Nje ya mawazo ya Mwanadamu Mungu hayupo, hajawahi kuwepo, na hatakuwepo

Nje ya mawazo ya Mwanadamu Mungu hayupo, hajawahi kuwepo, na hatakuwepo

Pili kusingekua na madhehebu mengi katika dini moja kwa sababu wote tungehubiriwa kuhusu habari moja tena katika lugha tunayoifahamu
Una hoja za kitoto sana. Mola wetu alivyo tuumba akatupa na hali wezekano,ndiyo maana leo hii utakuta muafrika anamfunisha muarabu lugha ya kiarabu,hii ni kutokana na juhudi na kujifunza. Mbona hulalami ya kuwa kwanini hukuzaliwa unajua kusoma na kuandika ? Kuna vitu unaandika mpaka mtu anapata uvivu wa kukujibu,yaani unaandika ujinga ulio pea mno.

Kutokujua jambo fulani kuna sababu nyingi ila siyo kwamba ukitaka kulijua hutalijua.

Jaribu kuandika hoja za maana kijana ili unishawishi nikujibu,ila hoja zako hata mtoto wangu hawezi kujenga hoja za kijinga namna hii.
 
Tatu, kwa kuwa ingewafikia watu wote kwa pamoja, ingewapa watu wa zama zote fursa moja ya kusikia habari ya ukombozi
Hii siyo kweli sababu muangalie nabii Isa wangapi walimkubali na wangapi walimkataa ?

Kiwafikia wote kwa pamoja siyo lazima ndiyo maana katika dini yetu ikawekwa hukumu kwa wale ambao hawakufikiwa na ujumbe.

Lakini Allah angetaka iwe hivyo angefanya tu kwake hili ni sahali sana,ni kuwa na linakuwa jambo.
 
Mungu muweza wa yote asingeshindwa kuleta dini yake kutumia hii njia, kwa sababu ina faida nyingi bila hasara
Sahihi kabisa na ndiyo maana ameamua iwe hivi na kuweka sheria na hali wezekano ya sisi kufanya au kutofanya.

Hoja yako si sahihi sababu wapo watu wana viburi na hawataki haki.
 
Nakuuliza kwanini Allah ameshindwa kutumia hii njia na badala yake akachagua jamii moja tu ya binadamu bila sababu yoyote ile (Racism) na kuanzisha dini yake pale?
Allah hajashindwa na chochote na angeamua kutuumba sisi sote tuna muamini angeweza ila hajaamua kufanya hivyo.
 
Allah hajashindwa na chochote na angeamua kutuumba sisi sote tuna muamini angeweza ila hajaamua kufanya hivyo.
Mkuu natamani kujua hao wanaopinga uwepo wa Mungu wanapata maslahi gani lengo lao kuu nini?

Hivi hawajajificha kwa ibilisi kweli?
 
Mkuu natamani kujua hao wanaopinga uwepo wa Mungu wanapata maslahi gani lengo lao kuu nini?

Hivi hawajajificha kwa ibilisi kweli?

Kuna tofauti kubwa kati ya wanaopinga na tunaohoji! ukichunguza vizuri wengi humu ambao hawaamini katika mungu, wengi wao wanahoji uwepo, hakuna mtu aliekataa kuamini yupo, ila hatuwezi kuamini kibubusa bubusa tu!
maana kwanza mungu anaezungumziwa hapa si mmoja, ndo maana hata kila dini yenye mungu wake inamuona mwenzie amepotea, yote haya ni kwasababu ya Loophole ya kutothibitishika uwepo wa mungu!
unauliza kua wamejificha kwa ibilisi!? bado si kweli hawajajificha kwa ibilisi maana pia hayupo!

naweza kukuuliza wewe mpaka sasa umeshajifunza kuhusu miungu(mungu) wangapi!? na ni yupi/wapi!
 
Allah hajashindwa na chochote na angeamua kutuumba sisi sote tuna muamini angeweza ila hajaamua kufanya hivyo.
Sheikh
Hakuna unachokijua
Hujui kujenga hoja
Hujui pia kusoma hoja za wengine

Unajaza huu uzi kwa comments zisizo na mantiki yoyote...

