Nje ya mawazo ya Mwanadamu Mungu hayupo, hajawahi kuwepo, na hatakuwepo

Nje ya mawazo ya Mwanadamu Mungu hayupo, hajawahi kuwepo, na hatakuwepo

Ulivyosema ni sawa na ndio maana nkasema hakuna mtu atakuja akwambie ana imani na kitu fulani bila ya kuwa amejua ukweli au uzoefu wa nyuma na ndio maana mapema nilikudokeza kwamba ata hao mitume na manabii had revelation first on existence of God kabla ya kuanza kuamini au kueleza habari za Mungu.

So ukweli kwa maelezo haya nliyotoa lazima utangulie and a point of information,faith sio product ya ukweli instead ni that feeling or power you have on a situation after knowing the truth.

Mwisho kabisa nikushukuru kwa kila kitu nadhani kwa leo hapa ndo tamati
Mzee kujua ukweli wa kitu ambacho kipo based kwenye imani ni contradiction, Faith is the belief in the truth of something that does not require any evidence and may not be provable by any empirical or rational means.

Ukishajua ukweli hautakua kwenye imani, una shift kwenye ujuzi ambao ushakua verified
 
Unawaza kwa sauti sana jombaa!

Ni kweli ulichosema there are no gods but God does exist.

Yes, umetoa maelezo mazuri kulingana na mtazamo wako.So,ni muda nami naomba nitumie sehemu kidogo kuprove kwamba God does exist.Mind you! I won't reference in any religious book, instead I will try to draw my conclusion based on simple argument.

Some philosophers do believe on existence of phyiscal world and spiritual world. I will not tell you what they say but try to visit how idealists conceptualize this world .

Sasa ni wakati wangu kuprove kwamba God does exist. The truth is, wote ni mashaidi kwamba evil and goodness do exist. Sasa kama haya yapo ni mwanadamu yupi kaonyeshwa kwamba ndo yupo nyuma ya uwepo wa hivi vitu viwili?

Kuhitimisha sikutaka nifanye reference kwenye religious books najua bado ingekuwa ngumu kwako kuelewa but guess what wanaobelieve on existence of God hawajawahi kuongozwa na reasoning instead wako guided na faith.
Umemkoroga zaidi mtoa hoja
 
Nikupe heko kwanza kwa kugundua udhaifu wa kutumia vitabu vya dini ku prove uwepo wa Mungu
(Circular Argument)

Pia kabla huja prove uwepo wa Mungu, ni busara kama ukitoa tafsiri yako ya neno Mungu

Mungu sio neno lenye maana moja, ku avoid ambiguity, mmoja anapaswa kutoa tafsiri yake ya neno hilo

Nakupa mfano, Mwanasayansi Professor Albert Einstein, alipoulizwa na wanafunzi wake kama anaamini juu uwepo wa Mungu

Alijibu ndio,kuwa anaamini Mungu yupo

Mkristo au muislam, anaweza kufurahi juu ya kisa hiki kwa kugundua kuwa kumbe mwanadamu mashuhuri namna hii anaamini Mungu yupo, mimi ni mjinga kiasi gani nipinge?

Ila ukitafuta tafsiri ya neno Mungu kulingana na Einstein ni tofauti kabisa, kiufupi ni kinyume cha na maana ya neno Mungu kwa mujibu wa imani ya kikristo au kiislamu

Albert Einstein aliamini Mungu ni 'summation of all laws of physics'
Mungu ni mkusanyiko wa sheria zote za asili, kwa maana nyingine Mungu ni just concept tu, abstraction ya jinsi gani Ulimwengu unafanya kazi

Kwa mkristo anayeamini Mungu mwenye hisia, aliyeumba kila kitu kwa kusudi, yaani Personal God. Hii ni habari mbaya kwake

Umeona hapo, kundi la watu ambao mwanzoni tunaona wanakubaliana, kumbe kiuhalisia wanatofautiana kwa 100%

Pia kwenye hoja yako sioni premise inayo justify hitimisho lako juu ya uwepo wa Mungu kupitia wema na ubaya

Ukirejea 'Problem of evil' utaona hivyo vitu viwili (Good and Evil) ndio vinatumika kuthibitisha kuwa Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hawezi kuwepo kwenye ulimwengu wenye kila aina ya maovu na natural calamities kama huu
Kwa sababu kwa upendo wote asingeruhusu mateso yatokee, kwa uwezo wote asingeshindwa, na kwa ujuzi wote angekuwa na njia bora zaidi ya kuuepuka

Mungu mwenye upendo wote kwa viumbe vyake hawezi kuumba 'Mbwa mwitu' wanaokula nyama ya Swala mjamzito akiwa hai... Huo ni mfano wa natural cruelty iliyopo kwenye animal kingdom
Unless uwe unaamini wanyama hawahisi maumivu
Well said mkuu
 
habari great thinkers.

