Njia rahisi ya kupata pesa Dar es salaam ni hii

Njia rahisi ya kupata pesa Dar es salaam ni hii

Hii ni special kwa vijana wanaotafuta mtaji. Kwakuwa watu wengi wameshajazwa upepo kuwa hawana nguvu za kiume kumbe wanazo tele na Dar ni jiji kubwa basi wewe cheza na fursa.

Nenda kanunue vile vichupa vidogo vinauzwa around 200 tsh. kama sitakosea, kisha unaingia kando ya mji unachukua magome ya miti unayakausha then unayatwanga kwenye kinu kidogo mpaka unakuwa unga laini.

Unapark unaanza kunadi dawa ya nguvu za kiume huko Facebook, Instagram, Whatsapp n.k. Unapiga pesa ikitimia mtaji unaachana na hiyo business ambayo hata mwenyewe hujui huo unga unatibu nini.

Kwakuwa wengi hawana tatizo ambalo wanaaminishwa wanalo basi wakitumia dawa yako watapata unafuu. Kwa kuogopa huenda wanaweza kupata madhara wewe wachanganyie hata miti ya mafenesi na matopetope.

View attachment 2068487
Idea nzuri sana unapatikana wapi mkuu?
 
WAKATI WANAWAKE WANATAPELIWA NA WANAOJIITA MANABII NA MITUME
WANAUME WANATAPELIWA NA WAJASILIAMALI WAUZA NGUVU ZA KIUME.

UKWELI NI KWAMBA UJINGA NI CHANZO CHA MTAJI!
 
Eti hivyo vichupa si ndo vile vya mahospital?
 
Mkuu wamasai 80% dawa zao ni OG. Wale people hawanaga longolongo.
Wewe utakuwa mmasai bila shaka. Kila siku wanawauzia watu dawa feki na wanalalamikiwa mno. Mfano masai anakwambia dawa hii inatibu mtoto asikojoe kitandani lakini hakuna ufanisi.

Kumbuka hapa namaanisha mtoto wa miaka 10 hadi 17 mwenye tabia ya kukojoa kitandani huku ikiwa sio kawaida ya mtoto wa rika hilo kukojoa kitandani.
 
Hii ni special kwa vijana wanaotafuta mtaji. Kwakuwa watu wengi wameshajazwa upepo kuwa hawana nguvu za kiume kumbe wanazo tele na Dar ni jiji kubwa basi wewe cheza na fursa.

Nenda kanunue vile vichupa vidogo vinauzwa around 200 tsh. kama sitakosea, kisha unaingia kando ya mji unachukua magome ya miti unayakausha then unayatwanga kwenye kinu kidogo mpaka unakuwa unga laini.

Unapark unaanza kunadi dawa ya nguvu za kiume huko Facebook, Instagram, Whatsapp n.k. Unapiga pesa ikitimia mtaji unaachana na hiyo business ambayo hata mwenyewe hujui huo unga unatibu nini.

Kwakuwa wengi hawana tatizo ambalo wanaaminishwa wanalo basi wakitumia dawa yako watapata unafuu. Kwa kuogopa huenda wanaweza kupata madhara wewe wachanganyie hata miti ya mafenesi na matopetope.

View attachment 2068487


Utaziuza sh ngapi?

Hao wateja wako wanaotafuta nguvu za kiume hata nguvu ya pesa za kununua hizo magome sijui kama wanazo
 
Back
Top Bottom