Habari!
Natumaini wote ni wazima na namshukuru Mungu juu ya kila mmoja wetu. Natamani kushare nanyi mambo haya machache muhimu katika Uchumba:
1. Usiweke agano na mchumba.
Kuna Watu huwa wanajiapiza eti nisipokuoa/nisipoolewa na wewe bora nife kuliko kuoa/kuolewa.
Maagano ya namna hii yamewagharimu wengi.
Maandiko yanatambua agano la ndoa na si la uchumba.Acha mpango wa Mungu usimame kwenye uchumba wenu.
2. Usizae na mchumba ili akuoe.
Hii huwakumba Sana wadada.Wengi huingia kwenye huu mtego kwa kudanganywa na kuambiwa nizalie kwanza mtoto ndipo nikuoe.
Pia, kuna wadada hujitegesha. Kuna wadada hujitegesha wenyewe wapate mimba wakidhani watapendwa zaidi.
Wengi wamezalishwa na kutelekezwa.
3.Usioe/kuolewa na mtu asiyemcha Mungu.
Moyo wa mtu asiyemcha Mungu hauna hofu ya kitu chochote ndani yake.kufanya Jambo lolote kwako siyo tatizo kwake maana moyoni mwake hakuna hukumu.
4. Usikubali kuoa/kuolewa na mtu aliyekuwa kwenye ndoa tayari na ndoa ile ikavunjika na wewe ukataka kuingia naye kwenye ndoa bila kujua sababu za ndoa yake ya mwanzo kuvunjika.
Ni vema ukajua sababu kupitia kutafuta taarifa kwa watu wengine na si kwake maana atakudanganya.
5. Uchumba usiwe Siri.
Unaweza kujikuta unaoa/unaolewa na mume au mke wa mtu bila kujua.
6. Usioe au kuolewa na mtu kwa sababu unamhurumia.
Ni kweli kaonyesha upendo,Ni kweli anakujali lakini je!huyo mtu yumo moyoni mwako?unampenda? Au unajilazimisha kwa sababu ya zawadi anazokupa.
Ndoa nzuri ni ile ya watu wawili wanapendana na si ya upande mmoja.
7. Msichukuane kienyeji.
Ndoa Ina taratibu zake na taratibu hizo Zina baraka zake. Usijiweke kwenye mazingira ya kuibiwa usiku.
8. Acha kujiaminisha Sana kwamba utamuoa au utaolewa naye.
Kumbuka uchumba siyo ndoa.Lolote linaweza kutokea Kama siyo upande wako basi upande wake. Ruhusu mpango wa Mungu utimie na si utashi wako.
9. Epuka kumhonga mchumba vitu vya thamani kubwa, kumsomesha nk.
Usiwekeze Sana kwa mchumba. Lakini Kama unadhani uchumba ujivunjika hutaumia mpe,ila Kama unaona uchumba ukivunjika utaumia usimpe.
Simaanishi wachumba wasisaidiane,Kuna viwango vya kusaidiana wachumba. Mengine hayo ukitaka kuyafanya weka ndani.
10. Usizini.
Tendo la ndoa ni kwa wanandoa na ndiyo maana linaitwa tendo la ndoa na si tendo la uchumba. Ukiona mchumba anataka tendo Hili kwa Kasi kubwa huku akikwambia siwezi kuuziwa mbuzi kwenye gunia jua huyo hana mpango wa ndoa.
Niwatakie siku njema
Hamna bro
Dhambi zote Ni sawa na zote zinasameheka.
Wote Wana Haki ya kujitunza iwe usichana upo au haupo.
Kutokuwa na usichana haimpi mtu guarantee ya kuendelea kufanya dhambi.
Mungu anasamehe na anamfanya mtu kuwa mpya..
