Nje ya mawazo ya Mwanadamu Mungu hayupo, hajawahi kuwepo, na hatakuwepo

Nje ya mawazo ya Mwanadamu Mungu hayupo, hajawahi kuwepo, na hatakuwepo

Zaburi 14:1
"Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu;
Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo,
Hakuna atendaye mema."

Tafutaa wewe nimeshusha mabomu mazito, shetani na jeshi lake wote wakarudi kwenye mahandaki yao.. mchana huu naona wamejitokeza Tena.

Waambie Mkuu wa kitengo cha intelejensia ya Kiroho Jioni nitaachia makombora mazito kwenye ulimwengu wa roho.
"Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu;

Unajua nikwasababu gani?

Kwenye ishu ya uwepo wa deity moyo ambao una symbolize mihemko sio organ sahihi kuitumia katika kukubali ukweli wa jambo

Kwa hiyo mjinga siku zote atatumia moyo na mwisho wa siku atasema mungu hayupo lakini a wise man decides in his brain that there is no God
 
Soma swali vizuri, hilo swali ulilosema la kitoto ni swali gumu sana

Kimsingi ni hoja nzima, argument from locality
Usijibu tu ilimradi ujibu
Hili ni tatizo la kutokuwa makini na kile ulicho kiukiza. Swali lako nimejibu tena kwa kutoa mfano nabii Isa,swali lako la kitoto na lina baki kuwa la kitoto kwa maana uliegemea kwa mtume Muhammad ukasahau kwamba njia hii imetumika kwa mitume wengine.


Kuna options mbili ambazo Mungu angetumia kuleta uislamu duniani (au dini yoyote ile)
Mola hapangiwi jambo bali anafanya kile ambacho ni bora.

Nilikwambia huko awali ya kuwa si kweli Uislamu umetangaa kwa jihadi pekee,jihadi ni ibada kama ibada nyingine,jihadi ni ibada ambayo imekuja baadae.
1.Atoe manabii kwenye kila jamii ya watu (Asia, Ulaya, Afrika etc), wote wakihubiri ujumbe usio pingana kuhusu uislamu kwa wakati mmoja

Allah anasema katika Qur'aan ya kuwa.

36. Na kwa hakika kwa kila umma tuliutumia Mtume kwamba: Muabuduni Mwenyezi Mungu, na muepukeni Shetani. Basi kati yao wapo alio waongoa MwenyeziMungu. Na kati yao wapo ambao ulio wathibitikia upotovu. Basi tembeeni katika ardhi, muangalie ulikuwaje mwisho wa wanao kanusha. (an-Nahl :36)

Katika kila umma aliwatuma manabii maana yake hata huku kwetu walitumwa manabii japokuwa hawajatajwa kwa majina. Lakini manabii na mitume wote walikuwa dini moja.
2.Aanzishe eneo moja na kwa jamii moja, kisha isambae kadri miaka inavyozidi kwenda
Mola hapangiwi ndiyo maana kila kitu kimewekwa wazi,leo katika dini yetu kuna hukumu ya mtu ambaye aliishi hapa duniani lakini hakufikiwa na ujumbe,ili ujue ya kuwa hakuna mwanya wa kutokea katika ujumbe na Mola wetu anafanya kilicho kuwa bora.
Kwa mtu mwenye busara ni rahisi kuona njia ya kwanza ndiyo option sahihi
Hapa tunaangalia elimu na uhalisia,hizo busara nafasi sababu njia zote zimefanyiwa kazi.
Kwa Mungu mwenye ujuzi wote ange prefer zaidi option ya kwanza kuliko ya pili

Sababu, kwa option ya kwanza kungekua na dini moja tu kuu
Naoma unarudia kitu ambacho kilishafanyiwa kazi na kipo.
Kusingekua na confusion kuwa kati ya mshia au msuni yupi sahihi
Mjinga asiye soma ndiyo ataona kuna "comfusion" kati ya shia na suni,mashia wako mbali ma uislamu kwa sababu hawaufati.

