Nje ya mawazo ya Mwanadamu Mungu hayupo, hajawahi kuwepo, na hatakuwepo

Nje ya mawazo ya Mwanadamu Mungu hayupo, hajawahi kuwepo, na hatakuwepo

Watu waliokufa Wana majibu yote, kama Kuna mtu alikufa akarudi atuelezee
Ulichomaanisha ni kuwa Hakuna Mungu.. kama hiyo siyo maana yako, kwanini usubiri watu waliokufa? Inamaana huamini Maandiko matakatifu ambayo yamethibitisha uwepo wa Mungu, na kama huamini Maandiko matakatifu ni wazi huna dini.. ungekuwa na dini wala usinge subiri waliokufa wakuletee taarifa maana dini zote zinamtaja Mungu, na nyingine zinaitaja miungu kuwa ndiye Mungu wao.

mkuu nimekutania nilichoandika hapo juu wala kisikusumbue, lakini ingefaa kama ungenijibu swali hili..

wewe binafsi unasemaje Mungu yupo au Hayupo? Kuwa mkweli na muwazi...
 
Mungu hayupo na hajawai kuwepo fikra ya mawazo ya mungu inatokana na kushindwa kwa akili kutojua ulimwengu unaomzunguka embu fikiria kama kweli yupo kwanini wapo wengi wakina Allah Yehova Zeus Marduku yaan wamejaaa hawana msaada wowote yaan kitu unakitengeneza mwenyewe katika kichwa chako halafu unakiomba msaada si ujinga wa kiwango cha juu
 
Wao wanatumia theory zao kupinga.. Mimi nikitumia Maandiko ya Vitabu vitukufu Wanakataa.

Utawasikia hivyo vitabu wameandika watu kama wewe.. kwani hizo theory walitunga wanyama kama fisi?

Mwingine anakuja na ID zaidi ya moja kupinga uwepo wa Mungu, lakini anasahau tone ya matamshi (mwandiko wake) ni ileile..

Ibilisi najua upo kazini, Lakini na Mungu naye yupo Hapahapa..

Tumia theory nitumie Neno, ukija kwa blah blah.. utapata blah blah.

LIHIMIDIWE JINA LAKO MUNGU WETU, ULIYEUMBA ULIMWENGU NA VYOTE VILIVYOMO.. AMINA.
Hoja za namna hii ndio zinazofanya wengine tushindwe hata kushiriki mijadala ya namna hii

Hii ni discussion ya kawaida sana lengo ni kubadilishana mawazo kuhusu mitazamo tofauti

Unapoingiza utimu wa Mungu na shetani unakosea,
Hakuna aliyeajiriwa na shetani hapa,
Kuita wenye mitazamo tofauti na imani yako ni mashetani ni kukosa busara

Non believers haamini hivyo vitu vyote, kusema yupo hapa mpaka na ID mbili ili kumtetea shetani huoni ni vichekesho?

Watu mmekua too delusional

Huwezi thibitisha uwepo wa Mungu unayemuamini kwa kutumia kitabu chako cha dini

Kitabu chako cha dini unachokiamini wewe na kuona kila authority zote, kwa muumini wa dini tofauti na yako hakina authority yoyote

Tunataka uje na universal argument itakayo kubaliwa na Mtu yoyote

Wa Hindu wana kitabu chao cha dini, Mu hindu akithibitisha Krishna yupo kwa ku 'quote' baadhi ya sura katika kitabu chake kitakatifu Utakubaliana nae au utakataa?

Kwanini ukatae wakati katumia kitabu chake cha dini?

Sababu inayofanya ukatae ndiyo na sisi tunayoitumia kukataa chako

Usichokijua, imani zote zina equal validity,zote hazi base kwenye evidence

So Muhindu na Mkristo hakuna sahihi zaidi ya mwenzake

Wewe Kama ni mkristo, usione kitabu chako cha dini kina authority kuliko vyote

Tunakataa kutumia vitabu vya dini kwasababu sio sawa kimantiki
Ni sawa sawa na shabiki wa Movie akwambie Godzilla yupo na akatumia Movie ya Godzilla kama uthibitisho

Tunapotumia theory, tunatumia collective intelligence
Sio kazi ya mtu mmoja, ni zao la karne na karne za tafiti mbali mbali na Majaribio

Mfano, information theory ndiyo imefanya hata 'internet' iwezekane,
Theory ni kitu kikubwa kwenye sayansi... Sio maneno tu ya mtu
 
Chanzo cha uhai ulimwenguni ni nini au kipi?
 