Kwahiyo mkuu unaamini kama kuna dhambi kubwa na ndogo?Kovu la kuungua kwa moto na kovu la kukatwa na chupa hayawezi kuwa sawa. Ila yote ni makovu. Kusamehewa kupo na maisha kuanza upya..ila zile roho za kukosea sio kwamba zinakufa au zinapotea, bado zinakuwa zinazunguka na wewe sema ni ile sala na imani zinazifukuzia mbali. Unapolega ile roho ya kukosea inakuvaa upya tena kwa nguvu zaidi ya mwanzo. Hivyo kubana miguu kwa mtu ambae ameshaonja ni utata. Kumbuka tunaishi na kuendeshwa na miili kwa kiasi kikuibwa kuliko roho.
Kuna changamoto kubwa sana wanapitia wasichana kwa hali hiyo ya kusema hapana kwa number 10 na mwisho wao huwa hauwi mzuri hata kidogo.
Mjadala mzuri, ila naomba niishie hapa tafadhali. Nitapenda niwe msomaji zaidi niendelee kujifunza.
Kama watafanya basi wafanye ila ni kinyume na misingi tuliyowekewa.Namba 10 ni UTATA kwa dunia ya leo. ME na KE wanataka kujua compatibility kwenye idara hiyo kwa sababu mbali mbali. Hivyo inaweza kuwa sababu ya “uchumba” kuvunjika.
Amin...Mwenyezi Mungu atusamehe kwa kweli,hasa hii namba kumi..
Hofu ya Mungu inachukua sehemu kubwa sana ya hzo zote.
Ndoa ndoano.
Kama watafanya basi wafanye ila ni kinyume na misingi tuliyowekewa.
Na hii imeleta matatizo mengi Sana kwenye jamii zetu.
Kwahiyo mkuu unaamini kama kuna dhambi kubwa na ndogo?
Kwanini mtu ajihukumu na wakati Mungu anasamehe na kusahau?
Kwahiyo unataka waendelee kufanya kwa sababu walishawahi kufanya mwanzo?
Hawana haki ya kukataa kwa sababu mwanzo walishafanya?
Nini maana ya msamaha??
Tunaishi katika mwili lakini tunaenenda kwa jinsi ya roho ndiyo maana Neno linasema enendeni kwa mwili wala hamtatimiza tamaa za mwili.
YeahNi kweli kabisa kuna prons and cons na mwingine anamwambia bidada bila kupata ujauzito hakuna ndoa, mrembo anakubali na akishika mimba njemba inaingia mitini.
Naomba kadi ya mwaliko
👏👏Habari!
Natumaini wote ni wazima na namshukuru Mungu juu ya kila mmoja wetu. Natamani kushare nanyi mambo haya machache muhimu katika Uchumba:
1. Usiweke agano na mchumba.
Kuna Watu huwa wanajiapiza eti nisipokuoa/nisipoolewa na wewe bora nife kuliko kuoa/kuolewa.
Maagano ya namna hii yamewagharimu wengi.
Maandiko yanatambua agano la ndoa na si la uchumba.Acha mpango wa Mungu usimame kwenye uchumba wenu.
2. Usizae na mchumba ili akuoe.
Hii huwakumba Sana wadada.Wengi huingia kwenye huu mtego kwa kudanganywa na kuambiwa nizalie kwanza mtoto ndipo nikuoe.
Pia, kuna wadada hujitegesha. Kuna wadada hujitegesha wenyewe wapate mimba wakidhani watapendwa zaidi.
Wengi wamezalishwa na kutelekezwa.
3.Usioe/kuolewa na mtu asiyemcha Mungu.
Moyo wa mtu asiyemcha Mungu hauna hofu ya kitu chochote ndani yake.kufanya Jambo lolote kwako siyo tatizo kwake maana moyoni mwake hakuna hukumu.
4. Usikubali kuoa/kuolewa na mtu aliyekuwa kwenye ndoa tayari na ndoa ile ikavunjika na wewe ukataka kuingia naye kwenye ndoa bila kujua sababu za ndoa yake ya mwanzo kuvunjika.
Ni vema ukajua sababu kupitia kutafuta taarifa kwa watu wengine na si kwake maana atakudanganya.
