Njia 10 za Uchumba Salama

Nimeharibu kivipi mkuu?
Unawezaje kutekeleza yote hayo bila kupata ile kitu? Usisikie kuna wanaume makatili sababu huwa ni hizi, imagine wewe ni mwanaume na umetekeleza hayo yote ikiwemo namba kumi na mwisho wa siku anaenda kwa mwingine utakua katika hali gani? Nisijiwekee matumaini ya kumuoa,asiwe na mpango wa kuzaa na mimi n.k lakini bado tusiwe na usiri,amekua mama yangu mzazi au? Huo muda nitakaopoteza kwake si ni bora ningeutumia kutafuta pesa za ziada...mwisho wa siku atakutangaza shoga huyu
 

Namba kumi uongo

Ngono imekuwa nyepesi kupatikana kuliko pesa
 
Akutangaze shoga!!
Atakuwa ameyumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…