Nje ya mawazo ya Mwanadamu Mungu hayupo, hajawahi kuwepo, na hatakuwepo

Nje ya mawazo ya Mwanadamu Mungu hayupo, hajawahi kuwepo, na hatakuwepo

Pure_sapiens

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2016
Posts
2,228
Reaction score
2,064
habari great thinkers.

Uwepo wa mungu ni matokea ya maendeleo ya binadamu katika kuupata ustaarabu.Men create the god in their own imagination.Ndo mana wale miungu ya kale kabla ya hizi dini mpya za kisasa walikuwa na maumbo ya kibinadamu(human look_like) hata sifa walikuwa kama binadmu.
Walikuwa na sifa za kulia, kukasirika,wivu, njaa n.k.

Lakini hizi dini za kileo ni maboresho ya dini za kale so that hata miungu ya dini hizi wamepewa sifa nyingi kidogo kuliko wale wa kale,ikiwemo kutoonekana,ana uwezo wote, yupo kila sehemu n.k.
Nadhani wote tunajuwa kuwa binadamu alikuwa anaishi pamoja na wanyama wengine hapo kale kabla ya kuanza kujitenga na kuanzisha ustaarabu wake,katika kipindi hiki cha maisha binadamu alikuwa hana tofauti na wanyama wengine.Ilimchukau mamilioni ya miaka biandamu kujitofautisha na wanyama wengine na kuanza kustaarabika.Katika kipindi hiki huyu binadamu alianzisha mambo mbalimbali ikiwemo Dini,mungu,sheria,taifa n.k.

There are no gods,no god in the universe,no nation,no money,no justice,no law,no human rights out side the common imagination of human beings.Mara baada ya kuapata ustaarabu binadamu aliweza kuanzisha mambo mengi ikiwe religion institutions,mungu n.k.

Screenshot_20210705-102344_Drive.jpg
 
habari great thinkers.

Uwepo wa mungu ni matokea ya maendeleo ya binadamu katika kuupata ustaarabu.Men create the god in their own imagination.Ndo mana wale miungu ya kale kabla ya hizi dini mpya za kisasa walikuwa na maumbo ya kibinadamu(human look_like) hata sifa walikuwa kama binadmu.
Walikuwa na sifa za kulia, kukasirika,wivu, njaa n.k.

Lakini hizi dini za kileo ni maboresho ya dini za kale so that hata miungu ya dini hizi wamepewa sifa nyingi kidogo kuliko wale wa kale,ikiwemo kutoonekana,ana uwezo wote, yupo kila sehemu n.k.
Nadhani wote tunajuwa kuwa binadamu alikuwa anaishi pamoja na wanyama wengine hapo kale kabla ya kuanza kujitenga na kuanzisha ustaarabu wake,katika kipindi hiki cha maisha binadamu alikuwa hana tofauti na wanyama wengine.Ilimchukau mamilioni ya miaka biandamu kujitofautisha na wanyama wengine na kuanza kustaarabika.Katika kipindi hiki huyu binadamu alianzisha mambo mbalimbali ikiwemo Dini,mungu,sheria,taifa n.k.

There are no gods,no god in the universe,no nation,no money,no justice,no law,no human rights out side the common imagination of human beings.Mara baada ya kuapata ustaarabu binadamu aliweza kuanzisha mambo mengi ikiwe religion institutions,mungu n.k.

View attachment 1941529
Hahahahahah

Naona upo Bw. Afisa Habari wa timu Lucifer.
 
Mkuu umefafanua vizuri, idea ya god ilikuja ili kuikabili hofu ya duniani ndio maana wafia dini wanaamini kuwa kuna nchi inaitwa mbinguni, huko hakuna kuugua, kufa, njaa n.k yaani huko ni full kula bata tu, huhitaji ajira wala kufanya biashara ili uishi huko vyakula vipo vya kutosha yaani kuna chipsi za kumwaga, nyama choma, piza baga n.k

Ndio maana unawaona wanapambana usiku na mchana kusali ili siku moja waingie kwenye hiyo nchi. Hata telebani nao wanapambana waingie huko lakini najiuliza hao majamaa ukiingia nao mbinguni itakuaje 😃😃😃
 
Kama hakuna Mungu binadamu na vitu vyote vilivyomo Duniani Who's creator 😣😣😣
Una maanisha nini unaposema 'Creator'?
Neno lipo vague sana, linaweza kuwa na maana tofauti tofauti kulingana na context

Kama 'creator' ni 'cause' ya ulimwengu, basi kwa maana hio tunakubali Ulimwengu una creator
Kwa kuwa cause ya ulimwengu ni mkusanyiko wa matukio yote ya asili wakati wa Planck epoch basi creator wa ulimwengu ni vyote vilivyomo ni Big bang

Kama 'Creator' ni natural selection na random mutations basi maisha kweli yana Creator

Una maana gani unaposema 'creator'?
 
Unawaza kwa sauti sana jombaa!

Ni kweli ulichosema there are no gods but God does exist.

Yes, umetoa maelezo mazuri kulingana na mtazamo wako.So,ni muda nami naomba nitumie sehemu kidogo kuprove kwamba God does exist.Mind you! I won't reference in any religious book, instead I will try to draw my conclusion based on simple argument.

Some philosophers do believe on existence of phyiscal world and spiritual world. I will not tell you what they say but try to visit how idealists conceptualize this world .

Sasa ni wakati wangu kuprove kwamba God does exist. The truth is, wote ni mashaidi kwamba evil and goodness do exist. Sasa kama haya yapo ni mwanadamu yupi kaonyeshwa kwamba ndo yupo nyuma ya uwepo wa hivi vitu viwili?

Kuhitimisha sikutaka nifanye reference kwenye religious books najua bado ingekuwa ngumu kwako kuelewa but guess what wanaobelieve on existence of God hawajawahi kuongozwa na reasoning instead wako guided na faith.
 
Una maanisha nini unaposema 'Creator'?
Neno lipo vague sana, linaweza kuwa na maana tofauti tofauti kulingana na context

Kama 'creator' ni 'cause' ya ulimwengu, basi kwa maana hio tunakubali Ulimwengu una creator
Kwa kuwa cause ya ulimwengu ni mkusanyiko wa matukio yote ya asili wakati wa Planck epoch basi creator wa ulimwengu ni vyote vilivyomo ni Big bang

Kama 'Creator' ni natural selection na random mutations basi maisha kweli yana Creator

Una maana gani unaposema 'creator'?
Kwamba haya yote yaliyomo Duniani na sisi wenyewe tumeumbwa na tupo kwenye Himaya ya Creator ambaye ni Mungu na ana control kila kitu kilichomo ktk huu ulomwengu
 
Dah ila maswala ya uwepo wa Mungu unakuwaga na undani ambao mwisho nakuwa nakanganyika.

There's time najiuliza before ya Mungu alikuwepo nani, au Nin chanzo cha Mungu. Dah kuna mambo tutayajua siku tukija kufa tu
Which before? Your thinking is much based on time which was created by God himself.
 
Back
Top Bottom