Hoja za namna hii ndio zinazofanya wengine tushindwe hata kushiriki mijadala ya namna hii

Hii ni discussion ya kawaida sana lengo ni kubadilishana mawazo kuhusu mitazamo tofauti

Unapoingiza utimu wa Mungu na shetani unakosea,
Hakuna aliyeajiriwa na shetani hapa,
Kuita wenye mitazamo tofauti na imani yako ni mashetani ni kukosa busara

Non believers haamini hivyo vitu vyote, kusema yupo hapa mpaka na ID mbili ili kumtetea shetani huoni ni vichekesho?

Watu mmekua too delusional

Huwezi thibitisha uwepo wa Mungu unayemuamini kwa kutumia kitabu chako cha dini

Kitabu chako cha dini unachokiamini wewe na kuona kila authority zote, kwa muumini wa dini tofauti na yako hakina authority yoyote

Tunataka uje na universal argument itakayo kubaliwa na Mtu yoyote

Wa Hindu wana kitabu chao cha dini, Mu hindu akithibitisha Krishna yupo kwa ku 'quote' baadhi ya sura katika kitabu chake kitakatifu Utakubaliana nae au utakataa?

Kwanini ukatae wakati katumia kitabu chake cha dini?

Sababu inayofanya ukatae ndiyo na sisi tunayoitumia kukataa chako

Usichokijua, imani zote zina equal validity,zote hazi base kwenye evidence

So Muhindu na Mkristo hakuna sahihi zaidi ya mwenzake

Wewe Kama ni mkristo, usione kitabu chako cha dini kina authority kuliko vyote

Tunakataa kutumia vitabu vya dini kwasababu sio sawa kimantiki
Ni sawa sawa na shabiki wa Movie akwambie Godzilla yupo na akatumia Movie ya Godzilla kama uthibitisho

Tunapotumia theory, tunatumia collective intelligence
Sio kazi ya mtu mmoja, ni zao la karne na karne za tafiti mbali mbali na Majaribio

Mfano, information theory ndiyo imefanya hata 'internet' iwezekane,
Theory ni kitu kikubwa kwenye sayansi... Sio maneno tu ya mtu
Ukitaka kutumia theory (MIMI NAKURUHUSU), Mimi nitatumia Neno La Mungu (Na wewe niruhusu)..

Ukishindwa hiyo..

Tumia blah blah (MIMI NAKURUHUSU) na Mimi nitatumia blah blah (Niruhusu Tafadhali)... Hahahahah.

Ukitaka shiriki kwa faida ya ubongo wako, Usipotaka Susa ubaki na giza lako.

Kwa Yesu kuna amani ipitayo amani zote, Karibu mpendwa...

NB.. wale wa ID tatu tatu (Najua mnajijijuaaa) na nyie njooni.. Mkubwa wa kitengo cha "Usalama wa Imani" kwenye idara ya "Intelejensia ya Rohoni" nipo kamili-gadoooo.

Karibuni wapendwa
 
Hata mawazo kwamba hakuna Mungu nayo ni ya kibinadamu. Kwa hiyo si lazima yawe sahihi. Tena hayo ndiyo hayana mantiki kabisa, maana yanadhani kukosa ushahidi wa kitu ndio ushahidi kwamba kitu hicho hakipo.
Kabisa kwasababu wanatumia fikra tu kusema mungu hayupo
 
Toa mchango wako kulingana na mada jadiliwa kwenye thread.

Karibu
Mtu yeyote anayesema hakuna MUNGU, mtu huyo ni, "mpumbavu".

Mimi sina muda wa kujadiliana na wapumbavu maana hata Biblia inasema :
"usimkosoe mpumbavu maana atakuchukia, mkosoe mwenye hekima naye atakushukuru"

“Do not correct a fool, or he will hate you; correct a wise man and he will appreciate you". Proverbs 9:8
 
Ukitaka kutumia theory (MIMI NAKURUHUSU), Mimi nitatumia Neno La Mungu (Na wewe niruhusu)..

