Uchaguzi 2020 Njia pekee ya Mwita Waitara kuwa mbunge wa Bunge lijalo ni kuteuliwa. Hakuna jimbo analoweza kuchaguliwa kwa kura, hana ushawishi wowote

Chadema kilimbeba hana uwezo binafsi wa kupambana.
 
Nazan tungepata katiba mpya na tume huru ya uchaguz ingekua ni bora sana nimeshangaa kuona nchi kama malawi matokeo ya urais yanapingwa mahakaman cjui hku kwetu tunasubr muujiza upi??

Its not over until its over...[emoji769]
 
Naona 💉💉💉💉 alizopiga zimeacha majipu.
 
Ambaye anaweza kumfanya Mbowe asiwe mbunge ni Mungu pekee , vinginevyo hakuna takataka ya kumzuia .

Hifadhi andiko hili
Atakuwa anaingizwa na Mbatia bungeni maana mbatia ndiye atakuwa kiongozi wa KUB.
 
Tena Dodomaaa yenyewe ya kule Kongwa kwa andunje. Lile eneo kwa kweli Mungu tu alisaidie maana sio kwa ule umasikini. Ndio maana anunje anamchukia Mwamba kwa sababu ya inferiority complex aliyonayo
 
Huyu pamoja na wasaliti wengine wataipata uchaguzi huu.
 
Atakuwa anaingizwa na Mbatia bungeni maana mbatia ndiye atakuwa kiongozi wa KUB.

Chama chenye kiongozi mmoja kama nccr na kisicho na misingi hakiwezi kuwa na lolote , huwezi kupata kura bila wanachama , endeleeni kumpa hela zenu aendelee kuzitafuna .

Mpaka naandika hapa Chadema ina zaidi ya wanachama mil 10 nchi nzima , kumbuka hawa si wanachama maandazi
 
Yani unamaanisha viti vya ladies free sio
 
Mtoa mada kadri siku zinavyoenda ndio matumizi yako akili yanazidi kuwa chini unabakiwa na emotions tu!

Siasa inazidi kufifisha utendaji kazi wa ubongo wako, hatima yake unaruhusu moyo ukufanyie maamuzi hata kwenye masuala nyeti yanayohitaji upembuzi yakinifu!
 
Acha uzandiki weka hapa hiyo hati uthibitishe kuwa alinunuliwa. La sivyo wewe ni mpotoshaji. Mmetokea kumchukia Waitara sababu ameisambatatisha Chadema kwa kiibua ufisadi wa Mbowe baada ya kukwapua bil 8+.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…