Kila kitu kipo wazi,mtume wetu anasema ametuacha katika hali ambayo mchana wake ni sawa na usiku wake,hatopotea humo ila mwenye kutaka apotee. Kwahiyo hizi zako zinabaki kuwa stori tu.
Na ingewafikia watu kwa wakati. Mmoja
Hii si hoja,ndiyo maana hata wale ambao hawakufikiwa na ujumbe wana hukumu yao,bali mpaka watoto walio kufa kabla ya kunalehe wana hukumu yao. Ili ujue ya kuwa akili yako ni ndogo sana kufikiria mambo haya kwa kudhani tu walio angaliwa hapa ni watu fulani tu.
Njia ya pili ina disadvantages nyingi
Mfano watu walio zaliwa kabla ya uislamu, bila hata kuusikia watahukumiwa kwa vifungu vipi?
Kwanza kabisa Uislamu haujawahi kutokuwepo katika uso wa ardhi hii. Nakupa mfano watazame Wanafalsafa wa kale wa magharibi,hawa waliishi kipindi ambacho hapakuwa na mtume lakini mafundisho ya mitume walio pita yalikuwepo na kuna watu walikuwa wanayatumia mafundisho hayo.

Tukirudi kwa watu ambao wameishi mpaka wanakufa hawakufikiwa na ujumbe watu ambao mpaka leo hii wapo,hawa hukumu yao ipo,watapewq mtihani siku ya malipo watakao faulu watalipwa pepo na watakao feli watalipwa moto.
 
From the wisdom
1 Mambo ya Nyakati 22:12
"BWANA na akupe busara na akili, akakuagizie juu ya Israeli; ili uishike torati ya BWANA, Mungu wako."

Huwezi Kumtafuta Mungu kwa BUSARA na AKILI peke yake, LAZIMA UWE NA IMANI.

Busara na Akili vyatoka kwa Bwana, Ili uvitumie vitu hivi katika Kumtafuta Mungu ni lazima vitimilizwe/vikamilishwe na IMANI.
 
1 Mambo ya Nyakati 22:12
"BWANA na akupe busara na akili, akakuagizie juu ya Israeli; ili uishike torati ya BWANA, Mungu wako."

Huwezi Kumtafuta Mungu kwa BUSARA na AKILI peke yake, LAZIMA UWE NA IMANI.

Busara na Akili vyatoka kwa Bwana, Ili uvitumie vitu hivi katika Kumtafuta Mungu ni lazima vitimilizwe/vikamilishwe na IMANI.
Nilishakuwepo huko kitambo
 
There is the infirnity power that run the universe. And this power is older than the concept of God.
 
Google zitawaribu sana vijana.Mkishashiba ugari Maharage mnaanza kujiona mpo above kila kitu hata MUNGU aliyewaumba mnaanza kumkufuru,hivi wewe mtoa uzi ungekuwa umelazwa hospitali au shida zimekuzingira ungeweza kufikiria na kuandika huu Uchuro??. Acheni MUNGU aitwe MUNGU Jamani.Kuna waliokuwa na Akili na maarifa lkn kuhusu Hbr za MUNGU walinyoosha mikono wakikiri ukuu wake, halafu wewe hata kugundua angalau hata Kibiashara chako Cha maana hujaweza lkn kwasababu ya shibe unakuja kujishebedua hapa.Sasa ukitaka kujua uwepo wa Mungu ktk maisha Yako,pata shida kubwa inayozidi upeo wako wa kufikiri ndipo utaelewa.
 