Ukishindwa hiyo..

Tumia blah blah (MIMI NAKURUHUSU) na Mimi nitatumia blah blah (Niruhusu Tafadhali)... Hahahahah.

Ukitaka shiriki kwa faida ya ubongo wako, Usipotaka Susa ubaki na giza lako.

Kwa Yesu kuna amani ipitayo amani zote, Karibu mpendwa...

NB..
Nakuruhusu, Tumia kitabu chako cha dini ku prove uwepo wa Mungu wako

Lakini kabla ya yote, kuna Maelefu ya Dini na imani tofauti tofauti Duniani na kila imani ina mitume au watu wake wanaoaminiwa kuwa na 'highest authority' na pia kila imani ina some sort of holly scripture inayoheshimiwa na imani

Haya maswali ni muhimu kuya address kwenye hoja yako

1.Kati ya hizo thousands religions, na holly scriptures kwanini dini yako wewe (Ukristo) na kitabu chako cha dini (Biblia) ni sahihi kuliko nyingine (zisizo sahihi)
NB: Kwasababu Mungu lazima awe mmoja, na haiwezekani kwa Mungu mwenye nia ya kutaka binadamu wote wamfahamu na kumwabudu, aanzishe dini nyingi zinazopingana kwenye hoja za msingi

Assumption yetu ni kwamba, kama umeona ukristo ni dini sahihi, na biblia ndiyo kitabu kitakatifu pekee na Mungu wa kwenye biblia (Agano jipya na kale) ndiye Mungu sahihi

Basi ni lazima utupe justifications kwanza kwanini Ukristo na Biblia na sio Uislam au Quran au dini nyingine elfu

Hapa napenda kukazia kitu muhimu, kwa kuwa utaamua kutumia kitabu chako cha dini basi hata tafsiri ya neno Mungu kwako inapaswa kuwa Strict

Mfano Generally, kwa dini za uyahudi, ukristo na uislamu

Mungu anajulikana kama mwenye nguvu zote, upendo wote na ujuzi zote

Hizi ndio sifa kuu za Mungu, ambazo hata moja ikiondoka kati ya hizo sio Mungu tena

Sasa unapotumia Biblia kuthibitisha uwepo wa Mungu wako, kutumia hio tafsiri haitoshi kwa sababu haito tenganisha Mungu wako 'Jehovah ' na 'Allah' Mungu wa imani ya kiislamu

Wote wana share tafsiri moja ya hapo juu, wote wana nguvu zote, ujuzi wote na maarifa yote

Hivyo hawawezi kutokea kwa pamoja, ni either Jehovah yupo na Allah hayupo au Allah yupo na Jehovah hayupo

Au aidha Ukristo ni imani sahihi na uislamu sio sahihi au vice versa

Na usiseme Allah na Jehovah ni kitu kimoja, tofauti yao ni misconception tu ya hizi dini mbili

Hapana, Jehovah na Allah ni miungu miwili tofauti kwa mujibu wa Biblia na Quran

Jehovah ana nafsi tatu za uungu, Allah ana nafsi moja pekee

Jehovah hamtambui mtume Muhammad ila Allah anamtambua

Jehovah anaitambua israel kama taifa teule ila Allah halitambui

Sasa utapotumia kutabu chako cha dini kuthibitisha uwepo wa Mungu wako lazima upite kwanza hii Filter..

Kwanini Ukristo, Bibilia na Jehovah ndiyo vitu pekee sahihi kuliko imani zote zilizopo, Vitabu vyote vilivyopo na Miungu yote iliyopo?

2.Vitabu vya dini vinaaminiwa kuwa inerrant
Havina hata nukta ya kosa kwasababu viliandikwa chini ya uongozi wa Mungu mjuzi wa yote, kwa case ya dini yako 'Roho mtakatifu'
Lakini ukifanya cross examination ya biblia utagundua ina makosa mengi ya msingi ambaye yasingewezekana chini ya uongozi wa Mungu mjuzi wa yote

Galileo alifungwa kifungo cha ndani maisha kwa kosa la kukosao biblia ilipodai kuwa Dunia ndio 'center' ya mfumo wa jua, na vingine vyote kwanzia Jua lenyewe,Sayari na nyota vinaizunguka Dunia

Na hio 'Geocentric Model' ndiyo inayo hubiriwa na Biblia mpaka leo

Baada ya Galileo kuonekana sahihi, kanisa katoliki likamuomba msamaha juzi juzi miaka mingi baada ya kifo chake

Na hio ni moja kati ya mara nyingi, Biblia iliyokumbatia false theories

In fact, naweza kukupa list ya scientific errors zilizo jaa kwenye biblia

Sasa unapotaka kutumia biblia kama evidence, lazima upite pia kwenye hii Filter ya pili

Je biblia haina scientific error yoyote ukilinganisha na vitabu vingine?

Ukiacha Scientific inaccuracies zilizopo, pia kuna Internal inaccuracies
Kitu ambacho hakiwezekani chini ya supervision ya roho mtakatifu

Vitabu vikuu vitatu vya injili, Luka, Mathayo, na Marko havikubaliani na kitabu cha Yohana kuwa Yesu alikufa kabla ya Pasaka au baada ya Pasaka

Na hivyo vitatu vyenyewe bado havikubaliani kulikua na wanawake wangapi kaburini (kwa yesu)

Naweza kukupa list ya internal inaccuracies nyingi za kwenye biblia

Hio ndiyo reason ya baadhi ya watu kusema njia rahisi ya kuwa Atheist ni kusoma biblia

Kabla hajatumia biblia kuthibitisha uwepo wa Mungu wako twambie kwanza

Je biblia haina internal inconsistencies ulinganisha ni vitabu vingine vya dini

Ukitoka hapo, twambie dhehebu lako, issue sio kuwa mkristo tu

Hizo internal inconsistencies na confusions zinazotengenezwa na biblia zimezalisha madhehebu kibao yanayopingana mpaka kwenye hoja za Msingi

Wasabato hawali bata na nguruwe na wanasali jumamosi

Madhehebu mengine ya kilokole wanakula Nguruwe na bata na wana sali Jumapili

Wote hawa wanatumia version moja ya Biblia

Papa,kiongozi mkuu wa dhehebu la kikatoliki (dhehebu kubwa katika ukristo), in fact kama wingi wa waumini unashabihiana na ukweli, hili lipo karibu na ukweli

Yet Papa, hana shida kabisa na ndoa za jinsia moja
Na ana nukuu biblia hio hio

Jehovah witnesses hawaamini uungu wa Yesu kristo, na yet wanatumia same version ya biblia kuwa support

So twambie kwanza Wewe ni dhehebu gani na kwanini la kwako ni sahihi kuliko madhehebu mengine ya kikristo

Uki address hizo issues zote basi utakua qualified kutumia biblia kama prove yako

Ukishindwa ku address hizo issue, just stick tu kwenye General definition ya neno Mungu na yet kuna hoja nyingi za kuipinga

Kuthibitisha usahihi wa dhehebu au dini yako sio rahisi kama kuhubri kanisani Mchungaji
Huko hutopata mtu wa kukuuliza maswali ya msingi, ila huku wapo

Karibu
 
Mtu yeyote anayesema hakuna MUNGU, mtu huyo ni, "mpumbavu".

Mimi sina muda wa kujadiliana na wapumbavu maana hata Biblia inasema :
"usimkosoe mpumbavu maana atakuchukia, mkosoe mwenye hekima naye atakushukuru"

“Do not correct a fool, or he will hate you; correct a wise man and he will appreciate you". Proverbs 9:8
Sasa huo uliofanya ndio Upumbavu wa kiwango cha juu

Anayesema Mungu hayupo ni Mpumbavu, una maana ya Mungu yupi?

Kwa muislamu, Mungu wako wewe hayupo, na sio tu Mpumbavu bali ni Kafiri

Kila Mtu aki 'quote' kitabu chake cha dini tutaona vichekesho humu

Naweza nikaandika riwaya ya kufikirika, kisha katika kurasa moja wapo nikasema Asiye amini matukio yote na visa vyote ndani ya hii riwaya ni Fala

Kisha mashabiki kindaki ndaki wa kitabu changu, ambao tu assume waliaminishwa juu ya hii riwaya tangu wakiwa wadogo ( indoctrinated)

Waki quote hio kurasa na kukuita wewe, ambaye huamini juu ya uhalisia wa riwaya yangu, Fala

Je kweli utakua ni Fala au wao ndio mafala?

Hii ni hoja yako ile ile,this time ina run backwards

Ubaya wa believers kama nyie ni kwamba, hata debates zilizojaa mtandaoni kuhusu mada kama hizi hamzifatilii na kuona belivers wengine wana debate vipi

Huwezi tumia hoja za namna hii, ni za kitoto sana

Hizi unatumia kanisani ukiwa na wapendwa wenzako
 
Nakuruhusu, Tumia kitabu chako cha dini ku prove uwepo wa Mungu wako

Lakini kabla ya yote, kuna Maelefu ya Dini na imani tofauti tofauti Duniani na kila imani ina mitume au watu wake wanaoaminiwa kuwa na 'highest authority' na pia kila imani ina some sort of holly scripture inayoheshimiwa na imani

Haya maswali ni muhimu kuya address kwenye hoja yako

1.Kati ya hizo thousands religions, na holly scriptures kwanini dini yako wewe (Ukristo) na kitabu chako cha dini (Biblia) ni sahihi kuliko nyingine (zisizo sahihi)
NB: Kwasababu Mungu lazima awe mmoja, na haiwezekani kwa Mungu mwenye nia ya kutaka binadamu wote wamfahamu na kumwabudu, aanzishe dini nyingi zinazopingana kwenye hoja za msingi

Assumption yetu ni kwamba, kama umeona ukristo ni dini sahihi, na biblia ndiyo kitabu kitakatifu pekee na Mungu wa kwenye biblia (Agano jipya na kale) ndiye Mungu sahihi

Basi ni lazima utupe justifications kwanza kwanini Ukristo na Biblia na sio Uislam au Quran au dini nyingine elfu

Hapa napenda kukazia kitu muhimu, kwa kuwa utaamua kutumia kitabu chako cha dini basi hata tafsiri ya neno Mungu kwako inapaswa kuwa Strict

Mfano Generally, kwa dini za uyahudi, ukristo na uislamu

Mungu anajulikana kama mwenye nguvu zote, upendo wote na ujuzi zote

Hizi ndio sifa kuu za Mungu, ambazo hata moja ikiondoka kati ya hizo sio Mungu tena

Sasa unapotumia Biblia kuthibitisha uwepo wa Mungu wako, kutumia hio tafsiri haitoshi kwa sababu haito tenganisha Mungu wako 'Jehovah ' na 'Allah' Mungu wa imani ya kiislamu

Wote wana share tafsiri moja ya hapo juu, wote wana nguvu zote, ujuzi wote na maarifa yote

Hivyo hawawezi kutokea kwa pamoja, ni either Jehovah yupo na Allah hayupo au Allah yupo na Jehovah hayupo

Au aidha Ukristo ni imani sahihi na uislamu sio sahihi au vice versa

Na usiseme Allah na Jehovah ni kitu kimoja, tofauti yao ni misconception tu ya hizi dini mbili

Hapana, Jehovah na Allah ni miungu miwili tofauti kwa mujibu wa Biblia na Quran

Jehovah ana nafsi tatu za uungu, Allah ana nafsi moja pekee

Jehovah hamtambui mtume Muhammad ila Allah anamtambua

Jehovah anaitambua israel kama taifa teule ila Allah halitambui

Sasa utapotumia kutabu chako cha dini kuthibitisha uwepo wa Mungu wako lazima upite kwanza hii Filter..

Kwanini Ukristo, Bibilia na Jehovah ndiyo vitu pekee sahihi kuliko imani zote zilizopo, Vitabu vyote vilivyopo na Miungu yote iliyopo?

2.Vitabu vya dini vinaaminiwa kuwa inerrant
Havina hata nukta ya kosa kwasababu viliandikwa chini ya uongozi wa Mungu mjuzi wa yote, kwa case ya dini yako 'Roho mtakatifu'
Lakini ukifanya cross examination ya biblia utagundua ina makosa mengi ya msingi ambaye yasingewezekana chini ya uongozi wa Mungu mjuzi wa yote

Galileo alifungwa kifungo cha ndani maisha kwa kosa la kukosao biblia ilipodai kuwa Dunia ndio 'center' ya mfumo wa jua, na vingine vyote kwanzia Jua lenyewe,Sayari na nyota vinaizunguka Dunia

Na hio 'Geocentric Model' ndiyo inayo hubiriwa na Biblia mpaka leo

Baada ya Galileo kuonekana sahihi, kanisa katoliki likamuomba msamaha juzi juzi miaka mingi baada ya kifo chake

Na hio ni moja kati ya mara nyingi, Biblia iliyokumbatia false theories

In fact, naweza kukupa list ya scientific errors zilizo jaa kwenye biblia

Sasa unapotaka kutumia biblia kama evidence, lazima upite pia kwenye hii Filter ya pili

Je biblia haina scientific error yoyote ukilinganisha na vitabu vingine?

