ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Mbinguni tutapewa mwili mpyaMi huwa naamka nakunywa mtindi kupooza njaa, bana miili mipya tutaipata mbinguni🤣🤣 tule tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbinguni tutapewa mwili mpyaMi huwa naamka nakunywa mtindi kupooza njaa, bana miili mipya tutaipata mbinguni🤣🤣 tule tu
Kweli pombe sio chai!Mmh sasa kisima cha kujiji na kupunguza uzito vinahusianaje? Au una maana nyingine we kijana wewe🤣
wewe tutakuacha na hicho kipapatio chako!..😂Mbinguni tutapewa mwili mpya
We kula tu maisha ni haya hayaMimi niacheni tu nile jamani, unene sio dhambi
Juzi nikasema nile matunda tu usiku wee usingizi haukuja
Mchawi msosi tu.Chakula
Chakula
Chakula
Kabisa mambo ya kuitesa minyoo na njaa mi sitaki,acha nile nayo ishibe huko tumboni🤣Mbinguni tutapewa mwili mpya
Hufai kuwa mwalimu una hasira sana🤣 sijaelewa nielekeze vizuri
Sahihi kabisa comrade, tukiweza kumention msosi basi hata workouts hazitokuwa za kuchosha.Mchawi msosi tu.
Mimi nikiacha napungua, nikipata shida nikawa na stress nakula zinarudi zote.
nimekuwekea uzi hapo ukasome huoni hapo pameandikwa "kweli pombe sio chai" . financial upo sawa kweli,unamchumba au msebule...😂😂😂Hufai kuwa mwalimu una hasira sana🤣 sijaelewa nielekeze vizuri
Mchawi msosi tu.
Mimi nikiacha napungua, nikipata shida nikawa na stress nakula zinarudi zote.
Sina hata corridor mkuu, nipe assistnimekuwekea uzi hapo ukasome huoni hapo pameandikwa "kweli pombe sio chai" . financial upo sawa kweli,unamchumba au msebule...😂😂😂
i wanna assist myself to you! nishajua shida ipo wapi...😁Sina hata corridor mkuu, nipe assist
Monitor calorie intake na expenditures kwa sikuSalaam.
Wadau naomba msaada wenu wa njia mbadala wa kupunguza uzito , tunafanya Mazoezi lakini matokeo yake ni kidogo sana. Kama kuna Mdau mwenye ushauri mzuri kuhusu suala hili atusaidie au Kama kuna supplements salama za ku boost kupunguza uzito aweke bayana. Asante
Wewe utakua unanisema kila siku na kitambi laini sitaki, nataka mbaba mwenye kitambi pia hamna kuchekana🤣i wanna assist myself to you! nishajua shida ipo wapi...😁
Umemaliza kila kitu. Chakula ndio kila kitu.asilimia 70 badili kula yako halafu hiyo 30 ndo mazoezi na vyengine,epuka kula hovyo vyakula vya wanga kwasiku kula mara moja tena mchana tu!,usile chakula cha wanga halafu ukaenda kulala! ati usiku!.. asubuhi unakula ngano,mchana ugali,usiku wali unene na kitambi vitakulavu sana!.. sasa kazi kwako mpaka uje uzoee ulaji mpya sijui utaweza! tatizo watz tunaonaga mboga kama vile sio chakula kamili bila kuweka ugali ama wali tunaona hatujala!...🤣
sa mi ndo nitakusaidia kukiondosha ati! acha kaushamba!Wewe utakua unanisema kila siku na kitambi laini sitaki, nataka mbaba mwenye kitambi pia hamna kuchekana🤣
KWamba ni nyingi au chache??Kilo 10 kwa mwezi? 🙄🙄 Ulikua unafanya kozi?
Fanya mazoezi kiwango hicho hicho unachofanya sasa halafu punguza kula chakula hasa wanga.Salaam.
Wadau naomba msaada wenu wa njia mbadala wa kupunguza uzito , tunafanya Mazoezi lakini matokeo yake ni kidogo sana. Kama kuna Mdau mwenye ushauri mzuri kuhusu suala hili atusaidie au Kama kuna supplements salama za ku boost kupunguza uzito aweke bayana. Asante
Nyingi sana kwa njia ya dietK
KWamba ni nyingi au chache??