Njia ya Kibiti kwenda kwenye laana ya Cabo Delgado

Njia ya Kibiti kwenda kwenye laana ya Cabo Delgado

We nae tutolee huu ujinga wako na mapovu Kila comment bwana.

Kila siku mnakuja na jambo hilo hilo la uislamu unachafuliwa. Kwa kitu kipi cha maana mlichonacho hadi dini yenu ichafuliwe?

Ni swala la kuamini (Imani )tu? Yani mtu akibadili dini na kuwa muislamu,hiyo itaniathiri vipi Mimi nisiye muislamu?

Mfano Mimi nimekaa Zanzibar ambako Kuna uislamu zaidi ya 90% ,hiyo Ina athari Gani kwangu nisiye muislamu? Mbona maisha yanaenda vile vile ?

Huu udwanzi wa kulalamika "uislamu unachafuliwa " mnatuchosha. Huo uislamu una nini cha maana hadi upigwe vita enyi wanafiki?

Ndugu kila community ina viongozi wao inaoqasikiliza na kuwaamini.

Lkn mwisho wa siku kwa kuangalia matukio hata asie na macho huona.

Bila ya kukuchosha soma waraka wa kiongozi wa waislam nchini alioutoa miezi michache iliyopita akiwatahadharisha serikali dhidi ya kikundi hiki cha waleta taharuki kwa nchi wakikingwa na baadhi ya watendaji wasio waaminifu. Ambao wapo na wanafanya maamuzi sawa na matamanio ya nafsi zao kwa mgongo na kwa jina la serikali ya JMT

Ni watumishi immoral, wavuta bangi waliojificha ktk vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.

Waraka


FITNA!

Propaganda mpya dhidi ya Waislamu.

Kundi laundwa kuzungumzia ugaidi


SERIKALI imetakiwa kuzingatia zaidi maslahi ya Taifa katika kuiendea na kuishughulikia dhana ya ugaidi nchini, kwani zimeanza kuibuka propaganda mpya za ugaidi na kunasibishwa na Waislamu.

Wito huo umetolewa na Sheikh Ponda Issa Ponda, akiongea na Gazeti la An nuur, kufuatia hivi karibuni kusambaa kwa makala katika mitandao ya kijamii iliyoandikwa na mwandishi aliyejitaja kwa jina la Lugete Mussa Lugete.

Mwandishi huyo pia ametangaza kuanzishwa Group maalum la kuandika makala zinazozungumzia ugaidi wa Waislamu, pamoja na yeye amewataja waandishi wengine katika group hilo kuwa ni Lugete Gulu Maester, Mpoki Buyah na Mwalimu Mayuni Joseph.

Tayari kazi ya uandishi imeanza na kwa mujibu wa makala hizo vyanzo vyao vya habari ni Intelijensia ya Serikali za Tanzania, Msumbiji, Marekani na vyombo vya Ulinzi na Usalama. Vyanzo vingine ni Dr. John K Kingu na Profesa Pedro C. Vicent.

Sheikh Ponda, alisema makala yake hiyo ameipa anuani ya Operesheni Mkuranga, Kibiti, Rufiji, Mkiru, na hatma ya ugaidi, ujambazi na upotoshaji wa Dini ya Kiislamu, Cabo Delgado Msumbiji.

Moja ya suala linalojitokeza katika makala hiyo ni Uislamu na ugaidi, ingawa mwandishi anadai kuwa magaidi ndio wanao husisha Dini ya Uislamu na ugaidi lakini kwa hakika yeye (Mwandishi) ndiye anayehusisha Uislamu na Ugaidi.

Tunawashauri viongozi wazingatie zaidi maslahi ya Taifa katika suala hili la ugaidi, kwani sasa zimeanza kuibuka propaganda mpya za ugaidi zinazo wanasibisha Waislamu. Amesema Sheikh Ponda.

Alisema, katika hili anaikumbusha Serikali kwamba, Taifa la Tanzania limejengwa juu misingi mitatu ambayo ni Serikali, Bunge na Mahakama na mpango huo ni wa kitaalamu kwa ustawi wa Taifa na watu wake.