Ukiacha Scientific inaccuracies zilizopo, pia kuna Internal inaccuracies
Kitu ambacho hakiwezekani chini ya supervision ya roho mtakatifu

Vitabu vikuu vitatu vya injili, Luka, Mathayo, na Marko havikubaliani na kitabu cha Yohana kuwa Yesu alikufa kabla ya Pasaka au baada ya Pasaka

Na hivyo vitatu vyenyewe bado havikubaliani kulikua na wanawake wangapi kaburini (kwa yesu)

Naweza kukupa list ya internal inaccuracies nyingi za kwenye biblia

Hio ndiyo reason ya baadhi ya watu kusema njia rahisi ya kuwa Atheist ni kusoma biblia

Kabla hajatumia biblia kuthibitisha uwepo wa Mungu wako twambie kwanza

Je biblia haina internal inconsistencies ulinganisha ni vitabu vingine vya dini

Ukitoka hapo, twambie dhehebu lako, issue sio kuwa mkristo tu

Hizo internal inconsistencies na confusions zinazotengenezwa na biblia zimezalisha madhehebu kibao yanayopingana mpaka kwenye hoja za Msingi

Wasabato hawali bata na nguruwe na wanasali jumamosi

Madhehebu mengine ya kilokole wanakula Nguruwe na bata na wana sali Jumapili

Wote hawa wanatumia version moja ya Biblia

Papa,kiongozi mkuu wa dhehebu la kikatoliki (dhehebu kubwa katika ukristo), in fact kama wingi wa waumini unashabihiana na ukweli, hili lipo karibu na ukweli

Yet Papa, hana shida kabisa na ndoa za jinsia moja
Na ana nukuu biblia hio hio

Jehovah witnesses hawaamini uungu wa Yesu kristo, na yet wanatumia same version ya biblia kuwa support

So twambie kwanza Wewe ni dhehebu gani na kwanini la kwako ni sahihi kuliko madhehebu mengine ya kikristo

Uki address hizo issues zote basi utakua qualified kutumia biblia kama prove yako

Ukishindwa ku address hizo issue, just stick tu kwenye General definition ya neno Mungu na yet kuna hoja nyingi za kuipinga

Kuthibitisha usahihi wa dhehebu au dini yako sio rahisi kama kuhubri kanisani Mchungaji
Huko hutopata mtu wa kukuuliza maswali ya msingi, ila huku wapo

Karibu
Asante

Kwanza nikiri nimeishia para ya kwanza ya maelekezo yako.

Mimi natumia neno la Mungu ambalo limeandikwa kwenye Biblia Takatifu.

Ukiniuliza Mungu Yupo, Maana yake unataka uthibitisho toka kwangu.. Mimi nitakujibu kwa Neno la Mungu ninalolifahamu.

Ukitaka ya wengine kawaulize wengine, Mimi sijihusishi nao/nayo kwamaana Mungu ameniagiza niwe na imani kwake, nimtumaini na Kumtegemea yeye na nisimuhusishe/kushirikisha na miungu yeyote.

Hivyo Basi, Kama uko tayari nikuonyeshe uwepo wa Mungu kupitia Neno lake (Ambalo ndiyo Amini yangu) karibu.. LAKINI ukitaka kwa imani za wengine watafute wao wenyewe kwani sina ujuzi wa KIDINI na Pia sifahamu dini zozote.. ila Imani yangu kwa Mungu ipo, na uwepo wake unathibishwa kwa Matendo yake makuu na Neno lake kwangu kupitia Biblia Takatifu.

Karibuni wapendwa
 
Asante

Kwanza nikiri nimeishia para ya kwanza ya maelekezo yako.

