Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 7,981
- 17,743
Tanzania tumewapigania kupata uhuru S.Africa lakini mkaburu anadhaminiwa zaidi ya MtanzaniaDuh Kwahiyo ukoloni wa mwenzako ni sawa tu kisa haupati faida??? Ngoja siku mvamiwe na Idd amin mwingine alafu tusikie mnalialia AU kama wakati ule wa Nyerere ndio mtaelewa uchungu wanaoupata watu wa SAHRAWI kuona mnawakumbatia watesi wao
Mimi nipo na wewe kwenye mambo mengi sana tunapishana kwenye suala la wewe kuunga mkono kukandamizwa kwa demokrasiaHapa upo namimi
Kuelewa haya mambo unatakiwa uwe na akili timamu na ufahamu wa dunia inaelekea wapi. kama huna huwezi kujua lolote. wewe endelea kusoma udaku wa ijumaa, kiu, uwazi na tanzanite kamwe hutajua dunia inakwenda wapi.Kwa hiyo wewe mh. zitto unataka nini hasa!!
Kuelewa haya mambo unatakiwa uwe na akili timamu na ufahamu wa dunia inaelekea wapi. kama huna huwezi kujua lolote. wewe endelea kusoma udaku wa ijumaa, kiu, uwazi na tanzanite kamwe hutajua dunia inakwenda wapi.Kwa hiyo wewe mh. zitto unataka nini hasa!!
Ulivyosoma komenti yangu umejiridhisha kuwa Mimi ni msomaji wa hizo takataka?Kuelewa haya mambo unatakiwa uwe na akili timamu na ufahamu wa dunia inaelekea wapi. kama huna huwezi kujua lolote. wewe endelea kusoma udaku wa ijumaa, kiu, uwazi na tanzanite kamwe hutajua dunia inakwenda wapi.
Kuna mkakati wa kuifukuza POLISARIO nchini
Serikali ya Tanzania: POLISARIO ni Chama cha Ukombozi ambacho kilipewa hadhi ya Serikali na uanachama wa Umoja wa Afrika tangu 1982. Suala hili limeanza kuleta utata wa kisheria Katika Umoja wa Afrika na Katika duru za Kimataifa.
ACT Wazalendo: Huu ni Mkakati unaosukwa kuifukuza POLISARIO kwenye Umoja wa Afrika na tulionya hili mapema sana wa kampeni za kuirudisha Morocco AU. Serikali ya Tanzania kuweka sentensi hii kwenye Hotuba ya Waziri wa Mambo ya Nje Mwaka 2018 ni mkakati wa kutuandaa kisaikolojia kuifukuza POLISARIO. Msimamo wetu ni kuwa Jamhuri ya SAHRAWI ( Sahara Magharibi) ni Taifa huru lililovamiwa na Morocco. Ubalozi uliopo nchini ni ubalozi wa SAHRAWI na sio wa POLISARIO na kiti cha AU ni kiti cha Jamhuri ya SAHRAWI. Tunaitaka Serikali ya Tanzania iache ujanja ujanja kwenye suala hili na itumie nafasi yake ya urafiki na Morocco kuhakikisha Maazimio ya UN yanatekelezwa ili watu wa Sahara wawe Huru wajenge nchi yao.
Zitto Kabwe
24/5/2018
Kama ni hivyo basi muitambue Jerusalem kuwa ndio mji mkuu wa Israel na kuanzia leo PLO wahesabiwe magaidi na mtimue balozi wake wa hapa !!! Sio kwa Israel mnajifanya mnapenda haki ila kwa morocco mnajifanya mnaangalia maslahi!!! Huu unafki utawasaidia niniKwani wao na wamorroco wapi wana manufaa na taifa letu,tuanzie hapo...sio tuwaenzi tu huku tukipoteza fursa nyingine za kuendeleza taifa letu,huo uzamani ushapitwa na wakati,sasa ni zama mpya za nationalism, angalia anachofanya Putin,angalia ya Trump bila kusahau Israel....Tz development first!