5. Uchumba usiwe Siri.
Unaweza kujikuta unaoa/unaolewa na mume au mke wa mtu bila kujua.
6. Usioe au kuolewa na mtu kwa sababu unamhurumia.
Ni kweli kaonyesha upendo,Ni kweli anakujali lakini je!huyo mtu yumo moyoni mwako?unampenda? Au unajilazimisha kwa sababu ya zawadi anazokupa.
Ndoa nzuri ni ile ya watu wawili wanapendana na si ya upande mmoja.
7. Msichukuane kienyeji.
Ndoa Ina taratibu zake na taratibu hizo Zina baraka zake. Usijiweke kwenye mazingira ya kuibiwa usiku.
8. Acha kujiaminisha Sana kwamba utamuoa au utaolewa naye.
Kumbuka uchumba siyo ndoa.Lolote linaweza kutokea Kama siyo upande wako basi upande wake. Ruhusu mpango wa Mungu utimie na si utashi wako.
9. Epuka kumhonga mchumba vitu vya thamani kubwa, kumsomesha nk.
Usiwekeze Sana kwa mchumba. Lakini Kama unadhani uchumba ujivunjika hutaumia mpe,ila Kama unaona uchumba ukivunjika utaumia usimpe.
Simaanishi wachumba wasisaidiane,Kuna viwango vya kusaidiana wachumba. Mengine hayo ukitaka kuyafanya weka ndani.
10. Usizini.
Tendo la ndoa ni kwa wanandoa na ndiyo maana linaitwa tendo la ndoa na si tendo la uchumba. Ukiona mchumba anataka tendo Hili kwa Kasi kubwa huku akikwambia siwezi kuuziwa mbuzi kwenye gunia jua huyo hana mpango wa ndoa.
Niwatakie siku njema
Kwahiyo wakubali kurudi dhambini kwa kuogopa roho ya malipizi??Mkuu, msamaha unapatikana kwa yoyote atakae kiri na kukubali kosa bila kuangalia ukubwa au udogo wa dhambi, ila hiyo haimaanishi kwamba dhambi zote ni sawa. Nguvu ya msamaha ndio haichagui/haibagui dhambi. Tumeumbwa katika udhaifu wa mwili ila roho ndio inatuongoza.
Maisha yetu yanatulazimisha kuishi katika hali ya mwili zaidi kuliko roho. Ni ngumu kujitenga na vifungo na zile roho za malipizi hasa baada ya kuupokea msamaha. Roho za kukuangusha zitaendelea kukufata ili urudi katika uharibifu. Sasa msichana/mwanaume kuanza kuingia kwenye mahusiano ya uchumba huku unalikwepa tendo ni swala ambalo haliwezekani kibinadamu. Ni sawa na kuukaribia moto huku ukijipa imani huwezi kuungua.
Ndio maana kuna dhambi za kuombea au kukemea na pia kuna dhambi nyingine unatakiwa utoke nduki tu ukimbie, bila kujalisha imani yako kwa Mungu iko strong kiasi gani. Viungo vya uzazi ni silaha tuliyowekea kujiangamiza na kuangamiza nafsi zetu wenyewe. Ukisha karibisha roho chafu hapo, hata usali na kuokoka vipi lazima utakuja kuangukia hapo tu. Mifano ipo mingi jinsi watu na viongozi mashuhuri walivyoangukia hapo.
Sasa itakuwaje!!!
Sawa Anne ntaanza kufanyia mazoezi huu uzi nikifanikiwa ntaleta mrejesho.Habari!
Natumaini wote ni wazima na namshukuru Mungu juu ya kila mmoja wetu. Natamani kushare nanyi mambo haya machache muhimu katika Uchumba:
1. Usiweke agano na mchumba.
Kuna Watu huwa wanajiapiza eti nisipokuoa/nisipoolewa na wewe bora nife kuliko kuoa/kuolewa.
Maagano ya namna hii yamewagharimu wengi.
