Piga tatu kavu bila kula day 'n' nightSalaam.
Wadau naomba msaada wenu wa njia mbadala wa kupunguza uzito , tunafanya Mazoezi lakini matokeo yake ni kidogo sana. Kama kuna Mdau mwenye ushauri mzuri kuhusu suala hili atusaidie au Kama kuna supplements salama za ku boost kupunguza uzito aweke bayana. Asante
kahawa inategemea na afya ya mtu ndugu! ukute kiafya chakuokota kitamtoka kijasho huyo moyo umdunde hovyo!Mkuu mm kuna program rahisi na ngumu pia kufanya ya kula mara 2 asubuhi na cha mchana mida ya saa7-8 then sili tena hadi kesho yake fanya hivo utanishukuru au ukiona umezidiwa sana kula hata ndizi moja usku au karanga halaf ile asubuhi na mapema piga kahawa plain kabsa usiweke sukari wakat unaamka
tunazikia wapi..😅Piga tatu kavu bila kula day 'n' night
Kilo 10 kwa mwezi? 🙄🙄 Ulikua unafanya kozi?Chakula kinda nafasi kubwa kufanya ubongeke, mimi pia kuna kipind nilitamani kupunguza kg 20 hv nikaingia YouTube huko nikaangalia maharishi kadha wa kadha na kuyafanyia kazi
Haikuwa vigumu mwezi 1 tu nilipunguza kg 10
Sasa kahawa si mbaya kwa BP?Mkuu mm kuna program rahisi na ngumu pia kufanya ya kula mara 2 asubuhi na cha mchana mida ya saa7-8 then sili tena hadi kesho yake fanya hivo utanishukuru au ukiona umezidiwa sana kula hata ndizi moja usku au karanga halaf ile asubuhi na mapema piga kahawa plain kabsa usiweke sukari wakat unaamka
Visima vya nzengo ndiyo vipi hivyo?🤣 kiukweli sitegemei kunywa ,ila hapo kwenye sukari nimekuelewa ngoja nifanyie kazi niache kula cake 🎂 😔nimekuibia siri unasema nakutisha shauli yako! kama hunywi ni vyema na ukianza kunywa nitafute nikuambie nini chakunywa! usije ukanywa vitu vizito ukadumbukia kwenye visima vya nzengo!,ukayanajisi maji na wale migambo wa nzengo wanapigaga omba usikutwe..😅
pia punguza matumizi makubwa ya sukari if necessary instead of using sugar,you can use honey.
hujui visima vya nzengo!, yaonyesha wewe ni mboga saba!..😁Visima vya nzengo ndiyo vipi hivyo?🤣 kiukweli sitegemei kunywa ,ila hapo kwenye sukari nimekuelewa ngoja nifanyie kazi niache kula cake 🎂 😔
Tunasafirisha🤣tunazikia wapi..😅
Mboga hata 1 haifiki mkuu, ila hilo neno sijasikia bana, au kuna jina linginehujui visima vya nzengo!, yaonyesha wewe ni mboga saba!..😁
cake sana huto tu meno tupo salama kweli..??
atatusumbua afe ajala siku tatu halafu muanze kupika na yale masufuria yalivyo makubwa anaweza kufufuka!,huyo tunalaza chapchap.Tunasafirisha🤣
kijiji hapo sasa utaelewa yani kisima cha kijiji...Mboga hata 1 haifiki mkuu, ila hilo neno sijasikia bana, au kuna jina lingine
Mmh sasa kisima cha kujiji na kupunguza uzito vinahusianaje? Au una maana nyingine we kijana wewe🤣kijiji hapo sasa utaelewa yani kisima cha kijiji...
Kenzy wewe kuweza kula mboga plain?asilimia 70 badili kula yako halafu hiyo 30 ndo mazoezi na vyengine,epuka kula hovyo vyakula vya wanga kwasiku kula mara moja tena mchana tu!,usile chakula cha wanga halafu ukaenda kulala! ati usiku!.. asubuhi unakula ngano,mchana ugali,usiku wali unene na kitambi vitakulavu sana!.. sasa kazi kwako mpaka uje uzoee ulaji mpya sijui utaweza! tatizo watz tunaonaga mboga kama vile sio chakula kamili bila kuweka ugali ama wali tunaona hatujala!...🤣
weye weye weye! mi simaanishi kisima hicho! si tulihama tukazungumzia pombe! labda nifanye hivi ndo utaelewa ngoja narudi chap...
Mimi niacheni tu nile jamani, unene sio dhambiEphen typing.....
ng'ombe hawezi kula nyama au wewe unajua mboga ni za majani tu! unaweza kula mchicha na nyama mbona unashiba kuna vimtu humu mwajiona mnakula kumbe hata kilo hamnifikii...💪😅Kenzy wewe kuweza kula mboga plain?
Sasa uakuwa na tofauti ipi na ng’ombe? 😹
Mi huwa naamka nakunywa mtindi kupooza njaa, bana miili mipya tutaipata mbinguni🤣🤣 tule tuMimi niacheni tu nile jamani, unene sio dhambi
Juzi nikasema nile matunda tu usiku wee usingizi haukuja