Uwepo wa mungu ni matokea ya maendeleo ya binadamu katika kuupata ustaarabu.Men create the god in their own imagination.Ndo mana wale miungu ya kale kabla ya hizi dini mpya za kisasa walikuwa na maumbo ya kibinadamu(human look_like) hata sifa walikuwa kama binadmu.
Walikuwa na sifa za kulia, kukasirika,wivu, njaa n.k.

Lakini hizi dini za kileo ni maboresho ya dini za kale so that hata miungu ya dini hizi wamepewa sifa nyingi kidogo kuliko wale wa kale,ikiwemo kutoonekana,ana uwezo wote, yupo kila sehemu n.k.
Nadhani wote tunajuwa kuwa binadamu alikuwa anaishi pamoja na wanyama wengine hapo kale kabla ya kuanza kujitenga na kuanzisha ustaarabu wake,katika kipindi hiki cha maisha binadamu alikuwa hana tofauti na wanyama wengine.Ilimchukau mamilioni ya miaka biandamu kujitofautisha na wanyama wengine na kuanza kustaarabika.Katika kipindi hiki huyu binadamu alianzisha mambo mbalimbali ikiwemo Dini,mungu,sheria,taifa n.k.

There are no gods,no god in the universe,no nation,no money,no justice,no law,no human rights out side the common imagination of human beings.Mara baada ya kuapata ustaarabu binadamu aliweza kuanzisha mambo mengi ikiwe religion institutions,mungu n.k.

View attachment 1941529
Mungu yupo wala haihitaji kutumia akili nyingi ili kujua kuhusu Mungu
 
WOTE MMESHINDWA KUNISHAWISHI...

SASA NI ZAMU YANGU KUTAMBA.

NB.. SITAJIBU LOLOTE KWANI NIMEWAPA MUDA TUJADILIANE HAMJANIPA USHIRIKIANO.

Asanteni wapendwa.
 
Yeremia 29:12-14
"Nanyi mtaniita, mtakwenda na kuniomba, nami nitawasikiliza.
Nanyi mtanitafuta na kuniona, mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote.
Nami nitaonekana kwenu, asema BWANA, nami nitawarudisha watu wenu waliofungwa, nami nitawakusanya ninyi, nikiwatoa katika mataifa yote, na katika mahali pote, nilikowafukuza, asema BWANA; nami nitawaleta tena, hata mahali ambapo kutoka hapo naliwafanya mchukuliwe mateka."

Mungu Amewapa Maagizo mumtafute kwa Moyo wenu wote..

Sasa ukianza kuweka ma-theory ya mabang Hapo hujatumia moyo wala akili wala nguvu zako zote..

Unapofanya shauri juu ya Mungu, weka mbali fahamu na kanuni za kibinaadamu kwani Mungu ni Mkuu na Mtakatifu Sana.
 
habari great thinkers.

Uwepo wa mungu ni matokea ya maendeleo ya binadamu katika kuupata ustaarabu.Men create the god in their own imagination.Ndo mana wale miungu ya kale kabla ya hizi dini mpya za kisasa walikuwa na maumbo ya kibinadamu(human look_like) hata sifa walikuwa kama binadmu.
Walikuwa na sifa za kulia, kukasirika,wivu, njaa n.k.

Lakini hizi dini za kileo ni maboresho ya dini za kale so that hata miungu ya dini hizi wamepewa sifa nyingi kidogo kuliko wale wa kale,ikiwemo kutoonekana,ana uwezo wote, yupo kila sehemu n.k.
Nadhani wote tunajuwa kuwa binadamu alikuwa anaishi pamoja na wanyama wengine hapo kale kabla ya kuanza kujitenga na kuanzisha ustaarabu wake,katika kipindi hiki cha maisha binadamu alikuwa hana tofauti na wanyama wengine.Ilimchukau mamilioni ya miaka biandamu kujitofautisha na wanyama wengine na kuanza kustaarabika.Katika kipindi hiki huyu binadamu alianzisha mambo mbalimbali ikiwemo Dini,mungu,sheria,taifa n.k.

There are no gods,no god in the universe,no nation,no money,no justice,no law,no human rights out side the common imagination of human beings.Mara baada ya kuapata ustaarabu binadamu aliweza kuanzisha mambo mengi ikiwe religion institutions,mungu n.k.