Nimekuuliza swali moja, na nakuuliza tena

Kwanini Allah hakuteua mitume kwenye kila jamii ya watu duniani na kwa wakati mmoja?

Mtu akisoma tu hoja zako anagundua una shida kubwa sana ya kujielezea

Nauuliza tena kati ya kuanzisha uislam kwenye kila jamii ya watu na kwa wakati mmoja na kuanzisha uislam kwa kuchagua jamii moja tu ya watu fulani tena ndani ya kipindi fulani baada ya dini nyingine kuibuka ipi ni njia sahihi?

Ku argue na wewe ni kupoteza mda
 
Mkuu natamani kujua hao wanaopinga uwepo wa Mungu wanapata maslahi gani lengo lao kuu nini?

Hivi hawajajificha kwa ibilisi kweli?
Mungu ni nini?
Toa tafsiri yako ya neno Mungu?
Mbona concept ni simple tu

Define Mungu ni nini?
Lete hoja inayolenga kuthibitisha Mungu yupo

Then sisi pia tutatoa hoja za kuipinga (counter arguments)

Na wewe utatoa hoja za kupinga counter arguments zetu au uka modify hoja zako

Hivi ndivyo watu wenye busara hukosoana na kujengana kifikra

Sio comment za mtoto wa chekechea kama yako

Hivi unashindwa kujenga hoja ya namna hii
(Assume ningekua naamini Mungu)

1.Natoa tafsiri ya kipi ninaenda kuthibitisha
Mungu ni mmoja, yule mwenye nguvu kuliko chochote tunachoweza fikiria

Mwenye upendo kuliko chochote tunachoweza fikiria

Na mwenye maarifa yasio na mipaka kuliko chochote tunachoweza fikiria

Kisha, Naamini Mungu yupo (rejea tafsiri yake hapo juu)
Kwa hoja ifatayo

1.Ndege ya abiria ina mbawa zilizo chongoka kwa ustadi mkubwa ili kuruhusu hewa ipite kwa kasi zaidi juu ya mbawa kuliko chini ya mbawa
Tofauti hii ya speed ya hewa, inatengeneza mgandamizo (pressure) unao sukuma ndege kwenda juu

Mbawa za ndege ni dhahiri zilitengenezwa kwa lengo hili, na wahandisi

Kwa sababu kama zisingekua katika umbo hilo, ndege isinge paa

Na ni ajabu, tukisema upepo ulivuma na kukusanya vipande vya aluminum na steel na kwa bahati mbaya tu bila utashi wowote ukaunda mbawa za ndege na kuziweka panapo stahili

2.Kunguru,ana mbawa zinazofanya kazi namna hio hio
Kwa kua tumeona kwenye premise ya kwanza kuwa haiwezekani kwa mbawa za namna hii kutokea tu kwa bahati mbaya basi mbawa za kunguru kama tulivyoona kwa mbawa za ndege ya abiria

Ziliundwa kwa kusudi hilo,

3.Kwa kuwa hakuna muhandisi wa kibinadamu aliyeunda mbawa za kunguru (kunguru tumemkuta akiwa hivyo)

Basi yupo aliye nyuma ya huu ubunifu, huyo ni Mungu

4.Hivyo Mungu yupo

Huu ni mfano wa hoja iliyotolewa na mtu mwenye busara anayejua anachokiamini

Sio nyie, hamjui hata kujenga hoja

Mna hoja za kitoto mno

Ukijenga hoja ya mfano huo hapo juu ambayo ni logically sound

Utatupa sisi mtihani wa kuonyesha madhaifu katika premise moja wapo

Otherwise hatuna budi kukubali hitimisho lako kuwa Mungu yupo

Kwa sababu tumeshindwa kataa hata premise moja, so logically lazima tukubali conclusion

Ume WIN argument

Badala yake mna kuja na hoja za kitoto

Hiyo hoja niliyotumia kama mfano, ni variation yangu ya Teleological Arguments

Moja kati ya hoja dhaifu zaidi kwenye Philosiphy of religion

Nawashauri someni Philosophy of religion
Jifunzeni kutetea mnachokiamini kwa hoja
 