Maandiko yanatambua agano la ndoa na si la uchumba.Acha mpango wa Mungu usimame kwenye uchumba wenu.
2. Usizae na mchumba ili akuoe.
Hii huwakumba Sana wadada.Wengi huingia kwenye huu mtego kwa kudanganywa na kuambiwa nizalie kwanza mtoto ndipo nikuoe.
Pia, kuna wadada hujitegesha. Kuna wadada hujitegesha wenyewe wapate mimba wakidhani watapendwa zaidi.
Wengi wamezalishwa na kutelekezwa.
3.Usioe/kuolewa na mtu asiyemcha Mungu.
Moyo wa mtu asiyemcha Mungu hauna hofu ya kitu chochote ndani yake.kufanya Jambo lolote kwako siyo tatizo kwake maana moyoni mwake hakuna hukumu.
4. Usikubali kuoa/kuolewa na mtu aliyekuwa kwenye ndoa tayari na ndoa ile ikavunjika na wewe ukataka kuingia naye kwenye ndoa bila kujua sababu za ndoa yake ya mwanzo kuvunjika.
Ni vema ukajua sababu kupitia kutafuta taarifa kwa watu wengine na si kwake maana atakudanganya.
5. Uchumba usiwe Siri.
Unaweza kujikuta unaoa/unaolewa na mume au mke wa mtu bila kujua.
6. Usioe au kuolewa na mtu kwa sababu unamhurumia.
Ni kweli kaonyesha upendo,Ni kweli anakujali lakini je!huyo mtu yumo moyoni mwako?unampenda? Au unajilazimisha kwa sababu ya zawadi anazokupa.
Ndoa nzuri ni ile ya watu wawili wanapendana na si ya upande mmoja.
7. Msichukuane kienyeji.
Ndoa Ina taratibu zake na taratibu hizo Zina baraka zake. Usijiweke kwenye mazingira ya kuibiwa usiku.
8. Acha kujiaminisha Sana kwamba utamuoa au utaolewa naye.
Kumbuka uchumba siyo ndoa.Lolote linaweza kutokea Kama siyo upande wako basi upande wake. Ruhusu mpango wa Mungu utimie na si utashi wako.
9. Epuka kumhonga mchumba vitu vya thamani kubwa, kumsomesha nk.
Usiwekeze Sana kwa mchumba. Lakini Kama unadhani uchumba ujivunjika hutaumia mpe,ila Kama unaona uchumba ukivunjika utaumia usimpe.
Simaanishi wachumba wasisaidiane,Kuna viwango vya kusaidiana wachumba. Mengine hayo ukitaka kuyafanya weka ndani.
10. Usizini.
Tendo la ndoa ni kwa wanandoa na ndiyo maana linaitwa tendo la ndoa na si tendo la uchumba. Ukiona mchumba anataka tendo Hili kwa Kasi kubwa huku akikwambia siwezi kuuziwa mbuzi kwenye gunia jua huyo hana mpango wa ndoa.
Niwatakie siku njema
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Endelea kujicontrol tu
Kwahiyo wakubali kurudi dhambini kwa kuogopa roho ya malipizi??
Kwanini unasema kuna mambo hayawezekani wakati maandiko yanasema tunayaweza yote katika Yeye atutiaye Nguvu!?!!
Yote yanawezekana.
Naomba unijibu Hili swali,kuna dhambi kubwa na ndogo?
Habari!
Natumaini wote ni wazima na namshukuru Mungu juu ya kila mmoja wetu. Natamani kushare nanyi mambo haya machache muhimu katika Uchumba:
1. Usiweke agano na mchumba.
Kuna Watu huwa wanajiapiza eti nisipokuoa/nisipoolewa na wewe bora nife kuliko kuoa/kuolewa.
Maagano ya namna hii yamewagharimu wengi.
Maandiko yanatambua agano la ndoa na si la uchumba.Acha mpango wa Mungu usimame kwenye uchumba wenu.