Google zitawaribu sana vijana.Mkishashiba ugari Maharage mnaanza kujiona mpo above kila kitu hata MUNGU aliyewaumba mnaanza kumkufuru,hivi wewe mtoa uzi ungekuwa umelazwa hospitali au shida zimekuzingira ungeweza kufikiria na kuandika huu Uchuro??. Acheni MUNGU aitwe MUNGU Jamani.Kuna waliokuwa na Akili na maarifa lkn kuhusu Hbr za MUNGU walinyoosha mikono wakikiri ukuu wake, halafu wewe hata kugundua angalau hata Kibiashara chako Cha maana hujaweza lkn kwasababu ya shibe unakuja kujishebedua hapa.Sasa ukitaka kujua uwepo wa Mungu ktk maisha Yako,pata shida kubwa inayozidi upeo wako wa kufikiri ndipo utaelewa.
Mkuu umeisema kiufundi sana lakini ni kama umewatisha sana and just a reminder, this won't make them believe existence of God

Nachojua wachangiaji wengi wanatambua uwepo wa Mungu na kama si hivyo basi nadhani hatuwezi kuwafanya wamuone Mungu kwa kuwatisha.Hapana,we need to prove the existence of our creator and this is our task and trust me this can't be done in a single day.Otherwise, thank you!
 
There's time najiuliza before ya Mungu alikuwepo nani, au Nin chanzo cha Mungu. Dah kuna mambo tutayajua siku tukija kufa tu
hpa tu panatosha sana kufahamu kama mungu yupo! hii akili naamini aliiacha kwenye vichwa vyetu kwa maana kabisa
 
Ukinijibu haya maswali vizuri na nikakuelewa basii nitaamini Mungu hayupo kweli..

1)Kwanini binadamu anakufa?

2)Ni nini kinamfanya binadamu afe?

3)Binadamu akifa anaenda wapi?

4)Kwann binadamu awezi ishi milele?
Maswali yako yanakosa msingi. Kwa mfano hayafafaunui Binadamu ni nini?

Aidha, ni kitu gani kingine hapa duniania ambacho hakifi ?
 
Google zitawaribu sana vijana.Mkishashiba ugari Maharage mnaanza kujiona mpo above kila kitu hata MUNGU aliyewaumba mnaanza kumkufuru,hivi wewe mtoa uzi ungekuwa umelazwa hospitali au shida zimekuzingira ungeweza kufikiria na kuandika huu Uchuro??. Acheni MUNGU aitwe MUNGU Jamani.Kuna waliokuwa na Akili na maarifa lkn kuhusu Hbr za MUNGU walinyoosha mikono wakikiri ukuu wake, halafu wewe hata kugundua angalau hata Kibiashara chako Cha maana hujaweza lkn kwasababu ya shibe unakuja kujishebedua hapa.Sasa ukitaka kujua uwepo wa Mungu ktk maisha Yako,pata shida kubwa inayozidi upeo wako wa kufikiri ndipo utaelewa.
Je uliwahi kumuona?
 
Mkuu umeisema kiufundi sana lakini ni kama umewatisha sana and just a reminder, this won't make them believe existence of God

Nachojua wachangiaji wengi wanatambua uwepo wa Mungu na kama si hivyo basi nadhani hatuwezi kuwafanya wamuone Mungu kwa kuwatisha.Hapana,we need to prove the existence of our creator and this is our task and trust me this can't be done in a single day.Otherwise, thank you!
Mkuu,mimi simtishi mtu lkn najaribu kueleza uhalisia wenyewe ulivyo kuhusu mambo yahusuyo MUNGU.Inahitaji unyenyekevu ili kumuelewa MUNGU, huwezi kumuelewa MUNGU kwa kutumia akili za kibinadamu km unavyoelewa Hesabu na fizikia au kemia au history,nk.
 
Mkuu,mimi simtishi mtu lkn najaribu kueleza uhalisia wenyewe ulivyo kuhusu mambo yahusuyo MUNGU.Inahitaji unyenyekevu ili kumuelewa MUNGU, huwezi kumuelewa MUNGU kwa kutumia akili za kibinadamu km unavyoelewa Hesabu na fizikia au kemia au history,nk.
Nimekupata vizuri mkuu! nadhani kuongezea, kuna ujumbe hapa unaweza ukaongeza kitu pale utapohitaji kurudi hapa kutoa maelezo ya ziada kwa wale wasioamini uwepo wa Mungu

Ujumbe ni huu hapa chini mkuu

Screenshot_20210920-151417-1.jpg
 
Back
Top Bottom