Nje ya mawazo ya Mwanadamu Mungu hayupo, hajawahi kuwepo, na hatakuwepo

Nje ya mawazo ya Mwanadamu Mungu hayupo, hajawahi kuwepo, na hatakuwepo

Yani unasema unaenda Kuprove uwepo wa Mungu halafu unasema


"The truth is, wote ni mashaidi kwamba evil and goodness do exist"


Hahahaha
Nilikuwa nafanya utangulizi mkuu ila ukweli kuprove hili jambo beyond religious books inakuwa ngumu which is why I promised to be back
 
Nimesema hivi, UKITAKA MIMI NIKUTHIBITISHIE UWEPO WA MUNGU, NITATUMIA NENO LA MUNGU... SAHAU KUHUSU DINI NA VINGINEVYO, nathibitisha kwa Biblia Takatifu.

KAMA UNATAKA DINI (KAMA ILE PARA YAKO YA KWANZA PALE JUU) watafute wadini..

Hahahahah, Karibu mpendwa.
Ubaya wa approach yako ni kwamba una avoid maswali ya msingi kutoka kwa mpinzani

Inakua haina haja ya kufanya discussion kama huwezi jibu hoja za upande wa pili

Point yangu nilitaka u validate kwanza uhalali wa hio biblia kabla hujaanza kuitumia kama source of truth

Tupo kwenye Math Club, halafu wewe unataka kutafuta upande mmoja wapo wa pembetatu (right angled) bila kutumia Pythagoras theorem

Unataka kutumia Formula yako,
Unaweza, ila tupe Proof yake kwanza

Muislam pia anaweza tumia Quran kuthibitisha uhalali wa dini yake au Mungu wake, ambae kimsingi ni tofauti kabisa na wako?

utakubali Muislam atumie Quran kwako wewe kama mkristo?
 
NAKURUHUSU utumie hizo principal zako za mabang theory sijui nini nini, na Mimi Niruhusu nitumie Neno la Mungu kupitia Biblia Takatifu.

Ukitaka mambo ya dini watafute wadini.. ukitaka kuthibitishiwa Mungu Yupo nipo tayari kukuthibitishia.

Karibu mpendwa.
 
Ubaya wa approach yako ni kwamba una avoid maswali ya msingi kutoka kwa mpinzani

Inakua haina haja ya kufanya discussion kama huwezi jibu hoja za upande wa pili

Point yangu nilitaka u validate kwanza uhalali wa hio biblia kabla hujaanza kuitumia kama source of truth

Tupo kwenye Math Club, halafu wewe unataka kutafuta upande mmoja wapo wa pembetatu bila kutumia Pythagoras theorem

Unataka kutumia Formula yako,
Unaweza, ila tupe Proof yake kwanza

Muislam pia anaweza tumia Quran kuthibitisha uhalali wa dini yake au Mungu wake, ambae kimsingi ni tofauti kabisa na wako?

utakubali Muislam atumie Quran kwako wewe kama mkristo?
Nimeishia para ya juu kabisa, WEWE KAMA UNATAKA MIMI NIKUTHIBITISHIE nipe ruhusa nitumie BIBLIA.. ukitaka kuthibitishiwa kwa njia ya dini WATAFUTE wadini.
 
Ubaya wa approach yako ni kwamba una avoid maswali ya msingi kutoka kwa mpinzani

Inakua haina haja ya kufanya discussion kama huwezi jibu hoja za upande wa pili

Point yangu nilitaka u validate kwanza uhalali wa hio biblia kabla hujaanza kuitumia kama source of truth

Tupo kwenye Math Club, halafu wewe unataka kutafuta upande mmoja wapo wa pembetatu (right angled) bila kutumia Pythagoras theorem

Unataka kutumia Formula yako,
Unaweza, ila tupe Proof yake kwanza

Muislam pia anaweza tumia Quran kuthibitisha uhalali wa dini yake au Mungu wake, ambae kimsingi ni tofauti kabisa na wako?

utakubali Muislam atumie Quran kwako wewe kama mkristo?
Hahahahahah
Mimi siijui lolote kuhusu dini hizo ndio maana nakataa kuthibitisha uwepo wa Mungu kwa kutumia dini... Ila ninao uwezo wa kutumia Neno lake kupitia vinywa vya manabii na mitume mbalimbali KUTHIBITISHA UWEPO WAKE.

Karibu mpendwa
 
Yah.... Nadhani kwa mara ya kwanza nilikutana nayo tiktok
Jokes anaweza fanya yoyote tu, kuna Gorge Carlin ni atheistic comedian tafuta clip zake youtube
Tofauti yake na hio meme, ni kwamba jokes zake ni fact

Naweza nika reverse hio meme na kusema
Kama kazi ya Mungu haina makosa anayeumba watoto wenye vichwa vikubwa na midomo ya sungura ni baba yako

Nayo ikawa jokes tu..