View attachment 1941529
Unajuaje?
 
kwa tafsiri yako ya kiswahili Mind ni nini tuanzie hapo!
The mind produces all kinds of thoughts: good and bad,
positive and negative, peaceful and anxious, calm and
angry, friendly and hostile.
It also desires, and wants this and
that, primarily to be happy.
In fact, it is the mind that
keeps us going through the faculty of thought.
only mind is the thought factory
 
Una maanisha nini unaposema 'Creator'?
Neno lipo vague sana, linaweza kuwa na maana tofauti tofauti kulingana na context

Kama 'creator' ni 'cause' ya ulimwengu, basi kwa maana hio tunakubali Ulimwengu una creator
Kwa kuwa cause ya ulimwengu ni mkusanyiko wa matukio yote ya asili wakati wa Planck epoch basi creator wa ulimwengu ni vyote vilivyomo ni Big bang

Kama 'Creator' ni natural selection na random mutations basi maisha kweli yana Creator

Una maana gani unaposema 'creator'?
Safi! So what caused the big bang?
 
Kumbukumbu la Torati 30:11-17
Kwa maana maagizo haya nikuagizayo leo, si mazito mno kwako, wala si mbali.
Si mbinguni, hata useme, Ni nani atakayetupandia mbinguni akatuletee, aje atuambie tusikie, tupate kuyafanya?
Wala si ng’ambo ya pili ya bahari, hata useme, Ni nani atakayetuvukia bahari, akatuletee, aje atuambie, tusikie, tupate kuyafanya?
Lakini neno li karibu nawe sana, li katika kinywa chako na moyo wako, upate kulifanya.
Angalia, nimekuwekea leo mbele yako uzima na mema, na mauti na mabaya;
kwa hivi nikuagizavyo leo kumpenda BWANA, Mungu wako, kuenenda katika njia zake, na kushika maagizo yake, na amri zake, na hukumu zake, upate kuwa hai na kuongezeka; BWANA, Mungu wako, apate kukubarikia katika nchi uingiayo kuimiliki.
Lakini moyo wako ukikengeuka, usipotaka kusikiza, lakini ukavutwa kando kwenda kuabudu miungu mingine, na kuitumikia;"

UAMUZI NI WAKO.. CHAGUA MEMA UISHI, au CHAGUA MABAYA UPATWE NA MAUTI.. nadhani sasa umeelewa kwann wengine wanapatwa na mabaa mbalimbali, ABABU ZA HAYA ZIKO NYINGI... Moja ni uchaguzi wako mwenyewe
 
Waamuzi 10:14
"Haya, endeni mkaililie hiyo miungu mliyoichagua; na hiyo iwaokoe wakati wa kusumbuka kwenu."

Kila mtu aseme na upande wake, msaada utatoka ulikochagua
 
kwa tafsiri yako ya kiswahili Mind ni nini tuanzie hapo!
The mind is a thinker with a
primary function of generating thoughts while we are
awake. It dreams while we sleep. The mind is not the
intellect. The intellect is another subtle function of the body
that gives us the ability to discriminate between right and
wrong. We should not confuse it with the mind. The mind
only produces thoughts, but the intellect discriminates
between these thoughts. Even the memory that is
connected to the mind is a different domain. It has a
specific function to memorize and recall.
kwaiyo tofautisha mind, intellect and memory
 
binadamu anahitaji sababu na purpose ya kumfanya aishi.
vinginevyo kuna maana gani ya maisha?
Na hapo ndio imani zilipoanza
Bongo zetu zimekua hardwired na evolution since the beginning ku search pattern na ku find meaning kwenye kila kitu

Bahati mbaya, sio kila kitu kina meaning
Uwepo wetu hapa hauna maana yoyote, we are so insignificant

Huu ni ukweli mchungu, lakini maisha yana meaning,ila sio inherent meaning

Unaweza kutengeneza maana yako ya maisha, kama utakubali kuwa tunaishi mara moja tu
Utaona kuna faida kubwa sana ya kuishi kila sekunde ya maisha yako to the fullest
Kuna vitu vingi vinaweza kuyapa maisha yako meaning, mwanasayansi nguli kama Richard feyman alikua haamini Mungu yet maisha yake yalijaa a lot of meaning
Kwa kiasi chako fanya dunia iwe sehemu nzuri zaidi, ukiondoka watu wakukumbuke hata familia yako tu inatosha

Kama una insist Mungu lazima awepo ili maisha yako yawe na maana, otherwise hakuna maana ya wewe kuwepo

Basi Mungu unayemuamini yupo desperate kuliko wewe

Ushawahi kujiuliza purpose ya maisha ya Mungu?

Purpose ya maisha yake ni nini?
Kutuumba tu na kututazama?

