wa zamani wa Israel alisema- utakuja kuitwa Yerusalemu Mji wa Daudi! Mji huu ni Muhimu sana kwa Wakristo na Wayahudi kuliko watu wangine wowote!!
Una umuhimu gani kwa wakristo??? Kwahiyo leo ujerumani wakirudi kutukoloni kisa walirithishwa koloni la Tanganyika na miungu wao mtakubali muwapishe watutawale??? Mahaba ya kidini yanatuvuruga watanzania
 
Kuna nchi nyingine ndio nazisikia leo : Hii : SAHARWAH ni ya wapi?
 
Na kiti kinachikalia TZ kule UN cha nani? Badala ya kwenda kuchokonoa yasiomhusu, kuna La zanzibar mbona halisimamii? Awache unafiki
 
Back
Top Bottom