Sheikh Ponda ameeleza kuwa mwaka 2002, wakati wa mchakato wa Sheria ya Ugaidi, Wabunge walisema maneno mazito Bungeni, na kufafanua kuwa Tanzania hakuna ugaidi na Sheria hiyo ya Ugaidi inawalenga zaidi raia Waislamu.

Akasema, hivi sasa matokeo ya utekelezaji wa Sheria hiyo yanaonekana wazi kwani wanaokamatwa na kutuhumiwa kwa ugaidi wengi wao ni Masheikh na Waislamu wa kawaida.

Lakini la kusikitisha zaidi ni kwamba hata kesi zake mahakamani zinakwama kusikilizwa na Waislamu wakabaki wafungwa mahabusu wa muda mrefu.

Akizungumzia kuhusu makala hayo Sheikh Ponda, anasema ingawa mwandishi anadai kuwa magaidi ndio wanao husisha Dini ya Uislamu na ugaidi, lakini makala hiyo ipo wazi kuwa yeye ndiye anayehusisha Uislamu na ugaidi.

Akifafanua Sheikh Ponda, amesema Mwandishi wa Makala hiyo amewataja Waislamu wasomi wa Vyuo vya Kiislamu kama Magaidi huku Misikiti, Madrasa, Asasi kama vile vituo vya Yatima na Shule za Kiislamu amevitaja kuwa ni vituo vya Kigaidi.

Aidha amesema, katika makala yake hiyo ameyataja mataifa kadhaa aliyodai kuwa yanayoelekea kusambaratika kutokana na hicho alichokiita ni ugaidi.

Sheikh Ponda amemtanabahisha mwandishi huyo kuwa uandishi wake unatakiwa azingatie maamuzi yaliyotolewa na Mahakama kuhusu suala hili zito linalohusu uhai wa watu na mustakbali wa Taifa, badala ya kuja na huu uchambuzi bandia wa taarifa za Intelijensia.

XXXX

Maoni yangu

Kwa kuhitimisha kama kweli serikali ya inataka ikubalike kwa raia. Basi wamrejeshe mwandishi Azori huko aliko. Kwani ndie mwenye taarifa za kiuchunguzi za hakika za ugaidi wa mkwiru Kibiti.
 
Hawa magaidi wanatokea Kenya, wakapita Kibiti na inasemekana chimbuko ni wafuasi wa Abdul Rogo.

Baada ya Rogo kuuwawa jamaa ndipo wakaanza kujipanga na kujitanua hadi kuingia Kibiti.

Private Military Companies zilizomwagwa Mozambique si mchezo. Ukianza na Wagner kuna DAG South Africa, kuna Paramount Group South Africa hawa wana vifaa na silaha za anga kuanzia ndege, drones n.k, Kuna FSG hawa ni waChina.
Kuna nchi zilitoa Commandos toka Europe, Wagner walikuja askari 200, US walileta Green Berets hao ni Special Force, England walitoa askari n.k hapo bado South Africa wamepeleka askari zaidi ya 1000, Rwanda, Tanzania, Mozambique, Zimbabwe n.k list ni ndefu.

Cha kushangaza magaidi bado wamo tu.
Haya makundi yana wafadhili tena mabeberu, haiwezekani force kubwa kiasi hiko ila jamaa bado wapo kwa miaka 6 na zaidi wanasumbua tu.

Utajiri wa gas uliogundilika Mozambiqy ndio chanzo cha vita hii. Inasemekana Mozambique ingeweza kuwa exporter mkubwa wa gas duniani kiasi kwamba anaweza i challenge Russia kwenye soko la Europe.
Si mchezo.
hapo ndio ngachoka na wazungu. ina maana wanashindwa kuyachukua mafuta 'yao' bila kuua tumbili wenzetu?
 
Acha kuwa mpumbavu tangu lini serikali inashambulia watu ? serikali ilikuwa na uwezo wa kumfikisha mahakamai wakati Rogo kashambuliwa .


View: https://youtu.be/go3z4EPz_Bc?si=6ybIdWvlRRSZqaVT

Minyoo ya Nguruwe inakuharibu kichwani hata kufikiria hujui.

Bila ya mchongo wa vyeti fake hauna jipya , kumbe hata hujui unaongela , basi kashambuliwa kama Tundu Lissu .

