Nje ya mawazo ya Mwanadamu Mungu hayupo, hajawahi kuwepo, na hatakuwepo

Nje ya mawazo ya Mwanadamu Mungu hayupo, hajawahi kuwepo, na hatakuwepo

Ukinijibu haya maswali vizuri na nikakuelewa basii nitaamini Mungu hayupo kweli..

1)Kwanini binadamu anakufa?

2)Ni nini kinamfanya binadamu afe?

3)Binadamu akifa anaenda wapi?

4)Kwann binadamu awezi ishi milele?
Swali la 1,2, na 4 yote yanajibiwa na sayansi
Kama uli pay attention shuleni utakua na basics hata za kujibu hayo maswali

Swali la 3 ni illogical, kama unajua nini maana ya mtu kufa medically

Pia atheist sio mwanasayansi wala ha claim kujua yote

Atheist ni random guy anaye kataa kuhusu imani yako, ni simple tu kama hivyo

Sasa ukimwambie kwanini mtu haishi milele wakati shuleni ulifundishwa kuhusu entropy na unajua kadri umri unavyozidi kwenda cells mfu zina outnumber cell hai

Seriously unauliza swali ambalo hata biology textbook ya form 2 inakujibu?
 
Huoni kama umekosa hata staha?
Mwombe basi huyo Mungu unayemuamini akufundishe hata adabu na jinsi gani ya kujenga hoja kisomi mbele za watu

Sio unaanza kuita watu wapumbavu bila kujenga, watu wanao fatilia huu uzi wata ku discredit tu

Kama wewe umeaminishwa wewe ni takataka, kondoo au bibi harusi amini wewe tu

Sio unaanza kuita kila mtu takataka

Kama mpumbavu humu ndani ni wewe. Huna hoja umetumia mihemko

Na hio ndiyo final attempt ya mtu aliyeshindwa kujadili kisomi
You don't get my point, are you?

I said and I say it again. There is no use of discussing GOD's existence with fools coz they'll never understand a thing.

GOD's knowledge is not for the fools but for the wise, sage and discerning people.
 
Swali la 1,2, na 4 yote yanajibiwa na sayansi
Kama uli pay attention shuleni utakua na basics hata za kujibu hayo maswali

Swali la 3 ni illogical, kama unajua nini maana ya mtu kufa medically

Pia atheist sio mwanasayansi wala ha claim kujua yote

Atheist ni random guy anaye kataa kuhusu imani yako, ni simple tu kama hivyo

Sasa ukimwambie kwanini mtu haishi milele wakati shuleni ulifundishwa kuhusu entropy na unajua kadri umri unavyozidi kwenda cells mfu zina outnumber cell hai

Seriously unauliza swali ambalo hata biology textbook ya form 2 inakujibu?
Bado cjakuelewa kwaiyo nitaendelea kuamini Mungu yupo izo cell binadamu ameshindwa zitengenezaa ili aishi milele acha kupotosha watu ww Mungu yupo...
 
ndio maana nikakwambia yana exist kama dhana tu
dhana ni human construction
na ndio key point ya hii mada

Chuki, furaha, uhuru, kuchoka na maneno mengine yana exist kwenye akili ya binadamu tu

Kwa viumbe vingine havipo
The same goes with God, ni neno dhahania kali ulivyosema

Lina maana tu kweli akili yetu kama kuchoka kulivyo na maana kwetu na sio kwa machine

Nje ya akili ya binadamu hakuna Uhuru wala demokrasi, ni human imagination inayofanya vionekane kuwepo
kuna vitu huwezi viprove tofaut na exprience ya effect yake tu ndio maana sayansi for the first time inakubali ushaidi wa inferantion kwenye existence ya gravitational force tunajua tu kitu kikirushwa juu lazima kirud but hakun ushaidi tofauti the effect tunayo iona kitu kikirushwa juu na kurud chini ndio ina prove gravitational force hakuna kingine.
The same upendo tunafeel effect yake tu au chuki au furaha hata uhuru na uchovu vipo lakini tunavipata kwenye effect tu.
Huwezi ukadai uhuru hauna tofauti na utumwa.
au chuki na furaha ni vitu vipo but tuna perceive effect yake matokeo ya uhuru, chuki ama furaha
 
Na nimeulizs hayo maswali makusudi na sio kama sijui ila nataka uniambie why binadamu anashundwa tengeneza cell hai ambazo akifikia uzee tuu ana ji inject Izo cell hai anarudi ujana wake hafi milele kama kweli binadamu yeye ni mwamba mbona kashindwa...
 
Kuna mwanasayansi mmoja wa kikorea aliwai jitengenezea cell hai aliuwa vijusi vile mimba zinazotungwa vile vijusi ambavyo vipo tumboni mwa mwanamke anavifyonza ana mu inject mtu mzee anarudi kwenye hali yake ya ujana azeeke akapewa mpaka tuzo ya nobel lakini badae wamarekani wakaona uwo ni ukatili kumfanya binadamu akae milele bila kufa kutasababisha vizazi vingine,

Visitokee na technologia aiwezi kuwa mana watu watakuwa wale wale point yangu mm huyu binadamy kwann asitengeneze cell hai ambazo azitokuwa zimetokana na binadamu yani aunde cell ambazo zimetokana na vitu anavyojua yy ili binadamu aishii milele mbona kashindwa...

