Njia ya Kibiti kwenda kwenye laana ya Cabo Delgado

Njia ya Kibiti kwenda kwenye laana ya Cabo Delgado

Mkuu siraha kubwa ya ugaidi ni media...

Magaidi ukiwapa uwanja wa habari zao kutoka, hutowamaliza ng'o...hasa hao waliokua hawataki kujulikana(MKIRU)...

Lengo lao ni kutia hofu kwenye jamii...

Stori ya Azory Gwanda naamini tukichimba na kuuangalia ugaidi kwa mapana yake tutaujua ukweli halisi.
Ni kweli silaha kuu ni media kupitia Disimformation

Na huu ni mkakati maalum ambao unaratibiwa na baadhi ya watenda wavuta mangi.
 
Nipe stori na ni makundi yemeanza juzi tu hapa baada ya shambulio ya Marekani 😀 😀 😀

Kundi kubwa la kigaidi ni lile la mauaji ya kimbali kutoka vatican , mauji ya watoto huku Gaza miaka na miaka ...

Hayo makundi lin yamepigana na Israel ?
Hayajaanza juzijuzi hayo labda useme wewe umeyajua juzi juzi tu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Una chuki iliyopitiliza kutokana na mafundisho ya mawakala wa shetani huko makanisani dhidi ya Uislamu na Waislamu, Mwenyezi Mungu akulaani Inshallah.
allah hana uwezo wa kunilaani. Lile jiwe nitaliiba siku moja pale macca. Sijasema kitu kibaya ila dunia bila uislamu ingekuwa sehemu salama sana.
 
Ni kweli silaha kuu ni media kupitia Disimformation

Na huu ni mkakati maalum ambao unaratibiwa na baadhi ya watenda wavuta mangi.
Mbona viongozi wa makundi ya Kigaidi na wafadhili wengi ni mashekhe?

Ni uongo kuwa Osama alikuwa Musilam
Ni uongo kuwa Shekhe Rogo alikuwa Musilam ?



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Yameundwa na Waislam.
Hezbollah makao makuu ni Lebanon nchi ya kiislam
Al Qaidar makao makuu ni Qatar nchi ya kiislam
Mujahideen makao makuu ni Iraq nchi ya kiislam
Hamas makao makuu Palestina nchi ya kiislam
Muslim Brotherhood makao makuu Egypt nchi ya kiislam.
Alshabab makao makuu Somalia nchi ya kiislam.
ISIS makao makuu ni Syria na Yemen nchi za kiislam
Boko Haram makao makuu Nigeria Jimbo la Waislam.

Mbona hayapo nchi za wakrsto au unataka kusema Waislam ni wajinga sana kukubali makundi ya wàkristo yakae kwao kuchafua uislam wao?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Na wanaamini katika JIHAD
 
Si kweli haya makundi huwa yanaibuka na kupotea au kupungua ushawishi tu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hayo makundi ndio maana unatakiwa kusoma origin yake ni shambulio la Marekani .. Lile kundi lililohusika ndio wakaja na haya madogo ili kukamata wahusika real .

Osama ni zao la USA , ameua ndugu zake huko Iraq mpaka akaja kugombana na hao USA .
 
Umeelewa kweli ? umetaja magroup mangapi hapo ? Haya kaangalie yameanza miaka ya 2001 kwend mbele ......Kaulize vizuri wakubwa wako.
Wewe ndio utuambie ni makundi gani yameanza baada ya 2001. Pia hata kama yameanza baada ya 2001, haibadilishi maana ya kwamba hayo makundi yanafungamana kwa kiasi kikubwa na imani ya kiislam, hasa JIHAD.
 
Umeelewa kweli ? umetaja magroup mangapi hapo ? Haya kaangalie yameanza miaka ya 2001 kwend mbele ......Kaulize vizuri wakubwa wako.
Muslim brotherhood ilianzishwa 1928
Hezbollah ilianzishwa 1982
Mujahideen ilianzishwa 1979
Hamas ilianzishwa 1978
Al Qaidar ilianzishwa 1988
Tuongeze mengine ?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wewe ndio utuambie ni makundi gani yameanza baada ya 2001. Pia hata kama yameanza baada ya 2001, haibadilishi maana ya kwamba hayo makundi yanafungamana kwa kiasi kikubwa na imani ya kiislam, hasa JIHAD.
Na makundi yote yameanzishwa na Waislam na yanaendeshwa na Waislam.

Ni kichaa pekee anayeweza kuutenganisha uislam na ugaidi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom