Njia ya Kibiti kwenda kwenye laana ya Cabo Delgado

Mna uhakika gani hao ni waislamu? Na wanamtumikia nani? Vazi ndio linawaaminisha wao ni waislamu?

Ndugu zetu wa palestina wanauawa kikatili, tena kwenye land yao na hatuwasikii mkisema makafiri ya kizayuni ni MAGAIDI, Nyie watu wa ajabu sanaa.
 
Sidhani kama lengo la uzi huu ni kuleta mabishano juu ya dini

ACheni mambo za ajabu...nendeni mkaanzishe uzi wenu kule.
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Kama nakuelewa unachosema mkui
 
Waambie wajinga hao halaf sasa dini zenyewe za watu wengine huko waarabu
 
Yeah uko sahihi.
Ni aina ya watu wale wanaopoteza siku nzima kubishana habari za simba na yanga.
Hata Ulaya ugaidi na vita au mapigani yapo sema vita zao ziko strategic na huwa zina sababu maalumu za kushindana kiuchumi.
 
Vikundi vingi vya kigaidi/waasi hutumia silaha maarfu ak-47 hata hapo mozambique ni mwendo wa ak-47 kwa hiyo unataka kutuaminisha kua USA siku hizi na yeye n mzalishaji na msambazaji wa silaha hiyo?
 
Asante sana, wengi tulikua hatufahamu undani wa hii habari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