love life live life
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 2,584
- 3,051
kwa kuongezea sayansi kwa mara ya kwanza inakubali inferantion conclusion hii n kwenye gravitional force only tunaona effect yake tu vitu vikirushwa juu vinarudi chini beyond that hakuna prove yeyote.'Spirituality' ina maana gani kwako?
Umeishia tu hapo, haitoshi kuky define wewe ni nani?
Una amini katika Mungu wa kidini, au tafsiri yako ya neno Mungu ni ipi
Au unaamini katika roho isiyokufa?
Twambie wewe ni nani tujue tuna deal na mtu wa aina gani
Pia, naona umekua trapped kwenye 'God of the gap fallacy'
Hoja za namna hii,
Kama Mungu hayupo kwanini kuna hiki na kile
Sayansi haina uwezo wa kujibu kila swali kwenye lifetime yako
Sayansi ni progressive,hatua kwa hatua inatupa majibu
Mpaka hivi tunavyofahamu sasa ni zao la miaka mingi, zao la wenye busara waliotutangulia
Zao la wakristo, waislamu na non believers ambao waliacha imani na mitazamo yao walipofika kwenye sayansi
Unapotaka kuthibitisha uhalali wa imani yako kwa ku point gape lililipo kwenye sayansi ni makosa
Sayansi, haiwezi kuelezea 99% ya jinsi gani ubongo unavyofanya kazi
Tunafahamu 1% tu, kutumia hili gape sio wewe tu hata mimi naweza sema kwenye kila ubongo wa binadamu kuna 'vijitu vidogo vidogo' Vinavyotengeneza ufahamu
Wala sina ushahidi wowote wa ninachosema
Unapo uliza energy imetokea wapi, ushawahi tenga mda wako na kujifunza kuhusu Casmir effect
Unafahamu kwamba, notion ya absolutely empty space haipo
vacuum ni bahari ya virtual particles zinazo tokea na kupotea kila sekunde, haijawahi kuwa empty na ndio origin ya ordinary particles zilizopo
Na hio sio theory tu, ni result ya maabara
Na haina ulazima wowote wa ku make sense kwako, kama huwezi tenga mda wa kufanya research
Kukipa kiumbe uhai maana yake nini?
Hebu elezea hata procedure unayotaka ifanyike?
Ushawahi sikia kuhusu GMO au cloning?
Au unataka wanasayansi wa design kiumbe hai out of thin air?
Hata wanasayansi wakishidwa kuumba kiumbe unachotaka kivipi kuna thibitisha imani yako?
Hata kama sijui squre ya 4 kwanini iwe 1?
Pia unaongea kama mtu ambaye hajawahi kusoma biological evolution
Possibly unachanganya biological evolution na historia ya chimpanzee na home sapience uliyosoma kwenye history
Kwenye historia ulionyeshwa just tip of the iceberg
Ukisoma evolution ukiwa open minded utagundua kwanini Charles Darwin anaheshima kubwa kwenye Biology kama Einsten kwenye Physics
Na ina applications kila sehemu mpaka kwenye computer science
Nikikwambia tunaweza kupata software yenye uwezo wa kufanya brain surgery kwa mafanikio bila ya kuitengeneza (kui program) utaamini?
Ushawahi sikia kuhusu Genetic programming?
Kivipi tunaweza pata high quality software kwa ku apply principle ya natural selection tukianza na trivial programs zisizoweza fanya chochote kile useful
Ndio maana kuna msemo unasema 99% wanaopinga evolution ni wale ambao hawajawahi soma kuhusu evolution
Hiyo bahari ya vacuum unaongelea dual-particle nature ambayo ndio basis ya law energy cannot be created no destroyed but can change from one state to another.
Hiyo walikuwa wanafanya maabara kuobserve hiyo particle baada ya mda ilipotea afu ikarejea ndio wakaja na hiyo law .