Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,485
Tabia na kauli ya kikahaba kabisa hii. Mahusiano ya kimataifa na urafiki ni vitu viwili tofauti. Ikiwa fulani hana masilahi basi tuachane na mambo yake saa hizi tungekuwa na hali mbaya kama Taifa, maana wanaotusaidia yetu si wote maslahi na sisi.Hao Sahrawi wanaisadia nini Tanzania?