Njia ya Kibiti kwenda kwenye laana ya Cabo Delgado

Hayana akili hayo majamaa,yaani uwexo wake wa kufikiria umefikia hapo.Haoni huko Congo mambo yalivyo magumu,kwa ufupi watu weupe wanatuumiza sana,vijana wanalipwa hela ili kuleta vurugu wao ewanufaike
 
Wenzetu uwezo wao wa kufikiri umefikia kikomo,Wazungu watu hatari sana,tazama DRC inavyopata tabu
 
Njoo n
congo umeiyacha mkuu
 
Mla nguruwe minyoo inakupa hasira sana
 
Hivi inakuwaje jeshi lina kila haina ya zana lakini inashindwa kuwadhibiti hao wahuni wachache? Waombe elimu kwa Tanzania wawape mbinu.

Dawa ya hao wahuni ni kuwamaliza kama walivyomalizwa majambazi tanzania.
Tatizo sio kumalizwa,tatizo wajanja washatia mkono kinachofanyika hapo ni mkiwa kwenye mwanga mnacheka kiza kikiingia kila mtu anabadilika.

Kuna siku nilikuwa home naangalia movie(tujipoze kidogo) ile movie ni serikali ya Braziri iliomba msaada kupitia balozi ya Marekani kuomba nguvu ya kwenda kupambana na makundi ya wauwaji katika viunga vya miji.

Basi idala ya kijasusi ikatua pale Brazir kutoka Marekani kikaangia mtaani kupambana,yale mapambano yalikuw makubwa sana,lakini kila wajomba wakijitahidi hakuna unafuu.

Inabidi wakafanya uchunguzi wakaja baini maofisa wa polisi wengi wao hujihusisha na magenge hayo kwa kutoa taarifa muhimu.


"hivyo mkuu wanawashindwa kwa sababu nyuma watu wanazunguukana,wanapigana huku wanatoa siraha,kuisha ngumu kama Congo ilivyoona mbali kutaka kuvifukuza bikundi vya kulinda amani"
 
Nasubiri muendelezo...
 
Mara vyeti feki,mara minyoo ya nguruwe,mara Tundu Lisu.

Mbona hauko consistent kwenye mada? Hapa wanaongelewa magaidi wa msumbiji,ila mlikuwa mmeficha matako yenu kwenye mashimo mkisubiri kuanza mashambulizi.

Wapi mleta mada ametaja uislamu? Nimekujibu wewe na mwenzio kwa sababu mnajihami sana.
 
Hayo mauawaji hayauhusu Uislam, hivyo ni vikundi vya kijambazi vinavyopachiwa majina ya Kiislam ili ionekane ni Waislam. Si kila Omari ni Muislam.

Uislam ni amani.

Kumbuka hayo.
Mbona yanajitokeza katika jamii za Kiislamu tu.
Tanga, Kibiti, Rufiji, Mkuranga, Zanzibar. Nk.
Wanafalsafa wanasema hayo makundi yanalelewa na Waislamu.
Mbona hayazaliwi Rolya, au Njombe, yaani kwenye Jamii za Kikristo ?
Mkubali mnawalea nyinyi Waislamu.
Sasa mnawaleaje maadui zenu.
Majina yao yote ni majina ya Kiislamu.
Waislamu mujitafakari.
Bila kujua udhaifu wako huwezi kujitathmini
Mna tatizo na bado mnajifanya ni watu wakweli sana.
Kama Waislamu musinge kuwepo Tanzania hayo Makundi ya Kigaidi yasingekuwepo kabisa.
Jitafakarini badala ya kukanusha kanusha tu.
Au ninyi ni watakatifu sana na hamkosei ?
Msalimie Gaidi mwenzako Ritz
 

Ngumu sana kuutenganisha uislamu na ugaidi,mbona duniani dini nyingi tu ila hazisemwi bali ni uislamu tu.
 
Upo page namba ngapi mkuu
 
Ngumu sana kuutenganisha uislamu na ugaidi,mbona duniani dini nyingi tu ila hazisemwi bali ni uislamu tu.
Nimekuelewa. Labda niulize tena ukristo una usafi gn au utakatifu gani hadi imani nyingine zipambane kuuchafua wakati kwa sasa wenyewe umejipamba na sifa mbaya kuchafuka
 

Attachments

  • IMG_20240415_155338.jpg
    171.9 KB · Views: 14
  • IMG_-anhwz8.jpg
    283.1 KB · Views: 14
  • 1717180998152.jpg
    21.8 KB · Views: 13
Lakini hawa magaidi, madai yao huwa ni nini? Au malengo yao nini? Je, hawapo tayari kwa mazungumzo kama kweli yapo madai?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…