Nje ya Tanzania hakuna anayejua matokeo ya Simba vs Yanga

Unamjaza mwenzio upepo. Amefungua link kwenye post ya kwanza akaangalia niliileta lini mada ya kuhoji hadi aseme "Baada ya kufungwa tano ndio unataka kufahamu ubora wa NBC imeingia vipi"?
Umeamua kayakana maneno yako sio? Wewe na wanazi wenzako humu jf kila siku mlikuwa mnaongelea ilo jambo, baada ya kupigwa 5 mnaanza kukana.
Na bado kila neno mtaongea mwaka huu
 
Nawe jibu swali kwa nini Infantino aulize "how much" tena baada ya kutoka kuuliza "how many" akabadili swali? Msomali wenu alishindwa kujiongeza.

Mwambieni Rais wenu aache kuzunguka kusambaza umbea kama Mwajuma Ndala Ndefu
Baada ya kutamka how much yalifuatiwa na maneno gani?
 
Hajui kiingereza vzr yule kama Robertinho baada ya kusema how mucha baadaye alijirekebisha akasema How many ?
 

Kama matokeo wewe uliyapata inatosha
 
Alafu wydad wapo na zarau Sana yani awashangilii medali ya mshindi wa pili wakati pale Angola jamaa walishangilia mwanzo mwisho na kuweka vikund na kupiga picha khaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…