Au
Kumshukuru Mungu kwa kukuokoa wewe tu kwenye ajari ya basi iliyoua watu zaidi ya 24,ni sawa na kuwaandikia barua ya shukrani Majambazi waliyo vamia duka la Jirani yako na kulipita lako

Zote hizo ni meme na this time zina joke imani yako

Point ni kwamba meme inaandikwa na mpumbavu yoyote tu
Fact
 
Hata mawazo kwamba hakuna Mungu nayo ni ya kibinadamu. Kwa hiyo si lazima yawe sahihi. Tena hayo ndiyo hayana mantiki kabisa, maana yanadhani kukosa ushahidi wa kitu ndio ushahidi kwamba kitu hicho hakipo.
Tuna zibitishaje uwepo wa mungu,ndugu yangu
 
Ukitaka kutumia theory (MIMI NAKURUHUSU), Mimi nitatumia Neno La Mungu (Na wewe niruhusu)..

Ukishindwa hiyo..

Tumia blah blah (MIMI NAKURUHUSU) na Mimi nitatumia blah blah (Niruhusu Tafadhali)... Hahahahah.

Ukitaka shiriki kwa faida ya ubongo wako, Usipotaka Susa ubaki na giza lako.

Kwa Yesu kuna amani ipitayo amani zote, Karibu mpendwa...

NB.. wale wa ID tatu tatu (Najua mnajijijuaaa) na nyie njooni.. Mkubwa wa kitengo cha "Usalama wa Imani" kwenye idara ya "Intelejensia ya Rohoni" nipo kamili-gadoooo.

Karibuni wapendwa
We ni chizi tu halafu unajiona lilokole kumbe chizi tu.

Sasa hapo umeandika nini
 
Mkuu umefafanua vizuri, idea ya god ilikuja ili kuikabili hofu ya duniani ndio maana wafia dini wanaamini kuwa kuna nchi inaitwa mbinguni, huko hakuna kuugua, kufa, njaa n.k yaani huko ni full kula bata tu, huhitaji ajira wala kufanya biashara ili uishi huko vyakula vipo vya kutosha yaani kuna chipsi za kumwaga, nyama choma, piza baga n.k

Ndio maana unawaona wanapambana usiku na mchana kusali ili siku moja waingie kwenye hiyo nchi. Hata telebani nao wanapambana waingie huko lakini najiuliza hao majamaa ukiingia nao mbinguni itakuaje [emoji2][emoji2][emoji2]
Yani we jamaa umeniacha hoi kwakweli
 
NAKURUHUSU utumie hizo principal zako za mabang theory sijui nini nini, na Mimi Niruhusu nitumie Neno la Mungu kupitia Biblia Takatifu.

Ukitaka mambo ya dini watafute wadini.. ukitaka kuthibitishiwa Mungu Yupo nipo tayari kukuthibitishia.

Karibu mpendwa.
Moja ya kati ya silaha kubwa ya ku win discussion yoyote ile ni 'research'
Research sio tu ya unachopanga kuzungumza, bali pia wanachopanga kuzungumza wengine

Sasa wewe hata kutamka neno 'Big Bang' ni mtihani
Nikizungumza kuhusu Space time inflation au Hubble law si utaishia kupinga tu bila hata kujua nazungumzia nini?

Halafu hizi sio principle zangu, ni decades ya watu smart waliokuwepo kabla yetu bila kujali imani zao

Hujakatazwa kutumia neno lako la mungu, point ni kwamba tunataka uthibitishe Kwanza uhalali wa hilo neno lako la Mungu

Mchungaji kibwetele alitumia hilo hilo neno la Mungu kuchoma waumini wake moto

Makundi ya kigaidi yanatumia uislam ku win mitazamo yao ya kisiasa hata kama Quran hai support, nao wana neno lao la Mungu

Wasabato masalia walitaka kupanda ndege bila nauli wala passports kwa kutumia neno lao la mungu

So ku avoid matatizo ya namna hio thibitisha kwanza uhalali wa neno lako la Mungu

Tuonyeshe kivipi ni best candidate wa ku address hili swali

Hatuwezi kukupa freedom tu
 
Asante

Kwanza nikiri nimeishia para ya kwanza ya maelekezo yako.

Mimi natumia neno la Mungu ambalo limeandikwa kwenye Biblia Takatifu.

Ukiniuliza Mungu Yupo, Maana yake unataka uthibitisho toka kwangu.. Mimi nitakujibu kwa Neno la Mungu ninalolifahamu.

Ukitaka ya wengine kawaulize wengine, Mimi sijihusishi nao/nayo kwamaana Mungu ameniagiza niwe na imani kwake, nimtumaini na Kumtegemea yeye na nisimuhusishe/kushirikisha na miungu yeyote.

