Njia ya Kibiti kwenda kwenye laana ya Cabo Delgado

Njia ya Kibiti kwenda kwenye laana ya Cabo Delgado

Vikundi vingi vya kigaidi/waasi hutumia silaha maarfu ak-47 hata hapo mozambique ni mwendo wa ak-47 kwa hiyo unataka kutuaminisha kua USA siku hizi na yeye n mzalishaji na msambazaji wa silaha hiyo?

Mbona nchi nyingi zinatengeneza hizo silaha kwa kupewa kibali na wengine hata hawajapata kibali wanajifanyia kwa wizi
 
Ukitaka kupoka utajiri wa sehemu Bila kulipa Kodi au gawio halisi Kwa wazawa waanzishie vurugu ya aina yoyote waache wakihangaika kupigana wewe unajichotea tuu, Hilo eneo la Kaskazin la Msumbiji Lina utajiri sana tena sana. Ko lazima liwe kama DRC tuu yaani hakuna kutulia watu wanajibebea tuu wanasepa zao Watawaletea magaidi wa kidini wa mchongo, mara vikundi vya kupigana uhuru ndani ya nchi huru kama M23 yaani taflani tuu. Na viongozi wetu hawanamaarifa Wala nguvu ya kututoa tulipo ndio changamoto zaidi. Ona Libya ilivopauka saa hivo waliwangilia na hoja ya demokrasia wameishia kuvuruga nchi na jamii Kwa ujumla na Mambo ndio hayaendi tena nchi ishagawanyika. Na uzuri Hawa wezi wa rasilimali za hili bara wanatujua nje ndani ndio maana wakija na mission Yao hawafeli tunaishia kuumiza wenyewe Kwa wenyewe wanatuangalia na vimisaada mbuzi kujifanya wanatutakia mema.
 
Nime uliza kuhusu Usa na sio masuala ya nchi nyingi je usa ana kibali cha kuzalisha hizo siraha na kuzisambaza?

Si lazima awe nacho kuna mafia nyingi kila mahali zinaweza kutengeneza bila kibali. hata wewe unaweza ukaitengeneza , ingia You tube wameonyesha vizuri sana , uwe na material tu na mashine za uchongaji .

Kule Pakistani na Afghanistani kila mahali wanazitengeneza wenyewe mitaani


View: https://www.youtube.com/watch?v=f58bfGlqceo
 
Thanks for this.

Kinachoendelea Msumbiji ni part and parcel ya ile project inaitwa FRENCH AFRICA.
Congo Brazzaville wamekuwa kwenye hii project miaka mingi sana kupitia Pascal Lissuba na Dennis Sassungwesso, Gabon wamekuwa kwenye hii project miaka mingi kupitia Marehemu Omar Bongo na Mwanaye.

Msumbiji wameingia rasmi kwenye hii project na hii laana ilianzia pale Total alipoinunua Anadarko, Gas itachimbwa pale na amani Msumbiji na kusini mwa Tanzania itakuwa ni tatizo kwa miaka mingi.

Magaidi wako kwenye payroll ya mfaransa na lengo ni kudestabilize eneo na kuingia contracts za ulinzi ambayo hela yake itatoka kwenye mikataba ya gas na matokeo yake Msumbiji watakosa Kila kitu kwa sababu yakusaidiwa kwenye ulinzi.
Kidogo kidogo, hodi hodi Tanzania, umakini usipoweka na watu wasipoacha ujinga wakuendekeza siasa ile kusini inaweza ikawa haitawaliki.

Upumbavu, ujinga na Tamaa za viongozi wa Africa leo hii umeifikisha hapa Africa.
Africa Moja kupitia AU yenye nguvu ndio ingeweza kusimamisha haya.

