Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie akome kutuita wamasai ni kama tumbili.Me pia Boss wangu ni kama freemason, ananikosesha Amani daily. Anapenda sana dharau za kifala. Mara aseme Wamasai ni sawa na tumbili..
Wiki iliyopita alinifokea bila sababu ya msingi nikamuambia akiendelea nitamuua. Hatusalimiani tangu Alhamisi. Supervisor siyo Mungu.
ishia hapo freemason hatuna huo UPUZI sis tuko huru kufanya loloteMe pia Boss wangu ni kama freemason, ananikosesha Amani daily. Anapenda sana dharau za kifala. Mara aseme Wamasai ni sawa na tumbili..
Wiki iliyopita alinifokea bila sababu ya msingi nikamuambia akiendelea nitamuua. Hatusalimiani tangu Alhamisi. Supervisor siyo Mungu.
Kosa vyote, ila sio njaa.Kuishigani kwa akili, hali kwamba unateseka, huna amani, unanyanyaswa bila sababu. Soma sababu nilizopost labda utaokota kitu.
Haiwezi kuwa hivyo na hata kama itakuwa hivyo basi hiyo itakuwa ilikuwa ndiyo hatima yakeAkirudi, nafasi inakuwa na mtu mwingine
Shukrani Sana, ntafanya hivyo aiseePole sanaa mkuu kwa changamoto, ni hali ya kawaida kukutana na hali hiyo ukiwa mwajiriwa, pia hata kwenye mahusiano n.k
Lakini kabla ya kulaumu, fanya utafiti wakina kujua sababu zinazokufanya ukumbane na changamoto hiyo, Pia angalie wafanyakazi wenzako wanavyoishi then relate mahusiano yao na Boss wako. Hii itakusaidia kujua boss wako ni mtu wa aina gani,anapenda kipi/hapendi kipi, anapenda/hapendi watu wa aina fulani.
Pia kumbuka hakuna boss anaependa aonekane kuwa chini ya wafanyakazi wake, kama umemzidi elimu,akili,muonekano(smart) au kama unakubalika sanaa na wafanyakazi wako kuliko yeye atatafuta sababu ya kukushusha hadhi yako. NB: sio wote wana roho hiyo ya kuchukia wafanyakazi,pia Wapo maboss wanaopenda wafanyakazi wanaokuwa smart kwenye kazi (Kuna kabila/jamii huwa wanatabia hiyo.. wakipanda cheo lazima mtaona chamoto, ni nature yao kwahiyo ishi nao kwa akili)
Lakini kunasababu zinazoweza kusababisha boss kukuchukia:
●Kutotimiza wajibu wako. Hakuna boss anayependa kuwa na mfanyakazi ambaye hatimizi wajibu wake, Yaani kilakitu lazima uambiwe,ukumbushwe kila kitu unakuwa wa mwisho. Kama una hiyo tabia acha mara moja.
●Kuwa na uwezo mdogo wa kujenga hoja. Fahamu deeply taaluma yako, pata ujuzi mpya kila siku, ikitokea kuna tatizo ofisini usikae kimya toa msaada wa mawazo ya kuimarisha ofisi.
●Kuto jali muda. Hakuna kitu muhimu kwenye taasisi yoyote kama muda, Jali muda wa kuingia kazini na kutoka, muda wa kuanza kazi na kumaliza, Jali muda mkihaidiana mfano kikao,kutoa repoti,n.k
●Kutoshirikiana na wafanyakazi wenzako. Kuna muda wa kazi, na muda wa kupumzika, hivyo kuwa social, zungumza na wenzako usijitenge sanaa, na usiwazoee sanaa.
●Acha mazoea na boss wako kwenye mambo ya kipuuzi, hapa kuna kuna seheme tofauti kama kwenye media,whatsapp the way unavyochat na watu wanakuchukulia boya tu, so yanakushusha hadhi, acha upuuzi.
●Usiwe mropokaji wa ovyo ovyo, Yaani Chochote unacho zungumza kiwe na manufaa,Kama wenzako wanajadili upuuzi usitoe maoni stay cool,Sometimes to be silent is better
●Epuka kutoa siri za maisha yako kwa kila mtu, watu wasijue kilakitu ulichonacho, au unachokipitia au tabia zako nje ya kazi. Kama unapiga gambe sanaa punguza.
●Kuwa Ruler 📏 kama YES iwe YES, NO iwe NO. Usiwe mtu wa kuyumbishwa tu na watu, Watu wajue unamsimamo. Hata boss akijua una msimamo ata kuheshimu, hawezi kuja kichwakichwa.
Maisha hayana njia moja, sio lazima njia uliyonayo ndiyo utakayo tokea.