Hivyo Basi, Kama uko tayari nikuonyeshe uwepo wa Mungu kupitia Neno lake (Ambalo ndiyo Amini yangu) karibu.. LAKINI ukitaka kwa imani za wengine watafute wao wenyewe kwani sina ujuzi wa KIDINI na Pia sifahamu dini zozote.. ila Imani yangu kwa Mungu ipo, na uwepo wake unathibishwa kwa Matendo yake makuu na Neno lake kwangu kupitia Biblia Takatifu.

Karibuni wapendwa
Mungu kakuagiza ? [emoji3]
 
Nimesema hivi, UKITAKA MIMI NIKUTHIBITISHIE UWEPO WA MUNGU, NITATUMIA NENO LA MUNGU... SAHAU KUHUSU DINI NA VINGINEVYO, nathibitisha kwa Biblia Takatifu.

KAMA UNATAKA DINI (KAMA ILE PARA YAKO YA KWANZA PALE JUU) watafute wadini..

Hahahahah, Karibu mpendwa.
Sasa wewe utathibitisha uwepo wa Mungu kwa kutumia Biblia na akija mtu kuthibitisha uwepo wa Mungu wake kwa dini ya ( Hindu) utamkubalia hoja zake?
 
mim sio mdini but i'm sprituality...
sikatai big bang theory lakin nin kilichosababisha itokee,
wanasayansi wana declare energy can not be created no destroyed swali
ni je nan aliye create energy wakati haiwez ku be created?
sayansi na maendeleo yake yote kufkia kwenda sayari za mbali lakini bado imeshindwa kutoa uhai hata
kwa kiumbe kama sisimizi. Wakati inadeclare tumetokea kwa kuzuka hawa scholars wanaojiita ni smart wameshindwa
kutengeza kiumbe chochote cha mfano na kukipa uhai kuprove huko kuzuka kulitokeaje.Kwahiyo kuzuka kumekuwa smart kuliko wanasayansi??
sayansi haiwezi jibu maswali mengi ukiingia in deep.
 
Hahahahahah
Mimi siijui lolote kuhusu dini hizo ndio maana nakataa kuthibitisha uwepo wa Mungu kwa kutumia dini... Ila ninao uwezo wa kutumia Neno lake kupitia vinywa vya manabii na mitume mbalimbali KUTHIBITISHA UWEPO WAKE.

Karibu mpendwa
Kila comment yako na kadri ninavyo interact na wewe nashidwa kujua na dili na mtu wa aina gani

Ni mchungaji wa kanisa fulani mahala fulani au mtoto wa miaka 12 aliye nyuma ya keyboard

Unaposema hujui chochote kuhusu dini (ukristo, uislam, au uyahudi) halafu mda huo huo unataka tukuruhusu utumie biblia, kitabu ambacho origin yake ni kutokea kwenye hizo hizo dini tukuelewe vipi?

Uthibitisho wako upo kwenye muundo upi?, hebu thibitisha unavyohisi wewe ni sawa

Karibu
 
watu tumekuwa vipofu kwa sababu tumeinvest kweny mazoea ...,
sikatai kuhusu hizi dini namna zilivyo mchora Mungu kam mtu anamiguu amekaa kiti cha enzi
anaoongea lakini Mungu anahitaj miguu ya nini wakati yupo mahali pote anahitaj kiti cha nin wakati ni roho
haina mwili Mungu hawezi kuwa na wivu wala chuki wakati yeye hajapungukiwa na chochote
kitu cha kureview ni Mungu halisi
Dini ni kindegerten school ya kumjua Mungu
 
Kitendo cha kuandika hii thread inaonesha wewe ni Kiumbe.
1.Neno Bin adamu maana yake nini?
2. Je ukiona saa ufukweni ikihesabu majira mishale yake ikosogea maana yake nini?
 
Kila comment yako na kadri ninavyo interact na wewe nashidwa kujua na dili na mtu wa aina gani

Ni mchungaji wa kanisa fulani mahala fulani au mtoto wa miaka 12 aliye nyuma ya keyboard

Unaposema hujui chochote kuhusu dini (ukristo, uislam, au uyahudi) halafu mda huo huo unataka tukuruhusu utumie biblia, kitabu ambacho origin yake ni kutokea kwenye hizo hizo dini tukuelewe vipi?

Uthibitisho wako upo kwenye muundo upi?, hebu thibitisha unavyohisi wewe ni sawa

Karibu
Unaona unavyofeli.. hahahaha

Mungu alikuepo kabla ya hizo dini, Maagizo yake(Neno lake) ni kabla ya hizo dini..

Unataka uthibitisho kwa Biblia?

Karibu mpendwa
 
Hahahaha

Wale wenye ID tatu tatuuu njooni piaaa... "Mnajitekenya na kuchekaa wenyewee"...

Wengine mnakuja Kama mnaingiaaa kumbe mnatokaaa... Hahahahhahah..

Wengine mnajifanya kondoo (Kulingana na maelezo yenu) kumbe Chui (Uhalisia wenu)

Intelejensia ya Rohoni imetanda mahali hapa..

Karibuni wapendwa
 
Back
Top Bottom