Mimi natumia neno la Mungu ambalo limeandikwa kwenye Biblia Takatifu.

Ukiniuliza Mungu Yupo, Maana yake unataka uthibitisho toka kwangu.. Mimi nitakujibu kwa Neno la Mungu ninalolifahamu.

Ukitaka ya wengine kawaulize wengine, Mimi sijihusishi nao/nayo kwamaana Mungu ameniagiza niwe na imani kwake, nimtumaini na Kumtegemea yeye na nisimuhusishe/kushirikisha na miungu yeyote.

Hivyo Basi, Kama uko tayari nikuonyeshe uwepo wa Mungu kupitia Neno lake (Ambalo ndiyo Amini yangu) karibu.. LAKINI ukitaka kwa imani za wengine watafute wao wenyewe kwani sina ujuzi wa KIDINI na Pia sifahamu dini zozote.. ila Imani yangu kwa Mungu ipo, na uwepo wake unathibishwa kwa Matendo yake makuu na Neno lake kwangu kupitia Biblia Takatifu.

Karibuni wapendwa
Nimesoma sentensi ya kwanza tu ya comment yako
Sijajua chini umesema nini
 
Nimesoma sentensi ya kwanza tu ya comment yako
Sijajua chini umesema nini
Nimesema hivi, UKITAKA MIMI NIKUTHIBITISHIE UWEPO WA MUNGU, NITATUMIA NENO LA MUNGU... SAHAU KUHUSU DINI NA VINGINEVYO, nathibitisha kwa Biblia Takatifu.

KAMA UNATAKA DINI (KAMA ILE PARA YAKO YA KWANZA PALE JUU) watafute wadini..

Hahahahah, Karibu mpendwa.
 
Kuna meme moja niliiona inasema kama hakuna Mungu anaeweka sukari kwenye nanasi ni nyanya ako?
Yah.... Nadhani kwa mara ya kwanza nilikutana nayo tiktok
Jokes anaweza fanya yoyote tu, kuna Gorge Carlin ni atheistic comedian tafuta clip zake youtube
Tofauti yake na hio meme, ni kwamba jokes zake ni fact

Naweza nika reverse hio meme na kusema
Kama kazi ya Mungu haina makosa anayeumba watoto wenye vichwa vikubwa na midomo ya sungura ni baba yako

Nayo ikawa jokes tu..

Au
Kumshukuru Mungu kwa kukuokoa wewe tu kwenye ajari ya basi iliyoua watu zaidi ya 24,ni sawa na kuwaandikia barua ya shukrani Majambazi waliyo vamia duka la Jirani yako na kulipita lako

Zote hizo ni meme na this time zina joke imani yako

Point ni kwamba meme inaandikwa na mpumbavu yoyote tu
 
Kinachonisumbua ni" Mungu ni mweza wa yote na ni mwema" kuna ukinzani. Kwa nini karuhusu ubaya? Kama hakuruhusu basi shetani ana uwezo zaidi. Basi ondoa "Mungu ni mweza wa yote, abakiwe na kawema kake.
 
Unawaza kwa sauti sana jombaa!

Ni kweli ulichosema there are no gods but God does exist.

Yes, umetoa maelezo mazuri kulingana na mtazamo wako.So,ni muda nami naomba nitumie sehemu kidogo kuprove kwamba God does exist.Mind you! I won't reference in any religious book, instead I will try to draw my conclusion based on simple argument.

Some philosophers do believe on existence of phyiscal world and spiritual world. I will not tell you what they say but try to visit how idealists conceptualize this world .

Sasa ni wakati wangu kuprove kwamba God does exist. The truth is, wote ni mashaidi kwamba evil and goodness do exist. Sasa kama haya yapo ni mwanadamu yupi kaonyeshwa kwamba ndo yupo nyuma ya uwepo wa hivi vitu viwili?

Kuhitimisha sikutaka nifanye reference kwenye religious books najua bado ingekuwa ngumu kwako kuelewa but guess what wanaobelieve on existence of God hawajawahi kuongozwa na reasoning instead wako guided na faith.
Yani unasema unaenda Kuprove uwepo wa Mungu halafu unasema


"The truth is, wote ni mashaidi kwamba evil and goodness do exist"


Hahahaha
 
Back
Top Bottom