Purpose ya kutuumba na kututazama ni nini?

Kujifurahisa?
Purpose ya kujifurahisa kwake ni ipi?

Au alituumba ili tujue yupo, purpose ya sisi kujua yupo ni nini?

Utaona hata maisha ya Mungu hayana maana kwa logic yako

Maana ya maisha ni kuishi each and every second, kabla hujazaliwa ulikua unateseka?

Kwanini uogope kifo kiasi cha kuona maisha hayana maana kama hakuna afterlife?
 
habari great thinkers.

Uwepo wa mungu ni matokea ya maendeleo ya binadamu katika kuupata ustaarabu.Men create the god in their own imagination.Ndo mana wale miungu ya kale kabla ya hizi dini mpya za kisasa walikuwa na maumbo ya kibinadamu(human look_like) hata sifa walikuwa kama binadmu.
Walikuwa na sifa za kulia, kukasirika,wivu, njaa n.k.

Lakini hizi dini za kileo ni maboresho ya dini za kale so that hata miungu ya dini hizi wamepewa sifa nyingi kidogo kuliko wale wa kale,ikiwemo kutoonekana,ana uwezo wote, yupo kila sehemu n.k.
Nadhani wote tunajuwa kuwa binadamu alikuwa anaishi pamoja na wanyama wengine hapo kale kabla ya kuanza kujitenga na kuanzisha ustaarabu wake,katika kipindi hiki cha maisha binadamu alikuwa hana tofauti na wanyama wengine.Ilimchukau mamilioni ya miaka biandamu kujitofautisha na wanyama wengine na kuanza kustaarabika.Katika kipindi hiki huyu binadamu alianzisha mambo mbalimbali ikiwemo Dini,mungu,sheria,taifa n.k.

There are no gods,no god in the universe,no nation,no money,no justice,no law,no human rights out side the common imagination of human beings.Mara baada ya kuapata ustaarabu binadamu aliweza kuanzisha mambo mengi ikiwe religion institutions,mungu n.k.

View attachment 1941529
Aliyeandika hicho kitabu naye ni mzembe wa kufikiri au hakuitumia akili yake sawasawa. Au Mungu anauza! Hivyo akaamua kupata soko!

Ukichunguza kila kitu kinachofanya kazi kuanzia kwenye mwili wa binadamu mfano jicho tu hutaweka huu uzi.

Socrate, Aristotle, Pilato na wengineo kwenye maneno yao yaliyohifadhiwa walisema kwenye huu ulimwengu creater lazima atakuwepo, na si the big bang bali kilichosababisha the big bang.
 
Kumbukumbu la Torati 30:11-17
Kwa maana maagizo haya nikuagizayo leo, si mazito mno kwako, wala si mbali.
Si mbinguni, hata useme, Ni nani atakayetupandia mbinguni akatuletee, aje atuambie tusikie, tupate kuyafanya?
Wala si ng’ambo ya pili ya bahari, hata useme, Ni nani atakayetuvukia bahari, akatuletee, aje atuambie, tusikie, tupate kuyafanya?
Lakini neno li karibu nawe sana, li katika kinywa chako na moyo wako, upate kulifanya.
Angalia, nimekuwekea leo mbele yako uzima na mema, na mauti na mabaya;
kwa hivi nikuagizavyo leo kumpenda BWANA, Mungu wako, kuenenda katika njia zake, na kushika maagizo yake, na amri zake, na hukumu zake, upate kuwa hai na kuongezeka; BWANA, Mungu wako, apate kukubarikia katika nchi uingiayo kuimiliki.
Lakini moyo wako ukikengeuka, usipotaka kusikiza, lakini ukavutwa kando kwenda kuabudu miungu mingine, na kuitumikia;"

UAMUZI NI WAKO.. CHAGUA MEMA UISHI, au CHAGUA MABAYA UPATWE NA MAUTI.. nadhani sasa umeelewa kwann wengine wanapatwa na mabaa mbalimbali, ABABU ZA HAYA ZIKO NYINGI... Moja ni uchaguzi wako mwenyewe
Moja ya chagamoto kubwa ya vitabu vya dini ni kuji quote vyenyewe kuprove uhalali wake bible inasema ni kitabu cha Mungu kwa sababu ndani ya bible imeandikwa ni kitabu cha Mungu vivo hivo kwa vitabu vingine.
Ni sawa na kusema ni kweli kwasababu umesema nikweli unaweza kusema ni kweli lakini haifanyi hicho ulichosema kuwa ni kweli kama ni uongo hata useme mara ngap bado uongo hauwezi badilika kuw ukweli.
Mwanadamu ni bigwa wa kucreate story.
 
Back
Top Bottom