Note: Eneo like la Msumbiji na eneo la kusini la Tanzania kuna reserve kubwa sana ya gas.
Tusisahau moja ya chanzo cha ukoloni ni industrial revolution huko ULAYA na AMERICA.
Pale Kibiti waliona nini ? Hebu dadavua mkuu
 
Yeah uko sahihi.
Ni aina ya watu wale wanaopoteza siku nzima kubishana habari za simba na yanga.
Hata Ulaya ugaidi na vita au mapigani yapo sema vita zao ziko strategic na huwa zina sababu maalumu za kushindana kiuchumi.
Wao hizi mambo walishazipita mkuu, vita hizi za vikundo vya kigaidi na vita za wenyewe kwa wenyewe washapigana sana.
Wakajua udhaifu wao, wakaurekebisha.
Sasa sisi daah hadi huruma aisee, tukechelewa kujitambua.
 
Wao hizi mambo walishazipita mkuu, vita hizi za vikundo vya kigaidi na vita za wenyewe kwa wenyewe washapigana sana.
Wakajua udhaifu wao, wakaurekebisha.
Sasa sisi daah hadi huruma aisee, tukechelewa kujitambua.
Yeah kwa sasa hawatumii vita za kutumia miguvu tena,wanaingia tu maabara kisha wanatuma kirusi kama cha covid basi kazi imeisha
 
Dunia ina matrix sana , vikundi hivyo huwezi kuvikuta saudia , Qatar ,oman...Huyu Raisi wa Iran aliyekufa ndio aliwamaliza hao mamluki wa kutumia propaganda za kidni baadae aliwanyonga ndio wakamuita ''The butcher"


Watu hawa wanapewa pesa kukamilisha malengo ya wazungu , jiulize silaha wanatoa wapi ? Mzalishaji mkubwa wa silaha ni USA...Mtandao huo sawa na madawa ya kulevya kama ingekuwa uislamu unahusika nina hakika watu wengi wangekimbia hiyo dini ..Ni dini inaypokea watu wengi baada ya watu kuelewa kila mwk , ndio dini inakuwa kwa kasi.

Wale waliokamatwa pale Urusi juzi tu walisem islamic state ndio wanahusika , Putin akasema atafuatilia ili mwisho wa siku ni uongo , watu wanakuwa recruited na kulipwa kutokana na kutka utajiri na pesa ... Hakuna muislamu anaweza kuchoma na kuua watu kwa vile hukumu yake huko nchi za kiislamu ni kuuliwa tu , sasa iweje hawa wanaua ?
Kaka huwezi kutibu tatizo lako kwa kunyoshea vidole watu.

Fanya hivi unataka kufanya tukio la ugaidi. Una vijana wawili Msabato na Muislamu, yupi ni rahisi kumpenyezea agenda yako akafanya kati ya hao wawili?

Siku mtayoanza kutumia muda wenu wa mahubiri kuwasihi vijana wasishawishike na haya makundi ya kigaidi iwe msikitini au kwenye mihadhara badala ya kuwasimanga Makafiri ndio itakua mwanzo wa mwisho wa kuhusishwa uislamu na ugaidi.

Niambie wewe mara ya mwisho lini umemsikia kiongozi wako wa dini iwe msikiti au madrasa anawaasa watoto na vijana kuhusu haya makundi?

Tatizo halitibiwi kwa kunyoshea watu vidole. Kanisa katoliki linakabiliwa na kashfa ya makasisi wake kulawiti watoto. Wanajitahidi kujisafisha kwa namna wanavyoweza lakini hatujawahi kusikia wakitajwa fulani ndio chanzo.

Mwisho unahisi ni kwanini ni rahisi kumshawishi muislamu kufanya Ugaidi kuliko Msabato, Mkatoliki, au hata wa Mwamposa?
 
Mna uhakika gani hao ni waislamu? Na wanamtumikia nani? Vazi ndio linawaaminisha wao ni waislamu?

Ndugu zetu wa palestina wanauawa kikatili, tena kwenye land yao na hatuwasikii mkisema makafiri ya kizayuni ni MAGAIDI, Nyie watu wa ajabu sanaa.
Kumbe una ndugu Palestine
 
Weka clip hapa tuone kama ni yeye, na waliomuuwa kama ni hamas!
Mzee ulikua mahabusu au? Pitia huu uzi utaziona hizo video.

 
Back
Top Bottom