Mungu ni nini?
Toa tafsiri yako ya neno Mungu?
Mbona concept ni simple tu

Define Mungu ni nini?
Lete hoja inayolenga kuthibitisha Mungu yupo

Then sisi pia tutatoa hoja za kuipinga (counter arguments)

Na wewe utatoa hoja za kupinga counter arguments zetu au uka modify hoja zako

Hivi ndivyo watu wenye busara hukosoana na kujengana kifikra

Sio comment za mtoto wa chekechea kama yako

Hivi unashindwa kujenga hoja ya namna hii
(Assume ningekua naamini Mungu)

1.Natoa tafsiri ya kipi ninaenda kuthibitisha
Mungu ni mmoja, yule mwenye nguvu kuliko chochote tunachoweza fikiria

Mwenye upendo kuliko chochote tunachoweza fikiria

Na mwenye maarifa yasio na mipaka kuliko chochote tunachoweza fikiria

Kisha, Naamini Mungu yupo (rejea tafsiri yake hapo juu)
Kwa hoja ifatayo

1.Ndege ya abiria ina mbawa zilizo chongoka kwa ustadi mkubwa ili kuruhusu hewa ipite kwa kasi zaidi juu ya mbawa kuliko chini ya mbawa
Tofauti hii ya speed ya hewa, inatengeneza mgandamizo (pressure) unao sukuma ndege kwenda juu

Mbawa za ndege ni dhahiri zilitengenezwa kwa lengo hili, na wahandisi

Kwa sababu kama zisingekua katika umbo hilo, ndege isinge paa

Na ni ajabu, tukisema upepo ulivuma na kukusanya vipande vya aluminum na steel na kwa bahati mbaya tu bila utashi wowote ukaunda mbawa za ndege na kuziweka panapo stahili

2.Kunguru,ana mbawa zinazofanya kazi namna hio hio
Kwa kua tumeona kwenye premise ya kwanza kuwa haiwezekani kwa mbawa za namna hii kutokea tu kwa bahati mbaya basi mbawa za kunguru kama tulivyoona kwa mbawa za ndege ya abiria

Ziliundwa kwa kusudi hilo,

3.Kwa kuwa hakuna muhandisi wa kibinadamu aliyeunda mbawa za kunguru (kunguru tumemkuta akiwa hivyo)

Basi yupo aliye nyuma ya huu ubunifu, huyo ni Mungu

4.Hivyo Mungu yupo

Huu ni mfano wa hoja iliyotolewa na mtu mwenye busara anayejua anachokiamini

Sio nyie, hamjui hata kujenga hoja

Mna hoja za kitoto mno

Ukijenga hoja ya mfano huo hapo juu ambayo ni logically sound

Utatupa sisi mtihani wa kuonyesha madhaifu katika premise moja wapo

Otherwise hatuna budi kukubali hitimisho lako kuwa Mungu yupo

Kwa sababu tumeshindwa kataa hata premise moja, so logically lazima tukubali conclusion

Ume WIN argument

Badala yake mna kuja na hoja za kitoto

Hiyo hoja niliyotumia kama mfano, ni variation yangu ya Teleological Arguments

Moja kati ya hoja dhaifu zaidi kwenye Philosiphy of religion

Nawashauri someni Philosophy of religion
Jifunzeni kutetea mnachokiamini kwa hoja
Nachoka hapo tu mbona mnjitahidi sana kujielezea mnataka kupata nini?

Sasa mimi nikikujibu Mungu ni yule anaefanya watu tuna lala na kupoteza faham halafu tuna amka na faham zinarudi.