2. Usizae na mchumba ili akuoe.
Hii huwakumba Sana wadada.Wengi huingia kwenye huu mtego kwa kudanganywa na kuambiwa nizalie kwanza mtoto ndipo nikuoe.
Pia, kuna wadada hujitegesha. Kuna wadada hujitegesha wenyewe wapate mimba wakidhani watapendwa zaidi.
Wengi wamezalishwa na kutelekezwa.
3.Usioe/kuolewa na mtu asiyemcha Mungu.
Moyo wa mtu asiyemcha Mungu hauna hofu ya kitu chochote ndani yake.kufanya Jambo lolote kwako siyo tatizo kwake maana moyoni mwake hakuna hukumu.
4. Usikubali kuoa/kuolewa na mtu aliyekuwa kwenye ndoa tayari na ndoa ile ikavunjika na wewe ukataka kuingia naye kwenye ndoa bila kujua sababu za ndoa yake ya mwanzo kuvunjika.
Ni vema ukajua sababu kupitia kutafuta taarifa kwa watu wengine na si kwake maana atakudanganya.
5. Uchumba usiwe Siri.
Unaweza kujikuta unaoa/unaolewa na mume au mke wa mtu bila kujua.
6. Usioe au kuolewa na mtu kwa sababu unamhurumia.
Ni kweli kaonyesha upendo,Ni kweli anakujali lakini je!huyo mtu yumo moyoni mwako?unampenda? Au unajilazimisha kwa sababu ya zawadi anazokupa.
Ndoa nzuri ni ile ya watu wawili wanapendana na si ya upande mmoja.
7. Msichukuane kienyeji.
Ndoa Ina taratibu zake na taratibu hizo Zina baraka zake. Usijiweke kwenye mazingira ya kuibiwa usiku.
8. Acha kujiaminisha Sana kwamba utamuoa au utaolewa naye.
Kumbuka uchumba siyo ndoa.Lolote linaweza kutokea Kama siyo upande wako basi upande wake. Ruhusu mpango wa Mungu utimie na si utashi wako.
9. Epuka kumhonga mchumba vitu vya thamani kubwa, kumsomesha nk.
Usiwekeze Sana kwa mchumba. Lakini Kama unadhani uchumba ujivunjika hutaumia mpe,ila Kama unaona uchumba ukivunjika utaumia usimpe.
Simaanishi wachumba wasisaidiane,Kuna viwango vya kusaidiana wachumba. Mengine hayo ukitaka kuyafanya weka ndani.
10. Usizini.
Tendo la ndoa ni kwa wanandoa na ndiyo maana linaitwa tendo la ndoa na si tendo la uchumba. Ukiona mchumba anataka tendo Hili kwa Kasi kubwa huku akikwambia siwezi kuuziwa mbuzi kwenye gunia jua huyo hana mpango wa ndoa.
Niwatakie siku njema
Una uhakika mimi ni Mtoto?We bado mtoto ukikua utaacha. Hasahasa namba 10 imekufanya uwe mtoto zaidi, namaanisha ulimwengu bado hujaujua.
Ndiyo maana yupo Roho mtakatifu kutusaidia.Sijui uwasilishaji wangu ndio mbovu au namna gani sijui...
Kuumbwa katika udhaifu unafahamu maana yake? Kuishi katika ubinadamu ila uendane na roho unafahamu maana yake? Kumbuka tunaishi kibinadamu tukiwa na mwili wa nyama, hivyo mtu anaingia dhambini automaticaly kutokana na vile alivyoumbwa. Kumbuka anakuwa tayari ameshafungua milango ya uzinzi hivyo kuanguka ni dakika yoyote maana hakuna binadamu anaeweza kuishi na kuendana kwa roho muda wote.
Yes, dhambi zinatofautiana sana tu. zipo kubwa na ndogo. Ila nguvu ya msamaha inatoka kwa yoyote bila kujali aina au ukubwa wa dhambi as long as ametubu na kukiri kweli. Sijui umenipata hapo?