Kuchwizzy
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 1,193
- 2,599
Nikupe heko kwanza kwa kugundua udhaifu wa kutumia vitabu vya dini ku prove uwepo wa MunguUnawaza kwa sauti sana jombaa!
Ni kweli ulichosema there is no gods but God does exist.
Yes, umetoa maelezo mazuri kulingana na mtazamo wako.So,ni muda nami naomba nitumie sehemu kidogo kuprove kwamba God does exist.Mind you! I won't reference in any religious book, instead I will try to draw my conclusion based on simple argument.
Some philosophers do believe on existence of phyiscal world and spiritual world. I will not tell you what they say but try to visit how idealists conceptualize this world .
Sasa ni wakati wangu kuprove kwamba God does exist. The truth is, wote ni mashaidi kwamba evil and goodness do exist. Sasa kama haya yapo ni mwanadamu yupi kaonyeshwa kwamba ndo yupo nyuma ya uwepo wa hivi vitu viwili?
Kuhitimisha sikutaka nifanye reference kwenye religious books najua bado ingekuwa ngumu kwako kuelewa but guess what wanaobelieve on existence of God hawajawahi kuongozwa na reasoning instead wako guided na faith.
(Circular Argument)
Pia kabla huja prove uwepo wa Mungu, ni busara kama ukitoa tafsiri yako ya neno Mungu
Mungu sio neno lenye maana moja, ku avoid ambiguity, mmoja anapaswa kutoa tafsiri yake ya neno hilo
Nakupa mfano, Mwanasayansi Professor Albert Einstein, alipoulizwa na wanafunzi wake kama anaamini juu uwepo wa Mungu
Alijibu ndio,kuwa anaamini Mungu yupo
Mkristo au muislam, anaweza kufurahi juu ya kisa hiki kwa kugundua kuwa kumbe mwanadamu mashuhuri namna hii anaamini Mungu yupo, mimi ni mjinga kiasi gani nipinge?
Ila ukitafuta tafsiri ya neno Mungu kulingana na Einstein ni tofauti kabisa, kiufupi ni kinyume cha na maana ya neno Mungu kwa mujibu wa imani ya kikristo au kiislamu
Albert Einstein aliamini Mungu ni 'summation of all laws of physics'
Mungu ni mkusanyiko wa sheria zote za asili, kwa maana nyingine Mungu ni just concept tu, abstraction ya jinsi gani Ulimwengu unafanya kazi
Kwa mkristo anayeamini Mungu mwenye hisia, aliyeumba kila kitu kwa kusudi, yaani Personal God. Hii ni habari mbaya kwake
Umeona hapo, kundi la watu ambao mwanzoni tunaona wanakubaliana, kumbe kiuhalisia wanatofautiana kwa 100%
Pia kwenye hoja yako sioni premise inayo justify hitimisho lako juu ya uwepo wa Mungu kupitia wema na ubaya
Ukirejea 'Problem of evil' utaona hivyo vitu viwili (Good and Evil) ndio vinatumika kuthibitisha kuwa Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hawezi kuwepo kwenye ulimwengu wenye kila aina ya maovu na natural calamities kama huu
Kwa sababu kwa upendo wote asingeruhusu mateso yatokee, kwa uwezo wote asingeshindwa, na kwa ujuzi wote angekuwa na njia bora zaidi ya kuuepuka
Mungu mwenye upendo wote kwa viumbe vyake hawezi kuumba 'Mbwa mwitu' wanaokula nyama ya Swala mjamzito akiwa hai... Huo ni mfano wa natural cruelty iliyopo kwenye animal kingdom
Unless uwe unaamini wanyama hawahisi maumivu