Iblis
 
Kuna tofauti kubwa kati ya wanaopinga na tunaohoji! ukichunguza vizuri wengi humu ambao hawaamini katika mungu, wengi wao wanahoji uwepo, hakuna mtu aliekataa kuamini yupo, ila hatuwezi kuamini kibubusa bubusa tu!
maana kwanza mungu anaezungumziwa hapa si mmoja, ndo maana hata kila dini yenye mungu wake inamuona mwenzie amepotea, yote haya ni kwasababu ya Loophole ya kutothibitishika uwepo wa mungu!
unauliza kua wamejificha kwa ibilisi!? bado si kweli hawajajificha kwa ibilisi maana pia hayupo!

naweza kukuuliza wewe mpaka sasa umeshajifunza kuhusu miungu(mungu) wangapi!? na ni yupi/wapi!
Hampingi ila mnahoji mana hamtaki kuamini kibubusa.
Halizimishwi mtu kuamini nnachoshangaa hua mjieleza sanaaa niwazi mnafundisha watu wa amini mnavyo amini ndo najiuliza mnalipwa nani kupoteza muda wenu kutoa elimu hiyo?

Kwa nini nisijiaminishe kua mnafanya kazi ya ibilisi bila kujijua?
 
Nachoka hapo tu mbona mnjitahidi sana kujielezea mnataka kupata nini?

Sasa mimi nikikujibu Mungu ni yule anaefanya watu tuna lala na kupoteza faham halafu tuna amka na faham zinarudi.

Iblis
Haitoshi.
Ume define vizuri
Kwako Mungu ni yule anayetufanya tupoteze fahamu usiku kisha anazirejesha zikirudi

Jenga hoja sasa, kwa mfano kwanini tukubalieni na hitimisho lako (kuwa Mungu kwa tafsiri uliyotoa yupo)

Kabla hujajenga hoja, at least get your facts straight

Hatupotezi fahamu usingizini, to the contrary
Bongo zetu zinakua active zaidi usingizini kuliko tukiwa macho

Mchana kutwa ubongo wako haupati mda mzuri wa kuchakata taarifa, isipokua usiku
Ndiyo maana tunaota

So ni uongo kuwa tunapoteza fahamu usingizi
Mkuu, hatuzimii usiku, tunalala.

Rekebisha tafsiri yako ya neno Mungu tuendelee
Au rise hoja inayopinga nilichosema hapo juu

Karibu....
Halafu kama bado hujui tunachotaka, tunaka ku prove imani yako wrong
 
Hampingi ila mnahoji mana hamtaki kuamini kibubusa.
Halizimishwi mtu kuamini nnachoshangaa hua mjieleza sanaaa niwazi mnafundisha watu wa amini mnavyo amini ndo najiuliza mnalipwa nani kupoteza muda wenu kutoa elimu hiyo?

Kwa nini nisijiaminishe kua mnafanya kazi ya ibilisi bila kujijua?
Hakuna anayefanya kazi ya ibilisi kwa sababu huyo ibilisi mwenyewe hayupo
Ni dhana tu.

Pia kama unafikiri kila kitu cha manufaa kinafanywa na watu wanaolipwa

Waliotengeneza Internet, waliitoa bure kwa dunia

The same tunachofanya hapa, tuna challenge imani zilizokosa foundation

Viongozi wote wa chama cha kikoministi cha China ni Strict Atheists

Hawaamini Mungu, na wana enforce atheism mpaka mashuleni

Now China ni taifa la pili kwa nguvu na uchumi Duniani
Halafu yale mataifa yenye wafia dini kila kona, ndiyo yanayoburuza mkia kwenye kila kitu?

Ushajiuliza why?
China wame embrace sayansi na uchapakazi

Na Hakuna Mungu aliye walaani kwa kumkana, kwa sababu hayupo
 
Hii siyo kweli sababu muangalie nabii Isa wangapi walimkubali na wangapi walimkataa ?

Kiwafikia wote kwa pamoja siyo lazima ndiyo maana katika dini yetu ikawekwa hukumu kwa wale ambao hawakufikiwa na ujumbe.

Lakini Allah angetaka iwe hivyo angefanya tu kwake hili ni sahali sana,ni kuwa na linakuwa jambo.
Thibitisha allah yupo
 
Hiyo mistari 2 mwisho naumiza sana kicwa wanalipwa na nani mana wanaoamini wanategemea malipo sasa kwa nini wanawapinga?
wanajifanya hawa amini shetani huku wanamfanyia kazi yake tena kwa nguvu
Wakina nani hao wanamfanyia kazi shetani?
 
Back
Top Bottom