Njia rahisi ya kupata pesa Dar es salaam ni hii

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Hii ni special kwa vijana wanaotafuta mtaji. Kwakuwa watu wengi wameshajazwa upepo kuwa hawana nguvu za kiume kumbe wanazo tele na Dar ni jiji kubwa basi wewe cheza na fursa.

Nenda kanunue vile vichupa vidogo vinauzwa around 200 tsh. kama sitakosea, kisha unaingia kando ya mji unachukua magome ya miti unayakausha then unayatwanga kwenye kinu kidogo mpaka unakuwa unga laini.

Unapark unaanza kunadi dawa ya nguvu za kiume huko Facebook, Instagram, Whatsapp n.k. Unapiga pesa ikitimia mtaji unaachana na hiyo business ambayo hata mwenyewe hujui huo unga unatibu nini.

Kwakuwa wengi hawana tatizo ambalo wanaaminishwa wanalo basi wakitumia dawa yako watapata unafuu. Kwa kuogopa huenda wanaweza kupata madhara wewe wachanganyie hata miti ya mafenesi na matopetope.

 
Na kuna. Uwekano mkubwa tayari watu wafanya asemayo Mkuu! Maana ulkiziangalia baadhi hizo dawa zilizo Insta? Mh!
 
Usha muharibia soko huyo pimbi uliye screen shot
 
Nani amekuruhusu kuja kutolea mfano post yangu? Sasa nikikosa wateja huko facebook ntakuuzia hizo chupa zote wewe
 
Usijichanganye tu watoto ki dar-salaam sio wajinga kiasi hicho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…