Nb:unapotosha watu humu na wakati ukweli wote unaujua acha izo ww...
 
Nijibu swali langu jingine why binadamu kashindwa jitengenezea cell za kumfanya aishi milele....???
 
Mkuu imani ni ku accept jambo bila uthibitisho, kilichothibitishwa hakipo kwenye imani. Kusema mitume wamethibitisha mungu yupo kwa imani ni contradiction
Hii tafsiri yako kidogo nimekuwa na mashaka nayo unaweza kuniongoza wapi umeipata? na kama ni yako basi naweza sema ina mapungufu kidogo.

Ukisema imani ni ku accept jambo bila uthibitisho nadhani hapa kuna kitu hakiko sawa.Sasa utakuwa unakubali nini wakati hilo jambo halipo tena.

Yes, prophets walikuwa na imani na ndio iliwaongoza lakini kabla ya hiyo imani tayari walikuwa na ufunuo(revelation) ya kuwa Mungu yupo.

Hayupo nabii au mtume yoyote aliamka akasema habari ya Mungu bila kufunuliwa.Kuhusu haya maarifa ya ufunuo yako vipi?nadhani ata wanafalsafa wamejaribu kutoa maelezo mazuri ukipata mda unaweza wapitia pia
 
Mleta mada unakosea sana, Unachanganya Sayansi na Dini.
Hivyo ni vitu viwili tofauti. Na kwann binadamu atoke kuwa nyani? Hata viumbe vyenye lifespan ndogo kwanini labda sisimizi hajawa nyoka?

Hebu jiulize majini ni viumbe asili yao ipi?
 
AHIMIDIWE MUNGU MTAKATIFU ATUPAYE PUMZI.

mwanadamu hujawai Kumtafuta Mungu lakini unataka aje akutembelee hapo sebuleni kwenu ili uamini yupo sio? Hahahahah Huo ndio wazimu wa mwanadamu bwana, akishindwa utamsikia.. SIZITAKI MBICHI HIZI

Mungu Yupo, NIRUHUSU NITUMIE NENO LAKE KUTHIBITISHA.

Karibuni wapendwa, tujadiliane..
 
Hoja ya kuwa hakuna mungu duniani ni unaprovable concept...kwa sababu sayansi Hadi leo haitoi majini yanaeleweka kuhusiana na asili ya ulimwengu huu ukisoma geography utakuta nadharia nyingi ambazo ziko weak na hazijitoshelezi....hata Darwin na nadharia yake ya evolution bado inamapungufu juu ya asili ya viumbe na ulimwengu...na pia inasemekana kabla hajafa alitubu...hata ukiangalia wanafalsafa wanakubali kuwa Kuna natural power which create the universe...lakini kwa kumalizia ushaidi mkubwa zaidi juu ya uwepo wa mungu ni kuwa ukiangalia nature ya miili ya yetu sisi wanadamu na viumbe vingine utaona kuwa mtu katudesign mfano miili yetu iko full mechanized mfano utoaji na uingizaji wa hewa ...mfumo wa chakula kuanzia kwenye meno kisagwa kwa chakula na utolewaji wa taka mwili...ukitafakari kwa undani utagundua tumeumbwa coz tunascientific bodies ambayo inaonyesha dhairi shairi kuwa tumeumbwa na mtu mwingine mwenye nguvu zaidi yetu.....so mungu yupo hata habari za mitume Kama yesu ni real story ...
Ulishawahi muona jini
 
Swali la 1,2, na 4 yote yanajibiwa na sayansi
Kama uli pay attention shuleni utakua na basics hata za kujibu hayo maswali

Swali la 3 ni illogical, kama unajua nini maana ya mtu kufa medically

Pia atheist sio mwanasayansi wala ha claim kujua yote

Atheist ni random guy anaye kataa kuhusu imani yako, ni simple tu kama hivyo

Sasa ukimwambie kwanini mtu haishi milele wakati shuleni ulifundishwa kuhusu entropy na unajua kadri umri unavyozidi kwenda cells mfu zina outnumber cell hai

Seriously unauliza swali ambalo hata biology textbook ya form 2 inakujibu?
Watu walisoma thermodyanmic second law kijuu juu hawawezi elewa entropy ni nini. Mi ndio maana nataka sayansi tanzania ifundishwe kwa kiswahili ili watu waelewe na kuipenda sayansi
 
Hata mawazo kwamba hakuna Mungu nayo ni ya kibinadamu. Kwa hiyo si lazima yawe sahihi. Tena hayo ndiyo hayana mantiki kabisa, maana yanadhani kukosa ushahidi wa kitu ndio ushahidi kwamba kitu hicho hakipo.
Huu uzi uishie hapa, na JF wangetakiwa waweke njia mbadala ya kuweka jibu konki liwe la kwanza kabisa....[emoji23]
 
AHIMIDIWE MUNGU MTAKATIFU ATUPAYE PUMZI.

mwanadamu hujawai Kumtafuta Mungu lakini unataka aje akutembelee hapo sebuleni kwenu ili uamini yupo sio? Hahahahah Huo ndio wazimu wa mwanadamu bwana, akishindwa utamsikia.. SIZITAKI MBICHI HIZI

Mungu Yupo, NIRUHUSU NITUMIE NENO LAKE KUTHIBITISHA.

