The useful idiot
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 1,019
- 2,670
Gari za uhakika nenda kwenye kampuni husika nafkiri kwa Mwanza dar zipo Soft sound, salman's n. K
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watafute kampuni inaitwa lukmanWakuu
Nafanya biashara ya kuchukua mzigo dar. Changamoto ni gharama za usafiri unajikuta faida inaishia kwene nauli.
Nielekezeni njia rahisi ya kusafirisha mizigo kutoka Dar kuja mwanza kwa bei rahisi ila uhakika
achana na magari vishoka,,,, wale wakuunganisha unganisha wezi sana
Sahihi kabisa. Ongeza na lukmanGari za uhakika nenda kwenye kampuni husika nafkiri kwa Mwanza dar zipo Soft sound, salman's n. K
nitajie izo campuniKuna makampuni yamesajiriwa kusafirisha mizigo hivyo unaweza ukayacheck ambapo yenyewe sasa ndo yanaingia makubaliano na buses kama mzigo wa kawaida ila kama mzigo ni mkubwa huwa wanatumia malori yaani wanasafirisha mizigo Yao kwa pamoja. Usiende kwenye buses moja kwa moja maana mengine huwa wanalazimisha kusafirisha alafu unashangaa unashangaa unakwenda Nata unaambiwa wameshusha Nyegezi wakati hayo makampuni wanashushia ofisini kwao na bado wanaweza wakakutafutia bajaji wakuletee ulipo ila mnakubaliana bei
Check kampuni moja inaitwa "First Born" ipo Nata pale jirani na Petrol Station
shukranUkiwa unatoka Jangwani, ukifika makao makuu ya Yanga kunja kulia.
Nyoosha na hiyo barabara kama mita 500 kisha ulizia ilipo ofisi ya FERGUSON(transporter)!!
Hapo ni sehemu sahihi kwa hitaji lako..
Nimekutajia moja paragraph ya mwisho inaitwa "FIRST BORN", ipo hapo Nata jirani na Petrol Station mkono wa kushoto kama unakwenda Musomanitajie izo campuni
Pia aongeze na lukman wale nao wako vizuri.Nimekutajia moja paragraph ya mwisho inaitwa "FIRST BORN", ipo hapo Nata jirani na Petrol Station mkono wa kushoto kama unakwenda Musoma
Wapi mitaa ipi kwa Mwanza, you never know tunaweza ku-recommend Kwa watu wengine hata sie wenyewe kuwatumia in futurePia aongeze na lukman wale nao wako vizuri.
Champ, mimi nimejaribu kufuatilia maroli ya kusafirisha mizigo kutoka Dar to Mwanza sijafanikiwa ombi langu ni unipe msaada wa uhitaji huo kama unafahamu walipo nambari zao na gharama pia.TUMIA CARGO (MALORI) WANA BEI RAFIKI SANA KWA SISI WAFANYABISHARA
MIMI MWANZO NILKUA NATUMIA BASI ILA SASA NIMEHAMIA KWENYE MALORI WAKO POA SANA