Ha ha haToa msukuma weka mhaya mbwenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha haToa msukuma weka mhaya mbwenu.
Sawa shukraniWewe fanya kazi kama mkataba unavosema....ingia kwa wakat na toka kwa wakati ofisini.
Kama anafoka na anakulipa mshahara basi ww fanya yako huku unapambana utoke hapo
Hivi mnasomaga mistari ya kwanza tu ya thread au? Si.amesema yuko privateUpp Taasisi ya Serikali au Binafsi? Tuanzie hapa kwanza.
Au Mhaya na Mjita.Kuna watu wengine uasili unawasumbua pamoja na wivu hasa boss akiwa mpare, msukuma n.k
Wanahisi labda tuna ukabila ila hayo makabila hapana aseee.Au Mhaya na Mjita.
Kuna wakati Mambo magumu hutatuliwa kwa maamzi rahisi mkuu
Unajua sekta binafsi ni 'profit oriented'; kabla ya kuanzisha msimamo/vita pale kazini, jiulize uwepo wako pale unailetea pesa kiasi gani hiyo taasisi. Kama uko kwenye credit na debit tu, huku huzalishi mapato yoyote, inabidi kuwa mpole tu; vinginevyo una sehemu nyingine ya kujiegesha. Mtu anayetakiwa kuvimba kwenye taasisi binafsi ni mtu wa masoko tena yule masoko aliyekomaa mwenye uwezo halisia wa kuongeza mapato kwa spidi, ambaye ana uwezo mkubwa wa kukuza pato la taasisi.
🤣🤣🤣🤣🤣Me pia Boss wangu ni kama freemason, ananikosesha Amani daily. Anapenda sana dharau za kifala. Mara aseme Wamasai ni sawa na tumbili..
Wiki iliyopita alinifokea bila sababu ya msingi nikamuambia akiendelea nitamuua. Hatusalimiani tangu Alhamisi. Supervisor siyo Mungu.
Kuna wakati Mambo magumu hutatuliwa kwa maamzi rahisi mkuu
Kuomba likizo sio kutangaza Vita na ndiyo maana Kuna neno kuomba
Baada ya kuomba likizo kuto kuwepo kwake eneo la kazi kutafanya kuonekane nafasi iliyo wazi katika majukumu
Lakini hili linategemea Kama ulivyo sema kwamba nafasi yake kwenye kazi inanguvu au umhimu kiasi gani
Ikiwa nafasi yake inaisaidia ofisi kwa kiasi frani basi nilazima tu uhuitajikaji wake kazini utafuata
Pamoja na hayo nashukuru kwa ufafa nuzi mkuu
Asante, Tupo pamoja mkuuNimeipenda hii expert wangu