● Mwisho : Usiache imani ya Mungu wako. Kwenye ofisi zetu za kibongo kuna mambo mengi sana kama ushirikina,waenda kwa waganga kukupiga tukio n.k (Hii wanaita kukupaka mavi ,kama kuna mtu kakufanyia hilo, hapo hutoboi hadi utafukuzwa kazi) namna ya kutoka fuata kanunu za kiimani, asubuhi kabla ya job Pray, ukiwa kazini Pray, ukitoka Pray, eneo la kazi Pray, Pray daily. Then urudi utupe mrejesho.
Asante
SawaFunguka kuwa serious usioneshe kumuogopa maana kakugeuza kapu la kuondolea stress zake. Mwisho wa siku ataanza kukupiga kabisa
Magonjwa ya akili ni real huyo boss wako anakichaa..1. Bosi wangu ananifokea Sana kwamba sijui kazi ilihali ni kitu nilichosomea na najitahidi kuonesha juhudi
2. Bosi wangu ananifokea Sana hata kwa makosa ambayo kayafanya yeye mwenyewe kwa uzembe
3. Natumia kila njia ili niwe mfanyakazi mzuri na kumfurahisha bosi wangu lakini Bado anakuwa mkali kwangu
NB: Leo boss wangu kanifokea ilikuwa kidogo tuu niombe kuacha kazi na ilikuwa mbele za watu hadharani.
Ni taasisi binafsi
Je nifanyaje kwenye Hali Kama hii?
Ohhh sawa kiongozi,,nimekupataYawezekana akawa na inferiority complex
Yaani kuna watu ambao huwa wanapata relief wanapomtukana mtu na kumfokea.
Njia ya kuishi nao ni kuwa positive tu akiona anafoka then wewe upo Una smile ataanza kubadilika mwenyewe.
😂😂Me pia Boss wangu ni kama freemason, ananikosesha Amani daily. Anapenda sana dharau za kifala. Mara aseme Wamasai ni sawa na tumbili..
Wiki iliyopita alinifokea bila sababu ya msingi nikamuambia akiendelea nitamuua. Hatusalimiani tangu Alhamisi. Supervisor siyo Mungu.
Asante kwa ushauri wako.
Kwa kuwa upo sekta binafsi, ni sawa na jina lako kuandikwa kwa penseli, muda wowote linaweza kufutwa. Kama huna taasisi nyingine ya kufanya kazi, nakushauri vumilia kwanza na chukulia malalamiko yake kama fursa ya kukujenga. Mfanye awe rafiki yako,muombe akuelekeze kazi ata kama unajua zaidi. Pia usiwe siriazi sana kazini, jitahidi uwe ni mtu wa kuwafanya wengine wawe na furaha pale wakuonapo.
Sawa nimeelewaMpige kichwa cha kwenye Pua,yani mle kile kichwa kama cha Kondoo,
Huyo ulimregezea toka mwanzo,akakuona kua anakuweza,heshima yako ni muhimu sana,riziki popote,usiruhusu mtu akudharau kiasi hicho hata kama ni taasisi ya Baba yake,
Know your worth and walk away.
Sawa, shukrani Sana kwa ushauri wakoUnapitia changamoto kama yangu!Huenda umemzidi elimu anakuona kama kikwazo kwake 2Ni mtu asiyependavwatu wa chini yake inawezekana alipatia malezi ya kupigwapigwa.Fanya ujasiri siku Moja ukiwa kwenye mood nzuri mueleze ukweli kwamba hujisikii vizuri kufokewafokewa na ikibidi,awepo mtu unayemuamini,Cha msingi kama ni mtu wa Dini muombe sana Mungu kwenye Hilo.
Àsante kwa ushauri mzuriFanya kwa muda upate mtaji wa kujiajiri na kujistiri. Baada ya hapo acha kazi.
SawaWeka masikio pamba
Piga kazi
SawaTengeneza tatizo Kisha omba likizo yamda kidogo atatambua thamani ya uwepo wako
hiyo kuongea nae kwa kina ,,inatakiwa iwe kina kweli , kama yy sio mmiliki wa kampuni akizid siku moja mtafute nje ya office mtie vitasa sananishajaribu kumuuliza kuwa Kuna shida gani mpka inakuwa hivi,sema anaishia kunichekea na kusema hamna shida,,,awamu hii ntaongea naye kwa kina
Haiwezi kuwa hivyo na hata kama itakuwa hivyo basi hiyo itakuwa ilikuwa ndiyo hatima yake
Namaanisha huenda Kuna kazi nzuli Ina mwita kuliko hiyo anayo ing'ang'ania