Mbona mlikataa kuutambua Jerusalem kama mji mkuu wa Israel kama mnaangalia maslahi ya kiuchumi?? Why kwa morocco ndio mnatoa hii hoja??mambo ya kupigania ukombozi inatosha sio lazima tanzania, kwa sasa tupo na JPM kwenye mdundo wa economic freedom
Ukweli tusipokuwa macho tutakuwa ni nchi ya kutumika kama daraja la kuvukia. Daraja linasaidia watu kuvuka na kusonga mbele lakini lenyewe linabaki hapo hapo miaka yote, kibaya sana hata wanaolitumia huwa hawalishukuru. Hatutaki kuendelea kuwa nchi ya kupigania wengine wakati hapa kwetu bado tuna matatizo lukuki ya kupambana nayo. Kwani sisi ni nani aliyetupigania kupata uhuru?! Kama tulifanya wenyewe tukafanikiwa, basi na hao wengine wapambane wenyewe. Mimi sasa hivi ninapendekeza urafiki unaotuletea tija, migogoro ya marafiki zetu ni yao wenyewe sisi hatuhusiki. Tutaingia ubia nao kwenye mambo ya maendeleo na si ubia kwenye migogoro yao maana haitusaidii chochote. Ukishawakwamua tu wanakutimulia vumbi wanasonga mbele wewe unabaki hapo hapo.Hapa umeongea fact ingewezekana hata Leo tuhamishie ubalozi Jerusalem tuangalie faida kama wachina migogoro tuwaachie wao
Huyo wazir aachane na mambo ya wengine ya kwake yanamshinda
Mkuu hilo lisikupe hofu, it is just a matter of time, Mark my words. Ni lazima tu siku itafika tutakubali kuwa Jerusalem ni mji mkuu halali wa Israel. Usitishwe na kelele zinazopigwa sasa hivi.Mbona mlikataa kuutambua Jerusalem kama mji mkuu wa Israel kama mnaangalia maslahi ya kiuchumi?? Why kwa morocco ndio mnatoa hii hoja??
Hayo ya tundu wayajua weye na ibilisi wako. Naona umetilia mkazo neno KAHABA, yaelekea umelitafsiri mwilini.Ni kweli umetokea kwenye TUNDU baya!
Nyinyi mnajiona mko safi na hamna upungufu .Kweli kabisa mkuu, hao wa Sahrawi na wapalestina wacha wajipiganie wenyewe, Sisi sasa hivi interest yetu ni kuboresha uchumi na maisha ya watu. Tunabadili mfumo wa mahesabu yetu sasa, Sasa hivi ni kutengeneza urafiki wenye tija tu, urafiki usio na tija kama ule tuliokuwa nao na vyama vya ukombozi kusini mwa Afrika tupa kule. Kilichobaki sasa ni siku ya kuhamishia ubalozi wetu Yerusalem.
Hamna kitu hapo!Mh. Zitto tumechoka na mambo ya ukombozi sasa ni wakati wa Tanzania kujikomboa kiuchumi
Well saidKweli kabisa mkuu, hao wa Sahrawi na wapalestina wacha wajipiganie wenyewe, Sisi sasa hivi interest yetu ni kuboresha uchumi na maisha ya watu. Tunabadili mfumo wa mahesabu yetu sasa, Sasa hivi ni kutengeneza urafiki wenye tija tu, urafiki usio na tija kama ule tuliokuwa nao na vyama vya ukombozi kusini mwa Afrika tupa kule. Kilichobaki sasa ni siku ya kuhamishia ubalozi wetu Yerusalem.
Hahaha Demokrasia ipi!Mimi nipo na wewe kwenye mambo mengi sana tunapishana kwenye suala la wewe kuunga mkono kukandamizwa kwa demokrasia
Dunia ya sasa in maslahi..Nipe nikupe. Unachokisema wewe ni ndoto tuTabia na kauli ya kikahaba kabisa hii. Mahusiano ya kimataifa na urafiki ni vitu viwili tofauti. Ikiwa fulani hana masilahi basi tuachane na mambo yake saa hizi tungekuwa na hali mbaya kama Taifa, maana wanaotusaidia yetu si wote maslahi na sisi.