Karibuni wapendwa, tujadiliane..
how are you sure kwamba ni neno lake??
 
Bado cjakuelewa kwaiyo nitaendelea kuamini Mungu yupo izo cell binadamu ameshindwa zitengenezaa ili aishi milele acha kupotosha watu ww Mungu yupo...
Cell zikishi milele ndio zinaitwa cancer , molecular biology inaelezea hili vizuri. Ntakupostia video uondoe kutu kichwani kuhusu why cell dies. Mfano kila inapotokea miosisy there is a chromose inapungua certain length na hii ndio inadetermine kama mtu haumwi magonjwa how long anaishi halafu hii part is controlled by another protein ambayo kama ikiachwa ndio inatengeneza cancer cell, ambazo hazifi maana white blood cell hutuma chemical instruction for abnormal cell to self destruct.
Tuje why we die.
your body is constantly fighting not today or to maintain order maana second dynamic law says than universe is geared towarda chaos.

sayansi inamajibu mengi kuhusu mwili wako kuliko hizo habari za dini
na swali kama bado halijajibiwa na science vitabu vya dini haviwezi jibu.
 
kuna vitu huwezi viprove tofaut na exprience ya effect yake tu ndio maana sayansi for the first time inakubali ushaidi wa inferantion kwenye existence ya gravitational force tunajua tu kitu kikirushwa juu lazima kirud but hakun ushaidi tofauti the effect tunayo iona kitu kikirushwa juu na kurud chini ndio ina prove gravitational force hakuna kingine.
The same upendo tunafeel effect yake tu au chuki au furaha hata uhuru na uchovu vipo lakini tunavipata kwenye effect tu.
Huwezi ukadai uhuru hauna tofauti na utumwa.
au chuki na furaha ni vitu vipo but tuna perceive effect yake matokeo ya uhuru, chuki ama furaha
Hiko kitu ukikirusha kwenye zero gravity area hakishuki chini. Sasa unasemaje huwezi amini uwepo wa gravitational force.
 
Na nimeulizs hayo maswali makusudi na sio kama sijui ila nataka uniambie why binadamu anashundwa tengeneza cell hai ambazo akifikia uzee tuu ana ji inject Izo cell hai anarudi ujana wake hafi milele kama kweli binadamu yeye ni mwamba mbona kashindwa...
Tutafika hii level science is still perfecting hii level ya immortality mfano now tunaweza edit gene ya any DNA kutumia CRISPR na hii technology tumejifunza kutoka kwa bacteria. Shida unaleta ubishi lakink hauna information yoyote wala hutafuti unakuja sema tuu kwanini binadamu hazalishi cell akiwa mzee. Hilo swali limeshajibiwa miaka mingi iliyopita now tupo stage ya jinsi gani ya kumfanya binadamu azalishe cell milele
 
Mkuu imani ni ku accept jambo bila uthibitisho, kilichothibitishwa hakipo kwenye imani. Kusema mitume wamethibitisha mungu yupo kwa imani ni contradiction
Mbona comment ya 20 mmeiruka wote ninyi mawakala wa shetwani?

Jibuni ile hoja ndipo mje kuendelea kupinga uwepo wake Mungu.
 
Hii tafsiri yako kidogo nimekuwa na mashaka nayo unaweza kuniongoza wapi umeipata? na kama ni yako basi naweza sema ina mapungufu kidogo.

Ukisema imani ni ku accept jambo bila uthibitisho nadhani hapa kuna kitu hakiko sawa.Sasa utakuwa unakubali nini wakati hilo jambo halipo tena.

Yes, prophets walikuwa na imani na ndio iliwaongoza lakini kabla ya hiyo imani tayari walikuwa na ufunuo(revelation) ya kuwa Mungu yupo.

Hayupo nabii au mtume yoyote aliamka akasema habari ya Mungu bila kufunuliwa.Kuhusu haya maarifa ya ufunuo yako vipi?nadhani ata wanafalsafa wamejaribu kutoa maelezo mazuri ukipata mda unaweza wapitia pia
Imani kwa Kiswahili ni neno lenye maana mbalimbali (k.mf. "huruma"), lakini ile kuu inahusiana na kitenzi kuamini, kinachofanana na kusadiki. Hapo ni kukubali ukweli wa jambo lisiloweza kuthibitishwa.

Meanwhile ukiwa na imani huna uhakika
 
Back
Top Bottom