Huko Misikitini huwa akili zenu zinafanywaje mkishainamisha vile vichwa na kunyanyua matako juu. Mbona issue rahisi kabisa kuielewa lazima muifanye iwe ngumu? nani asiyejua mafundisho ya Rogo yalikuwa ya kueneza chuki baina ya raia? Kwani ni lazima haini afikishwe mahakamani? Nini kazi ya intelejinsia kama ni watu wa hovyo lazima waende mahakamani.
 
Tutafanyaje wakati hayo matendo kwa wengine ni njia ya kuiona pepo?

Bila hivyo wanaamini kwao hakuna kuiona pepo,na ktk situation kama hii ni rahisi sana watu kupaza sauti kwamba wanaonewa na kuchafuliwa kwa kufanya ibada zao tukichukulia nchi yetu tunaamini hakuna upendeleo wa kidini.
Kiongoz sio waislamu wote ndy wanafikra hzo pia jiulize wanatoa wapi silaha mzito za kushindan na majeshi ya serikali?
 
Huko Misikitini huwa akili zenu zinafanywaje mkishainamisha vile vichwa na kunyanyua matako juu. Mbona issue rahisi kabisa kuielewa lazima muifanye iwe ngumu? nani asiyejua mafundisho ya Rogo yalikuwa ya kueneza chuki baina ya raia? Kwani ni lazima haini afikishwe mahakamani? Nini kazi ya intelejinsia kama ni watu wa hovyo lazima waende mahakamani.
Mpakwa mafuta acha ujinga ! Kwa hiyo serikali inashambulia watu wakati wao ndio dola kubwa katika nchi , hata wakitaka kumnyonga wanamkamata mda wowote , huyu Rogo alikuwa anashambuliana na majeshi au kapigwa kwa kushtukiza?
JItambue dogo hata shule hujui ulifuata nn ? Kuna tofauti gani na tukio la Lissu ?
 
W
Thanks for this.

Kinachoendelea Msumbiji ni part and parcel ya ile project inaitwa FRENCH AFRICA.
Congo Brazzaville wamekuwa kwenye hii project miaka mingi sana kupitia Pascal Lissuba na Dennis Sassungwesso, Gabon wamekuwa kwenye hii project miaka mingi kupitia Marehemu Omar Bongo na Mwanaye.

Msumbiji wameingia rasmi kwenye hii project na hii laana ilianzia pale Total alipoinunua Anadarko, Gas itachimbwa pale na amani Msumbiji na kusini mwa Tanzania itakuwa ni tatizo kwa miaka mingi.

Magaidi wako kwenye payroll ya mfaransa na lengo ni kudestabilize eneo na kuingia contracts za ulinzi ambayo hela yake itatoka kwenye mikataba ya gas na matokeo yake Msumbiji watakosa Kila kitu kwa sababu yakusaidiwa kwenye ulinzi.
Kidogo kidogo, hodi hodi Tanzania, umakini usipoweka na watu wasipoacha ujinga wakuendekeza siasa ile kusini inaweza ikawa haitawaliki.

Upumbavu, ujinga na Tamaa za viongozi wa Africa leo hii umeifikisha hapa Africa.
Africa Moja kupitia AU yenye nguvu ndio ingeweza kusimamisha haya.

Note: Eneo like la Msumbiji na eneo la kusini la Tanzania kuna reserve kubwa sana ya gas.
Tusisahau moja ya chanzo cha ukoloni ni industrial revolution huko ULAYA na AMERICA.
Ajinga watakuja kusema waislam ndio wanaoendesha vurugu huko,kumbe watu wapo kwenye malipo makubwa ya fedha,ukweli mchungu mtu mweupe hatari sana
 
Haya mambo ni hatari sana serikali ielekeze nguvu zaidi kwenye ulinzi wa mipaka yetu
 
Mwanzo wa hayo makundi unajulikana sheikh na wewe unajua sana ila unapotosha kwa makusudi kwa ajili ya ile ahadi ya mabikira 72
Sasa wewe una ahadi ya wake 100 , wazazi 100 , watoto 100 ili ukubali kuwa mpakwa mafuta 😀 😀
 
1717166790843.png
 
Back
Top Bottom